MUMU THE DON
Senior Member
- Jun 8, 2014
- 148
- 183
HEAVEN ON DESERT naomba tupe ukweli wa tuzo za diamond we ulisema kachukua mbili et website walikosea kuhusu tuzo kwenda kwa mafikizolo so watalekebisha mbona diamond kaonekana na moja jana bwana.tupe habari zilizo thibitishwa we mtu mkubwa bwana usikimbie jukwaa then ule uzi wa mapokezi ya diamond mbona mmeufunga au coz umeumbuka..!