MUMU THE DON
Senior Member
- Jun 8, 2014
- 148
- 183
kwa mujibu wa tajiri Dangote ilitangazwa kachukua 2 na sheddy clever kachukua moja baade ikabadilishwa. ni dhahiri kwamba hii ni hujuma dhidi ya tanzania ikibidi tuandamane kudai hizo tuzo zirudishwe..inauma sana manaa there is no way bwana Dangote alishindwa kuelewa ki INGLISHI wakati the winners were announced..let's do it people