Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajuaje yote hayo kama huna attention to detail ya kujua wapi uweke "l" na wapi uweke "r"?Kama unashindwa kuwa na ufahamu ktk mambo ya Mungu ni ngum wewe mwenyewe kujielewa udhaifu wako.
Unashindwa kuwa na ufahamu kwanini ulimwengu umekuwapo huwezi kuwa na ufahamu kwa udhaifu wako.
Sasa umeuliza mfano ili iweje?Alikuwepo atakuwepo yeye ni Alfa na Omega Mwanzo na Mwisho
Hata wewe pitia mabandiko yako kuna sehemu unakosea lakini ujumbe wako unafika na kila ulicho lenga kinafika.Utajuaje yote hayo kama huna attention to detail ya kujua wapi uweke "l" na wapi uweke "r"?
Unakubali kwamba pembetatu ambayo hapo hapo ni duara ipo?
Inaonesha hata maana ya neno "kama" huelewi ni nini.Mimi siyo mkurya hata sina unasaba wowote na wakurya
Kwanza kabisa bacteria wanaonekana kwa macho kwenye microscope.Hata wewe pitia mabandiko yako kuna sehemu unakosea lakini ujumbe wako unafika na kila ulicho lenga kinafika.
Mwanadamu hukosea asiye kosea ni Mungu tu
Nimekwambia Mungu ni roho hakuna kisicho wezekana kwake hiyo pembe tatu inakuwa ngum ni vile uwezo wako wa kufikiria umegota.
Challenge!
Unafahamu bacteria wanavoishi na hawawezi kuonekana kwa macho?
Kwa kutumia akili yako niandikie sentensi ya majibu unielekeze umewaona tuanzie hapo utaelewa somo litakuingia tu
Utafiti hukosolewa na utafitiKafanye tena huo utafiti wako kiongozi.Kwa kukusaidia tu;Mwenyezi Mungu hakai kwenye nyota wala kwenye mbingu kama wengine wanavyodai.
Mungu ni roho :Aliumba binadamu kwa mfano wake , anaishije kwenye jua?
Mkuu ni kweli kwa bandiko lako naunga mkono hoja %Wanasayansi wameeleza specific place ambapo solar eclipse itatokea na ikawa hvyo lakin ikumbukwe wakat yesu anakufa kupatwa kwa jua pia kulitokea nchi yote ikawa Giza so yanayotokea in just continuation.point ya msing kwa nn hao wanasayanc wanatumia theories kuelezea city kama why not reality huoni kwamba wanaelezea kitu ambacho mungu anakioperate mwenye but wengne hueleza tu wanachoona.mfano watabr wa hali ya hewa wametabr from June up to august hali ya hewa dar itakuwa barid na imekuwa hvyo he Hawa nao tutawaita mungu?mungu in yule aliyeumba kila kitu Hawa wengne wanatumia city vlivyopo kueleza how do these things occur, why, where.naonba kuwasilisha
Wewe kwanza kajifunze herufi za Kiswahili.Mkuu nimekujibu hilo sio swali tatizo umefika mwisho wa kufikili jibu unaita swali
Kabla ya kuniambia Mungu anihurumie, unaweza kuthibitisha yupo at all?Mkuu inaonyesha umefika mwisho ubishi tu umeelewa unabaki kudandia hoja kubali hoja yako imeshindwa
Mungu akuhurumie
Mkuu; sidhani kama haulewi ni vile unatetea hoja yako iliyoshindwa kuwa na majibu ya unacho kiaminiWewe kwanza kajifunze herufi za Kiswahili.
Wapi pa kuweka "l" na wapi pa kuweka "r".
Neno ulilotakiwa kutumia ni "kufikiri" si "kufikili".
Siwezi kuwa na imani kwamba unaweza kufuatilia mjadala na mimi mpaka uweze kujua herufi za Kiswahili kwanza.
Hujaelewa kwamba suala si mimi kuelewa.Mkuu; sidhani kama haulewi ni vile unatetea hoja yako iliyoshindwa kuwa na majibu ya unacho kiamini
Hujui hata unacho kiandika! tatizo Mimi si wa level yako niite boga na kila unacho jisikia.Hujaelewa kwamba suala si mimi kuelewa.
Suala ni uwezo wako wa kuwa na "attention to detail" basic kabisa ya kujua wapi pa kuweka "l" na wapi ni pa kuweka "r".
Hata hilo tu hujaelewa.
Nitegemee vipi kwamba utaelewa "non sequitur" ni nini na "circular argument" ni nini.
Mimi mtu akishindwa kujua wapi pa kuweka "l" na wapi pa kuweka "r" namuona "country bumpkin".
Sasa wewe "country bumpkin" unataka kuja kujadili high level philosophy of religion wapi na wapi?
Kajifunze Kiswahili cha msingi kwanza.