Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiranga ni pasua kichwa nimemwambia Mungu hashindwi chochote.Ushaacha tena kihoja chako cha kuumba jiwe na kushindwa kubeba?maana ndiyo kaujanja chako cha kuanzisha kahoja halafu kikikushinda unakakimbia. Niambie kwanza tumeshaelewa kuhusu mungu kuwa na uwezo wa kushindwa kubeba jiwe kubwa?
Jina la Bwana libarikiweNatural resistance ipi wakati mimi huo mwezi wa tano nilikuwa naumwa sana nilipoenda hospitali wakanishauri nipime HIV ndipo nikakutwa positive,na nilipohamua kumrudia mungu effectively ndipo nikapokea uponyaji wangu!!......Hakika mungu anaishi na kutawala na sayansi yake ni kuu kupita sayansi zote kwani madaktari walishindwa kunitibu na walinipa dawa za kurefusha maisha ila mungu mkuu ameniweka huru na HIV!!
Alelluya!!!
Jina la Bwana libarikiweNatural resistance ipi wakati mimi huo mwezi wa tano nilikuwa naumwa sana nilipoenda hospitali wakanishauri nipime HIV ndipo nikakutwa positive,na nilipohamua kumrudia mungu effectively ndipo nikapokea uponyaji wangu!!......Hakika mungu anaishi na kutawala na sayansi yake ni kuu kupita sayansi zote kwani madaktari walishindwa kunitibu na walinipa dawa za kurefusha maisha ila mungu mkuu ameniweka huru na HIV!!
Alelluya!!!
Mkuu Vitabu vingi vya dini nimevisoma ninaendelea kujifunza zaidi na zaidi ingawa ktk inchi zetu za kiafrika hakuna support serikar na watu wake ni siasa bado tupo Dunia ya mwanzo.Kaendelee na utafiti wako, mungu ana makazi yake maalumu, yapo na hayaka shaka,, wala huhitaji kutumia miaka mingi,,
Lakin pia mungu haenei kwenye sayar au any huge body utakayoifikiria, lakin cha ajabu anaenea kwenye moyo wa aliyempokea na kukubali kumtumikia,
Anyway umefanya ya bible, bado Hindu, Islam,Budha n.k kafanyie na. Hayo, kama hutaishia ku revert
Uwepo wa sayari nyingine nyingi inje ya mfumo wa jua letu na zilizotengeneza mfumo kama wa solar system yetu ambako inadhaniwa kuna uhai mwingine kwa sababu angani sayari na nyota ni nyingi.Embu nipe mfano hata mmoja wa utata ulioondolewa na sayansi.Najua elimu ni pana.Nipe faida juu ya hilo
Hicho kitu kingine kilicho mponya kipe jina ni Mungu ili upate majibuUnawezaje kuthibitisha kupona kwako kumetokana na kumrudia Mungu na si kingine chochote?
Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kwa nini kaumba ulimwengu ambao unaruhusu magonjwa kuwapo wakati alikuwa na upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote wa kuumba ukimwengu ambao magonjwa hayapo kabisa?
Kwa nini Mungu akupendelee wewe kukuepusha na huu ugonjwa wakati maelfu wanakufa kwa magonjwa kila siku?
Huyo Mungu gani mwenye kupendelea wengine na kuacha wengine wafe kwa magonjwa?
Yupo kweli au ni hadithi tu?
Una uhakika gani kama kuna sayari nyingine nje ya mfumo wetu wa jua?Uwepo wa sayari nyingine nyingi inje ya mfumo wa jua letu na zilizotengeneza mfumo kama wa solar system yetu ambako inadhaniwa kuna uhai mwingine kwa sababu angani sayari na nyota ni nyingi.
Jua letu ni nyota iliyopo karibu ina mfumo wa sayari zake zinazolizunguka.
Nyota nyingi angani zina mfumo kama wa jua letu na zina sayari zinazo jizungusha kama ilivyo ktk jua letu.
Miaka billion 12 iliyopita kulitokea mlipuko (big bang) chembechembe zilijikusanya na kutengeneza sayari na nyota na vyote vilivyomo ulimwenguni.
Utata kuhusu kupatwa kwa mwezi ni utata uliomalizwa na science watu waliamini mwezi unanaswa na jua wakati mwezi upo mbali sana na jua 92million umbali.
Mkuu nimesikia habari zako juu ya HIV najifunza na ntalifanyia kazi nijielimishe zaidiHebu fafanua hilo la natural resistance ya HIV likoje/linakuaje.
Ugumu unaoupata wewe kujadili uwepo wa mungu ndio ugumu ninaopata mimi kujadili uwepo wa HIV...hivyo basi,fahamu kwamba jinsi unavyowachukulia wale wanaoamini kwamba kuna mungu ndivyo mimi ninavyokuchukulia wewe unayeamini kwamba kuna HIV.Tena wewe unaweza kuwa zaidi ya hao wanaoamini kwamba kuna mungu....hii ni kwasababu masuala ya umungu ni IMANI lakini suala la HIV ni SAYANSI.Hivyo ningetegemea wewe kwako iwe rahisi zaidi kuelewa kuhusu kutokuwepo kwa HIV kuliko wao kuelewa kuhusu kutokuwepo kwa mungu,hii ni kwasababu sayansi inaweza kuthibitishwa na kuweza kuonekana wazi lakini imani haiko hivyo.
Halafu sisi wengine na umri wetu huu mdogo kiasi utata huo umetupitia mbali mno,yaani hatujawahi kutatizika hata kwa bahati mbaya yaani tunapata elimu sahihi kuhusu vitu hivyo na sisi tunavifanyia kazi.Uwepo wa sayari nyingine nyingi inje ya mfumo wa jua letu na zilizotengeneza mfumo kama wa solar system yetu ambako inadhaniwa kuna uhai mwingine kwa sababu angani sayari na nyota ni nyingi.
Jua letu ni nyota iliyopo karibu ina mfumo wa sayari zake zinazolizunguka.
Nyota nyingi angani zina mfumo kama wa jua letu na zina sayari zinazo jizungusha kama ilivyo ktk jua letu.
Miaka billion 12 iliyopita kulitokea mlipuko (big bang) chembechembe zilijikusanya na kutengeneza sayari na nyota na vyote vilivyomo ulimwenguni.
Utata kuhusu kupatwa kwa mwezi ni utata uliomalizwa na science watu waliamini mwezi unanaswa na jua wakati mwezi upo mbali sana na jua 92million umbali.