Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu wanajukwaa, kwanza pongezi juu yenu wote kwa kukaribia kuuaga mwaka 2014.
Ndugu zangu nchi hii toka miaka ya 2000+ imepita katika kizazi cha Ulafi kisicho na huruma hata kidogo.
Tumeshuhudia Ufisadi wa kutisha usio na mfano wala kipimo kwa wale tuliowaamini na kuwapenda.
KWA NINI ESCROW?
Tumeaminishwa kuwa ni account iliyofunguliwa baada ya Mgogoro wa IPTL na Tanesco
Ili malipo yafanyikie hapo wakati mgogoro ukipatiwa uvumbuzi.
UKWELI WA TEGETA ESCROW
Hii account ilifunguliwa kwa kuwa IPTL si ya mtu mmoja ni kampuni yenye Wanahisa wengi ambao wengi ni VIONGOZI WAANDAMIZI SERIKALINI NA WENGINE NI VIONGOZI WALIOSTAAFU.
Kuna ambao HISA Zao walipitishia kwa Rugemarila akiwa kama Ngao yao na Wengine hasa Wale wenye HISA nyingi wakimtumia Sethi kama Ngao yao pia.
Ndugu zangu Mafisadi hawa baada ya kuona kuwa Kugawana Faida za hisa zao italeta Mashaka ya kuwa kwa nini kila Vipindi fulani watu hao hupata fungu kutoka IPTL basi wakapendekeza ianzishwe Escrow ambayo kwayo Hakuna mtu yoyote angeweza kutoa fedha humo.
Kwa kuzingatia kuwa Wasingeweza kumwamini Singasinga na Rugemarila basi suluhisho ni kuzikusanya mahali ambapo ni salama.
Kumbukeni Muda wote huo wa miaka 7 kuzuia fedha za mwekezaji halali isingewezekana kabisa kwani ana mambo mengi ya uendesha yanayohitaji fedha.
Muda ulipowadia wa kugawana ndipo kila MWANAHISA ALIPOLIPWA SAWA NA HISA ALIZOPANDA NA IKUMBUKWE MWAKA 2015 NI WA UTAWALA MWINGINE NA HEKAHEKA NI NYINGI HIVYO KIBUBU KIKABIDI KIPASULIWE KILA MTU AJILIE VYAKE.
Hakuna cha Nani Wala nani IPTL ni ya Watz Kwa % 96.
Rais Mkapa Alisema--
Mtanikumbuka sana.
Na si kila king'aacho ni Dhahabu.
Jamani Akili Kumkichwa.
Waenagawana Share Walalahoi Wanajua ni Hongo ama Rushwa.
Ni maono tu.
I see!....this makes alot of sense.
Naunga Mkono mapendekezo yako ila naomba niongeze moja.Msajili wa vyama vya siasa aangalie uwezekano wa kukifuta chama cha mapinduzi kwani ndicho kichaka cha wahujumu uchumi wa Taifa letuMapendekezo
Mosi ccm imnyang'anye Kadi ya uanachama Mwenyekiti wake kwa kuipeleka nchi kuzimu.
Pili
Wote wanaoutafuta Urais kwa udi na Uvumba kama alivyofanya Kikwete na Lowasa kuanzia mwaka 1995 tuwakatae kabisa ni ccm Maslahi.
Tatu
Bunge limtimue Rais
Nne.
Kama 1, 2, 3 ni ngumu basi tufanye kama Bukinafaso yaani tumtoe mtu pale Magogoni.
Haiwezekani Majina ya wauza Sembe ukae nayo Majina ya Majangili upambie chumba na ya Stanbic bank pia?
Hapo ndiko Prof. Muhongo anapopata ujasiri wa kusema "nikijiuzulu nchi itatikisika"!
Kumbe waligawana sawa?sasa mapovu ya nn?
Kuna jamaa Alishanitonya juu ya hili, that is explain whyChenge, Kimiti, Ngeleja, Daniel Yona wamepataje mgao, why mafanya biasharaagawe pesa kama njugu. Ukianzia na AlexStewart ilekampuni ya ukaguzi wa dhahabu, Atimus Gas ilekampuni iliyofilisikakule Mtwara, PAN AFRICAN ENERGT, Songas, simbion, na hata wanakuwa na masharekwenye migodi, Pesa za meremeta zilizokutwa kwenye account ya Chenge, Share zaStamico zilizopotea wakati Mgodi wa Bulyanhulu unauzwa kwa kutoka Suton kwendaBarrick na Buzwagi. Escrow imewaumbua hawa mafisadi.
Kikwete ndiye kinara wa wizi huu mkubwa uliolitikisa taifa na unaoendelea kwa kipindi hiki....
Watanzania tutaumizwa sana na Kikwete ambaye ni kinara wa magenge ya kifisadi hapa nchini...
Tumeambiwa Prof Tibaijuka pamoja na kuwajibishwa bado atakuwa na share kubwa na kulipwa malipo makubwa ili kumpunguzia machungu ya kuwajibishwa kwa jambo ambalo Kikwete ali-engineer mwenyewe
Hivi Rugemalila hajawalipua tu
Uko sahihi mkuuKikwete ndiye kinara wa wizi huu mkubwa uliolitikisa taifa na unaoendelea kwa kipindi hiki....
Watanzania tutaumizwa sana na Kikwete ambaye ni kinara wa magenge ya kifisadi hapa nchini...
Tumeambiwa Prof Tibaijuka pamoja na kuwajibishwa bado atakuwa na share kubwa na kulipwa malipo makubwa ili kumpunguzia machungu ya kuwajibishwa kwa jambo ambalo Kikwete ali-engineer mwenyewe