Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Mkuu fikilia kimondo (astroid) kilicho dondoka katika sayari ya Mass 76% ilipata bahari Ingawa bahari hiyo imeganda, kama kingekuja dunian 39.⅔%ingemezwa nn kingetokea katika uhai wa viumbe? Mungu anatulinda
na umekomalia vimondo kwani haielezeki kisayansi..?
vipi kikianguka hapa duniani utaacha kumwamini mungu wako..?
 
'Hata Uhai wa viumbe wote hai hutegemea Jua ndiyo maana katika Bara Antaktika uwezekano wa viumbe hai kuishi ni mdogo kwa sababu hupata kiasi kidogo cha jua katika msimu wa mzunguko wa Dunia Ni aina Flani ya Bakteria huweza kuishi katika eneo hilo na Samaki wanaositahimili baridi kari INAYOPELEKEA MAJI KUGANDA NA KUWA BARAFU, NA ENEO LOTE LA BARA ANTAKTIKA NI BARAFU NA MVUA INAYONYESHA NI KWA MARA MOJA KATIKA msimu wa Mwaka.'

1. MAELEZO HAYA YANAMAANISHA KUNA UHAI ANTAKTIKA. KWA HIO JUA SIO LAZIMA LIWEPO ILI UHAI UWEPO.

2. NI KWELI KWENYE JUA PANAWEZA PASIFIKIKE, MAANA HATA HAO NASA WANAWEZA KUTYMA KITU KIKATEKETEA SOME MILLION KILOMETERS AWAY, HAPO KUNA UKWELI. NIKIUNGANISHA NA MISTARI YA BIBLE ULOWEKA, HUENDA KUNA KAUKWELI KUWA MUNGU ANAISHI IN THE FORM OF FIRE. KOMAA KIDOGO TENA UTAONA KITU.

3. WACHANGIAJI, PLEASE DO NOT DISCOURAGE THE MAN. MUNGU PIA NI VEMA TUMCHUNGUZE NA TUMJUE ILI TUWEZE KUJENGA MAHUSIANO NAYE. HUWEZI KUJENGA MAHUSIANO NA KITU USICHOKIJUA.

THANKS
 
Kuanzia 1999 mpaka sasa zaidi ya miaka 16 nimekuwa nikifanya utafiti wapi yalipo makazi ya Mwenyezi Mungu Kisayansi na Kutumia Vitabu vitakatifu hasahasa Biblia Takatifu nimepata majibu pasina shaka kila mumoja wetu atakubaliana nayo.

Utafiti huu haulengi kumchafua mtu mtu yeyote kwa imani yake naomba atakayeshindwa kuelewa asiwe na jaziba maana ni utafiti wangu binafsi.

KISAYANSI; Mpangilio na Usanifu wa muundo wa Ulimwengu wetu ni mpangilio uliofanywa kwa usahihi ndio maana kila kitu kipo katika sehemu yake bila kuathiri kingine kwa mfano; Dunia na Sayari zote katika mfumo wa Jua letu zinalizunguka Jua kwa kasi lakini haziwezi kugongana Na katika Anga yetu kuna Nyota mamilioni na pia Kuna Majua Mengine yametengeneza mifumo mifumo ya Sayari kama tuliyo nayo katika Jua letu, Vitu hivi vinaonekana kwa mbali na haviwezi kufikika kwa urahisi kwa akili za Kibinadamu.

Nina hakika Mwenyezi Mungu anaishi katika mojawapo ya Nyota za Jua kwa kuwa hakuwezi kufikika kwakua kuna joto {moto} kali sana hakuna chochote kinaweza kukaribia hata kwa kilometa milioni moja.

Katika Jua ndimo kulimo uhai Jua ndicho kitu ambacho hakiwezi kusogelewa wala kuchunguzwa na kitu chochote hata kama utatumia kiona mbali utaishia kuvaa miwani ya kuzuia mwanga ili macho yako yasipofuke kwa miale mikali ya Mwanga wa jua.

Hata Uhai wa viumbe wote hai hutegemea Jua ndiyo maana katika Bara Antaktika uwezekano wa viumbe hai kuishi ni mdogo kwa sababu hupata kiasi kidogo cha jua katika msimu wa mzunguko wa Dunia Ni aina Flani ya Bakteria huweza kuishi katika eneo hilo na Samaki wanaositahimili baridi kari INAYOPELEKEA MAJI KUGANDA NA KUWA BARAFU, NA ENEO LOTE LA BARA ANTAKTIKA NI BARAFU NA MVUA INAYONYESHA NI KWA MARA MOJA KATIKA msimu wa Mwaka.

Jua haliwezi kukalibiwa na kitu chochote kwa maana hiyo Jua linatunza Nafsi Takatifu iliyo hai hakuna chochote chenye mwili au Kitu kinacho weza kusogelea jua kikawa salama kitaungua na kunasa katika Jua.

JUA ndio kitu Kitukufu ambacho mwanadamu kwa uelewa wake hawezi kufikia wala kujaribu kufanyia utafiti.

Katika utafiti wangu nimejifunza kwa kuwa Jua ndilo lina Uhai kwa Viumbe basi kuna uwezekana mkubwa wa 94.6% Muumba anaishi katika Jua Sehemu Tukufu isiyoweza kusogelewa na uchafu wa aina yoyote ya mwanadam.

BIBLIA TAKATIFU (UTAFITI)

Katika vitabu Agano la kale Mwenyezi Mungu anatolewa Sadaka za kuteketezwa, Wanafukiza ubani katika sehemu walizojenga Nyumba za Ibada kwaajiri ya MWENYEZI MUNGU.

Kwanini aunguziwe vitu apokee sadaka kwa moshi?

Kwanini asipewe ng'ombe au Kondoo mzima mpaka achomwe aunguzwe? Ni kwasababu Nafsi ya Mungu inaishi katika moto na Inapokea katika moto.

Kwanini makanisa Mengi yanachoma Ubani katika Nyumba zao za Ibada, Kwanini wasitengeneze Marashi yenye harufu ya Ubani?

Wanachoma kwa kuwa mlengwa Mtukufu anapokea Vitukufu katika moto mjue ya kuwa kila kitu kikichomwa kinatoka katika hali hali nzuri au mbaya hata Dhahabu ili Ing'ae ni lazima ichomwe katika moto.

Kutoka 19: 16-20 Inaelezea jinsi musa anapewa Amri 10 na Mungu na Mwenyezi Mungu anamwambia Musa watu wajitakase kabla ya kukalibia mlima na Mawinguni Kunatokea Radi, Ngurumo na Umeme na Mungu anashuka katika moto na kumpa amri Musa Mlima Sinai unatetemeka kwa utisho Unafuka moshi mkali kama moshi wa tanuu unafunika Mlima wote.

Kwanini Mungu atokee katika moto?

Ni kwa sababu anataka watu wajue Nafsi Tukufu ya Mungu inaishi katika Moto ANAKUJA KWA STAILI YA MAISHA YAKE KWA MAZINGIRA ANAYO ISHI LAKINI WANADAMU WANASHINDWA KULIJUA HILO.

KAMA MUNGU ANALETA AMRI 10 KWA STAILI YA MOTO BASI YEYE ANAISHI KATIKA MOTO KWA HIYO UTUKUFU WA MUNGU HATUWEZI KUUFIKIA BILA MWILI KUFA IKABAKI NAFSI.

Kwa hiyo KIFO NI FAIDA NA NDIO STAREHE YA PEKEE ALIYOTUZAWADIA MWENYEZI MUNGU KWA KUWA TUTAISHI KATIKA UTUKUFU KAMA NAFSI ILIYO KARIBU NA MUNGU BILA KUFA WEWE NI MTUMWA WA DUNIA.
Uwe TAJIRI, uwe MASIKINI wewe ni MTUMWA wa DUNIA hakuna RAHA UTAKULA KWA JASHO, UTALALA KWA KUJIGEUZA GEUZA USIUMIZE UPANDE MMOJA WA MWILI,

Duniani hapa tupo kwa ajili ya kuandaa Maisha ya Utukufu wa milele kama nafsi Katika Jua.

Utafiti wangu unaendelea kadiri Mungu atakavyonijalia ntawaletea ninayoendelea kujifunza Pia ninajitahidi kutafuta njia ya Kitaalamu ya kuweka Video katika kiona mbali ili niweze kuwashirikisha kwa yale ambayo mimi naendelea kuyavumbua kwa kutumia kiona mbali Ninazunguka sehemu mbali mbali kujifunza jinsi Dunia yetu ilivyo na ni kazi ngumu ila ninapata michango ya mawazo kwa watu wengi sana ambao ninawashirikisha sehemu mbalimbali za Dunia.

KARIBUNI KWA MAONI NA USHAURI..
the sun is too small to be God. it can't even penetrate into dark room, leave everyone in the night. U better keep this on ur mind or i keep it for you
 
Kama mtu anaamini uchawi usio shikika wala kuonekana kwa macho lakini asiamini uwepo wa Mungu basi huyo ni kipofu asie ona na ni kiziwi asiyesikia. Ila mungu ni mwenye huruma atawasaidia maana hawajui walitendalo

Unajuaje kwamba mtu anaamini uchawi usio shikika ? Una assume tu?

Mimi siamini uchawi, siamini shetani, siamini majini, siamini mungu.

Zaidi ya hapo, sitaki kuamini. Nataka kujua. Kuamini ni kaniki dhalili. Kujua ni hariri.

Sasa kwa mtu kama mimi utasemaje?
 
the sun is too small to be God. it can't even penetrate into dark room, leave everyone in the night. U better keep this on ur mind or i keep it for you
Can you prove God exists?
 
No you cant. That "not for free" is just an excuse from proving.

If you really can, prove.

I dont do nothing for free bro. God exist. He is the MOST HIGHEST LEVEL OF EXISTENCE.. And every form of existence that cannot co-exist with the MOST HIGHEST LEVEL OF EXISTENCE must decease existing..
 
I dont do nothing for free bro. God exist. He is the MOST HIGHEST LEVEL OF EXISTENCE.. And every form of existence that cannot co-exist with the MOST HIGHEST LEVEL OF EXISTENCE must decease existing..
Huja prove at any level.

Una force tu.

Kama mimi ninavyoweza kusema "Kichwa chako kimejaa mavi matupu".

Hilo linafanya kichwa chako kiwe kweli kimejaa mavi matupu?

Halafu hujui hata lugha unayotumia.

Ukiandika "I dont do nothing for free" that means you do everything for free.

Kama hujui hata kujieleza tu nitajuaje una akili za kutosha kujua kama mungu yupo au hayupo?

You are the proof that God does not exist. If he existed, he would not be so cruel as to create an imbecile like you.
 
'Hata Uhai wa viumbe wote hai hutegemea Jua ndiyo maana katika Bara Antaktika uwezekano wa viumbe hai kuishi ni mdogo kwa sababu hupata kiasi kidogo cha jua katika msimu wa mzunguko wa Dunia Ni aina Flani ya Bakteria huweza kuishi katika eneo hilo na Samaki wanaositahimili baridi kari INAYOPELEKEA MAJI KUGANDA NA KUWA BARAFU, NA ENEO LOTE LA BARA ANTAKTIKA NI BARAFU NA MVUA INAYONYESHA NI KWA MARA MOJA KATIKA msimu wa Mwaka.'

1. MAELEZO HAYA YANAMAANISHA KUNA UHAI ANTAKTIKA. KWA HIO JUA SIO LAZIMA LIWEPO ILI UHAI UWEPO.

2. NI KWELI KWENYE JUA PANAWEZA PASIFIKIKE, MAANA HATA HAO NASA WANAWEZA KUTYMA KITU KIKATEKETEA SOME MILLION KILOMETERS AWAY, HAPO KUNA UKWELI. NIKIUNGANISHA NA MISTARI YA BIBLE ULOWEKA, HUENDA KUNA KAUKWELI KUWA MUNGU ANAISHI IN THE FORM OF FIRE. KOMAA KIDOGO TENA UTAONA KITU.

3. WACHANGIAJI, PLEASE DO NOT DISCOURAGE THE MAN. MUNGU PIA NI VEMA TUMCHUNGUZE NA TUMJUE ILI TUWEZE KUJENGA MAHUSIANO NAYE. HUWEZI KUJENGA MAHUSIANO NA KITU USICHOKIJUA.

THANKS
Asante Mkuu
 
Je tumeambiwa wanaomuasi Mungu watachomwa moto na haw ata muona sasa unazungumziaje hii kitu
 
Inawezekana sie wavuta sigara kuna ka dalili ka uchamungu
 
Mnamchunguza mungu mnafikiri mtajua alipo? Mtabaki hatihati lake hamlipati ng'o..;
 
Kwahiyo wale Baniani wakifa huchomwa huwa wanaenda directly kwa Mungu????? na Nyie Dini nyinginezo msiochoma hamuendi?

Roman mwanzo walikuwa wanaabudu Mungu Jua... nadhani umebeba mawazo yao waliyoyaacha Sun day

Mimi nilikuwa na Mawazo kuwa Ahera au Motoni ni kwenye Jua tu maana ndio Moto wake hauishi kuwaka... ina maana katika utafiti wako Mungu wako Anaishi Motoni? na Shetani haishi Motoni eenh!

Tafiti la Miaka 16 ni balaa wasomi wa Bongo wana Kazi sana
 
Siamini na sitaki kuamini. Nataka kujua.

Nimekujibu maswali yako. Wewe hujanijibu yangu. Unaweza kunijibu?

NAOMBA UJIFUNZE UCHAWI KWA FAIDA YA KUJUA UKWELI WA MUNGU ILA IWE NI KWAAJIRI YA KUMJUA MUNGU.
Tafadhari hiki kitu naweka hadharani ili yeyote mwenye mawazo kama yako kuhusu Mungu na Nguvu zake ajifunze.
NIMEFUNDISHWA KAZAKHSTAN NA BUDDHA ILI NIMJUE MUNGU KTK UKUU WAKE.
Tafuta, yai la bundi au dudumizi 1 tu.
Tafuta unga wowote hata saw dust au unga wa mahindi kiasi chochote
Tafta kinyesi cha kuku na binadam changanya (kavu)
Tafuta tambara chafu la jalalani usipojua ameweka nani
CHANGANYA VYOTE HIVI KWA PAMOJA KATIKA NDOO YAI LIWEKWE JUU NA FUNGA HIYO NDOO NA SHARITI HAKIKISHA NDOO HAIJATUMIKA NA KAZI YOYOTE MPYA WEKA KATIKA CHUMBA FUNGIA KWA SIKU SABA USILUHUSU YEYOTE KUINGIA HATA WEWE UKIFUNGA USIFUNGUE MPAKA SIKU 7
Matokeo;
.Mda uliofunga fungua utakuta kuna unga wa mkaa kidogo sana.

;Uchawi unga huu utaweza kuutumia na hautaisha kamwe utaweza kuingia nyumba yoyote ilyofungwa na kutoka milango imefungwa.

Utanuiza chochote kwa mtu kibaya na kitakuwa unaweza ukaita watu wakashinda na wewe siku nzima unawatumikisha bila ujira.

Hata mwanamke unaye mpenda utamuita ukashinda nae. SHARITI MOJA SIKULIWEKA KWAAJIRI YA USALAMA LA KUCHANGANYA KWENYE UNGA UKITAJI INBOX KWAKO TU.
 
Back
Top Bottom