Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Mwezi wa tano mwaka huu nilienda kupima HIV nikakutwa nipo positive sikuamini kwa hiyo ilibidi niende vituo pamoja na hospitali zaidi ya tano na huko kote vipimo vikaonyesha kuwa nipo positive,nikarudi nyumbani na kuanza kumwomba mungu wangu,mwezi wa nane mwaka huu nimeenda kupima nimejikuta nipo negative!!.....Nimezunguka vituo na hospitali zaidi ya kumi na moja vyote nimepima na wamedai kuwa nipo negative!!!......Hakika mungu anaishi na kutawala na sayansi pamoja na matendo yake ni makuu sana!!!
Kuna mtu anaitwa Deception anasema HIV ni uongo tu.

Pia, kuna watu wana natural resistance ya HIV huenda ukawa mmoja wao.

Hilo halijathibitisha Mungu yupo.
 
Kama mungu ana uwezo wote, upendo wote na ujuzi wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa nabuwezobwa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
Ushaacha tena kihoja chako cha kuumba jiwe na kushindwa kubeba?maana ndiyo kaujanja chako cha kuanzisha kahoja halafu kikikushinda unakakimbia. Niambie kwanza tumeshaelewa kuhusu mungu kuwa na uwezo wa kushindwa kubeba jiwe kubwa?
 
Kuna mtu anaitwa Deception anasema HIV ni uongo tu.

Pia, kuna watu wana natural resistance ya HIV huenda ukawa mmoja wao.

Natural resistance ipi wakati mimi huo mwezi wa tano nilikuwa naumwa sana nilipoenda hospitali wakanishauri nipime HIV ndipo nikakutwa positive,na nilipohamua kumrudia mungu effectively ndipo nikapokea uponyaji wangu!!......Hakika mungu anaishi na kutawala na sayansi yake ni kuu kupita sayansi zote kwani madaktari walishindwa kunitibu na walinipa dawa za kurefusha maisha ila mungu mkuu ameniweka huru na HIV!!

Alelluya!!!
 
Kwa hiyo unakubali vitabu vya dini vinamezesha watu uongo au ?
Hakuna niliposema hivyo. Vitabu vya dini huwa vinaonekana ni uongo kiujumla wake lakini huku kwengine ni ukweli mtupu mwanzo mwisho.
 
Kaendelee na utafiti wako, mungu ana makazi yake maalumu, yapo na hayaka shaka,, wala huhitaji kutumia miaka mingi,,
Lakin pia mungu haenei kwenye sayar au any huge body utakayoifikiria, lakin cha ajabu anaenea kwenye moyo wa aliyempokea na kukubali kumtumikia,

Anyway umefanya ya bible, bado Hindu, Islam,Budha n.k kafanyie na. Hayo, kama hutaishia ku revert
 
Mwezi wa tano mwaka huu nilienda kupima HIV nikakutwa nipo positive sikuamini kwa hiyo ilibidi niende vituo pamoja na hospitali zaidi ya tano na huko kote vipimo vikaonyesha kuwa nipo positive,nikarudi nyumbani na kuanza kumwomba mungu wangu,mwezi wa nane mwaka huu nimeenda kupima nimejikuta nipo negative!!.....Nimezunguka vituo na hospitali zaidi ya kumi na moja vyote nimepima na wamedai kuwa nipo negative!!!......Hakika mungu anaishi na kutawala na sayansi pamoja na matendo yake ni makuu sana!!!
Hebu thibitisha hilo.
 
Ushaacha tena kihoja chako cha kuumba jiwe na kushindwa kubeba?maana ndiyo kaujanja chako cha kuanzisha kahoja halafu kikikushinda unakakimbia. Niambie kwanza tumeshaelewa kuhusu mungu kuwa na uwezo wa kushindwa kubeba jiwe kubwa?
Mungu ana uwezo wa kushindwa?
 
Kaendelee na utafiti wako, mungu ana makazi yake maalumu, yapo na hayaka shaka,, wala huhitaji kutumia miaka mingi,,
Lakin pia mungu haenei kwenye sayar au any huge body utakayoifikiria, lakin cha ajabu anaenea kwenye moyo wa aliyempokea na kukubali kumtumikia,

Anyway umefanya ya bible, bado Hindu, Islam,Budha n.k kafanyie na. Hayo, kama hutaishia ku revert
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Natural resistance ipi wakati mimi huo mwezi wa tano nilikuwa naumwa sana nilipoenda hospitali wakanishauri nipime HIV ndipo nikakutwa positive,na nilipohamua kumrudia mungu effectively ndipo nikapokea uponyaji wangu!!......Hakika mungu anaishi na kutawala na sayansi yake ni kuu kupita sayansi zote kwani madaktari walishindwa kunitibu na walinipa dawa za kurefusha maisha ila mungu mkuu ameniweka huru na HIV!!

Alelluya!!!
Unawezaje kuthibitisha kupona kwako kumetokana na kumrudia Mungu na si kingine chochote?

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kwa nini kaumba ulimwengu ambao unaruhusu magonjwa kuwapo wakati alikuwa na upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote wa kuumba ukimwengu ambao magonjwa hayapo kabisa?

Kwa nini Mungu akupendelee wewe kukuepusha na huu ugonjwa wakati maelfu wanakufa kwa magonjwa kila siku?

Huyo Mungu gani mwenye kupendelea wengine na kuacha wengine wafe kwa magonjwa?

Yupo kweli au ni hadithi tu?
 
Biblia yote ni uongo au kuna uongo na ukweli?
Hata kama ina uongo mmoja tu kwingine kote ukweli, kwa nini kitabu cha Mungu kiwe na uongo wowote?

Biblia ina uongo au haina? Hilo ndilo swali.

Hutaki kulijibu.
 
Mwezi wa tano mwaka huu nilienda kupima HIV nikakutwa nipo positive sikuamini kwa hiyo ilibidi niende vituo pamoja na hospitali zaidi ya tano na huko kote vipimo vikaonyesha kuwa nipo positive,nikarudi nyumbani na kuanza kumwomba mungu wangu,mwezi wa nane mwaka huu nimeenda kupima nimejikuta nipo negative!!.....Nimezunguka vituo na hospitali zaidi ya kumi na moja vyote nimepima na wamedai kuwa nipo negative!!!......Hakika mungu anaishi na kutawala na sayansi pamoja na matendo yake ni makuu sana!!!
Praise the lord.
 
Hakuna niliposema hivyo. Vitabu vya dini huwa vinaonekana ni uongo kiujumla wake lakini huku kwengine ni ukweli mtupu mwanzo mwisho.
Uku kwingine haya "huku kwingine" wapi sasa?

Hebu fafanua hapo vizuri
 
Pia, kuna watu wana natural resistance ya HIV huenda ukawa mmoja wao....

Hebu fafanua hilo la natural resistance ya HIV likoje/linakuaje.

Hilo halijathibitisha Mungu yupo.

Ugumu unaoupata wewe kujadili uwepo wa mungu ndio ugumu ninaopata mimi kujadili uwepo wa HIV...hivyo basi,fahamu kwamba jinsi unavyowachukulia wale wanaoamini kwamba kuna mungu ndivyo mimi ninavyokuchukulia wewe unayeamini kwamba kuna HIV.Tena wewe unaweza kuwa zaidi ya hao wanaoamini kwamba kuna mungu....hii ni kwasababu masuala ya umungu ni IMANI lakini suala la HIV ni SAYANSI.Hivyo ningetegemea wewe kwako iwe rahisi zaidi kuelewa kuhusu kutokuwepo kwa HIV kuliko wao kuelewa kuhusu kutokuwepo kwa mungu,hii ni kwasababu sayansi inaweza kuthibitishwa na kuweza kuonekana wazi lakini imani haiko hivyo.
 
Back
Top Bottom