Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

toka zako hapa na utafiti wako uchwaraa.ALLAH anakaa mbingu ya saba juu kabisa.hakuna anayeweza fika iwe malaika au yeyote yule.ni mmoja tu aliyewah kupewa nafas ya kufika nae ni muhammad s.a.w.pekee hata yeye hakumuonaa ila inasemekana aliongea nae.kwa maelezo zaid tafuta kitabu cha safari ya israa na miiraji
Mkuu usiongee kwa hoja ya udini Ulimwengu huu ni mkubwa sana unafikili hiyo mbingu ya saba anaishi katika kitu gani sayari au anaelea angani JALIBU KUFANYA UTAFITI HATA HAPO ULIPO JIFUNZE DUNIA IPOJE ULIMWENGU KWA UJUMLA UTAPATA JIBU.
 
Mkuu mambo mengi tunayoyajua yamevumbuliwa na watu wa kale waliokuwa hawana Elimu yoyote
Sio kweli huwezi ukawa hauna elimu au ujuzi alafu ugundue kitu. Ila naelewa kwamba sayansi imekuwepo mda mrefu katika jamii tofauti tofauti.
 
Mkuu usiongee kwa hoja ya udini Ulimwengu huu ni mkubwa sana unafikili hiyo mbingu ya saba anaishi katika kitu gani sayari au anaelea angani JALIBU KUFANYA UTAFITI HATA HAPO ULIPO JIFUNZE DUNIA IPOJE ULIMWENGU KWA UJUMLA UTAPATA JIBU.
ndo maana nikakupa kitabu cha kusoma al quran acha ubishi.
 
"...nina uhakika Mwenyezi Mungu anaishi katika mojawapo ya nyota za jua..." Uhakika gani huo kutokana na utafiti wako?
 
Kuanzia 1999 mpaka sasa zaidi ya miaka 16 nimekuwa nikifanya utafiti wapi yalipo makazi ya Mwenyezi Mungu Kisayansi na Kutumia Vitabu vitakatifu hasahasa Biblia Takatifu nimepata majibu pasina shaka kila mumoja wetu atakubaliana nayo.
Utafiti huu haulengi kumchafua mtu mtu yeyote kwa imani yake naomba atakayeshindwa kuelewa asiwe na jaziba maana ni utafiti wangu binafsi.
KISAYANSI; Mpangilio na Usanifu wa muundo wa Ulimwengu wetu ni mpangilio uliofanywa kwa usahihi ndio maana kila kitu kipo katika sehemu yake bila kuathiri kingine kwa mfano; Dunia na Sayari zote katika mfumo wa Jua letu zinalizunguka Jua kwa kasi lakini haziwezi kugongana Na katika Anga yetu kuna Nyota mamilioni na pia Kuna Majua Mengine yametengeneza mifumo mifumo ya Sayari kama tuliyo nayo katika Jua letu, Vitu hivi vinaonekana kwa mbali na haviwezi kufikika kwa urahisi kwa akili za Kibinadamu.
Nina hakika Mwenyezi Mungu anaishi katika mojawapo ya Nyota za Jua kwa kuwa hakuwezi kufikika kwakua kuna joto {moto} kali sana hakuna chochote kinaweza kukaribia hata kwa kilometa milioni moja.
Nina dharula nitaendelea Baadae..............................


Nimecheka sana! ...wabongo na hadithi za kwenye video noumer sana!!..Brother,hapo chenga tu, kwa kweli hakuna utafiti hapo kwa sababu mpaka sasa hakika yako ni ya kuotea tu.
Ila nashukuru kwa post yako, manake umenifurahisha sana!
 
Biblia inasema hivi
Mungu alimuumba binadamu kwa mfano wake inamaana mungu naye ni binadamu
Kama sisi
Swali linakuja je huyo binadamu aliye uumba huu ylimwengu alivipata wapi vitu vya kuumbia huu Ulimwengu wote na wakati huo inaonyesha nayeye aliumbwa?
 
Mimi ni Muislam kaka na hoja yangu ni Quran.Mwenyezi Mungu yuko juu zaidi baada ya mbingu ya saba.Yuko kwenye arshi tukufu kwa lugha rahisi kiti cha enzi.
 
Back
Top Bottom