Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Nimeelewa nimekujibu Kujikana (contradiction) ni kipengere ulichokomaa nacho lakini ni vile unashindwa kupambanua maandiko unakaririsha kichwa chako na ukaamini kipengere kimoja bila kusoma na kutafakari mwendelezo au mwanzo ulianzia wapi na umefkaka wapi!


Mungu yupo siyo wa kufikirika kama mawazo yako yalivyo.

Lugha ninazo ongea ni 5

Mwaka huu nimesoma vitabu 2 vya falsafa
sijasoma atheism sioni logic ya kusoma atheism

Nimesoma vitabu vingi ila Dini sijasoma.

Mungu yupo Ulimwengu umekuwapo kwa ajiri take.
Katik akili yako unaamini Ulimwengu umekuwapo kwa sababu flani hicho kilichosababisha na Mungu.

Lugha gani unaongea? Vitabu gani umesoma?

Mbona unaandika kama mtu asiye na upeo?

Hujathibitisha kwamba Mungu yupo.

Unahubiri tu.

Huja resolve contradictions za Mungu.

Hujaeleza maandiko gani sijayaelewa na sijayaelewa kivipi.

Unarahisisha mambo makubwa na magumu kwa majibu rahisi rahisi tu.

Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo.
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza... ni kwanin watu wanajali jambo ambalo u can't prove kama linaexist or not??? why are we bothered??.... why are we creating things in our minds... ni kwanin tunaelezewa mambo ya kale ambayo u can't justify if they are true words or not.... generation kadhaa zilizopita zilikuwa hazijui kabla ya ukoloni... watu walikuwa wanaishi tofauti na tunavyoishi sisi. Walikuwa hawaendi kanisani wala misikitini.... kwasasa tunaamin bila kufanya hayo ni dhambi kwa Mungu. Why tuishi kwenye the same planet earth alafu tuwe judged differently na Mungu huyo mmoja.
Maisha na zama kubadirika hakuondoi ukweli wa uwepo wa Mungu yeye ni yule yule Jana na Leo hayo ni mawazo yako lakini huu Ulimwengu ni mkubwa naamini kuna maisha ya viumbe hai ktk sayari nyingine inje ya Dunia haiondoi ukweli wa uwepo wa Muumba Mungu.
 
Mungu ni nafsi tukufu iliyo hai nafsi haiwezi kufa ataakuwepo milele na milele yeye ni MWANZO NA MWISHO
Hapa naona unenikuu.... nikuulize jambo imagine kwamba umezaliwa sehemu ambayo ukufunuliwa mambo ya kimungu.... je hayo ungetowa wapi haya unayoyazungumza leo??? je could u have the same assumptions as of now.
 
H

Hakuna aliye mleta, Mungu ni nafsi tukufu iliyo hai Ipo na ilikuwepo na itaaendelea kuwepo milele na milele Nafsi HAIFI wala yeye Ni mwanzo na mwisho
What is the state of nafsi??? Yabisi, kimiminika, gesi au dark matter?????...
 
ndo mana nikakwambia hauwez kumjua mungu kwa kutumia akili zako.na hapo ndo nikauita utafiti wake uchwara.akasome kitabu cha dini yake atajua kumuhusu mungu.sio kutumia akili zake anatudanganya
Je hivyo vitabu vimetumia akili ya nani??
 
Mkuu kama anakaa kila sehemu kwa nini Musa alipo kalibia kichaka kinachowaka moto aliambiwa Avue Viatu Mungu ni Utukufu usioweza kukalibiwa na kitu kichafu kama binadamu? Ndiyo maana nasisitiza mungu yupo katika Jua ambapo hapawezi kukalibiwa na chochote.
Kwani angekuwa anaishi kwenye galaxy nyingine je nani angemkaribia huko???
 
Je utafiti wako umefikia tamati?
Je kuna miungu wangapi apo juani?

Ni vema ukapeleka ripoti ya utafiti wako wizara ya sayansi ili ijadiliwe kitaifa.
 
hakuna anayejua mbingu ni nini.si bati si turubai.mungu mwenyewe ndo anajua kiukweli hakuna aliyewah kujfikia hyo mbingu ya kwanza.hakuna .na hata kuwepo.na hzo mbingu zipo saba.mbingu ya kwanza kuna nafasi hvyo hyo mpaka mbingu ya saba.juu kabisa huko ndo anapokaa mwenyez mungu
Mkuu kama hauwezi kudefine kitu je unamuelinishaje mtu mwingine??? Napata ukakasi... this shows ni jinsi gani umememorize yale uliyolishwa. If u cant explain to a fifteen years old child na akakuelewa that means u have to start researching again or better stay quite. Why do u want me to believe something I dont understand.... na ni kwanin nipate zambi wakati sikielewi???
 
Lugha gani unaongea? Vitabu gani umesoma?

Mbona unaandika kama mtu asiye na upeo?

Hujathibitisha kwamba Mungu yupo.

Unahubiri tu.

Huja resolve contradictions za Mungu.

Hujaeleza maandiko gani sijayaelewa na sijayaelewa kivipi.

Unarahisisha mambo makubwa na magumu kwa majibu rahisi rahisi tu.

Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo.
Naunga mkono hoja yako.Mwandishi wa hii post akapimwe afya ya akili.
 
Lugha gani unaongea? Vitabu gani umesoma?

Mbona unaandika kama mtu asiye na upeo?

Hujathibitisha kwamba Mungu yupo.

Unahubiri tu.

Huja resolve contradictions za Mungu.

Hujaeleza maandiko gani sijayaelewa na sijayaelewa kivipi.

Unarahisisha mambo makubwa na magumu kwa majibu rahisi rahisi tu.

Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo.
Hakuna nilipo rahisisha hoja yangu on ukweli usiopingika Mungu yupo na vitu vingi vipo wazi hakuna anayeweza kukataa akaleta ushahidi wa ushindi wake ktk imani anayoaamini hata wewe unasadikisha hakuna uhakika na unachosema Pole sana Mungu yupo Mimi sihubiri siyo mchungaji naongea uhalisia.

Mlipuko wa Big bang Uliiacha Dunia na joto kari sana kusingewezekana kuwepo uhai wa asili (super natural) kwa joto lililokuwa likikadiriwa ilifika 4,500,000° ambalo mpaka Leo Dunia imepoa inje na sehemu za ndani bado ni joto kari.

Miale ya Jua (sun) yenye sum kari iliweza kufika ktk sayari ya Dunia bila kizuizi chochote uwezekano wa hewa mgando ya ukanda haukuwepo.

Nini kilipoza Dunia?

Nini kilianzisha oxygen?

Nini kilianzisha hewa ya ukanda kukinga Dunia na miare sumu ya Jua?

Nini kilianzisha uhai?

Unaufahamu Ulimwengu?
 
Hapa naona unenikuu.... nikuulize jambo imagine kwamba umezaliwa sehemu ambayo ukufunuliwa mambo ya kimungu.... je hayo ungetowa wapi haya unayoyazungumza leo??? je could u have the same assumptions as of now.
Zamani ktk jamii yangu waliamini Mungu ndie aliyeumba inchi , waliamini Jua ni jicho la Mungu jamii zote wanaamini Mungu ni vile kujikanganya ktk matamshi .

Atheism wanaamani uhai na vyote ni super natural ni vile akili imefika anakoona lakini hiyo supernatural ndio Mungu ni mgoto wa ufikiriaji
 
Hakuna nilipo rahisisha hoja yangu on ukweli usiopingika Mungu yupo na vitu vingi vipo wazi hakuna anayeweza kukataa akaleta ushahidi wa ushindi wake ktk imani anayoaamini hata wewe unasadikisha hakuna uhakika na unachosema Pole sana Mungu yupo Mimi sihubiri siyo mchungaji naongea uhalisia.

Mlipuko wa Big bang Uliiacha Dunia na joto kari sana kusingewezekana kuwepo uhai wa asili (super natural) kwa joto lililokuwa likikadiriwa ilifika 4,500,000° ambalo mpaka Leo Dunia imepoa inje na sehemu za ndani bado ni joto kari.

Miale ya Jua (sun) yenye sum kari iliweza kufika ktk sayari ya Dunia bila kizuizi chochote uwezekano wa hewa mgando ya ukanda haukuwepo.

Nini kilipoza Dunia?

Nini kilianzisha oxygen?

Nini kilianzisha hewa ya ukanda kukinga Dunia na miare sumu ya Jua?

Nini kilianzisha uhai?

Unaufahamu Ulimwengu?
Unaelewa kwamba katika vyote ulivyotaja hakuna hata kimoja kilichothibitisha kwamba Mungu yupo?
 
Naunga mkono hoja yako.Mwandishi wa hii post akapimwe afya ya akili.
Mkuu waafrika tupo hivi hatupendi kujifunza hatuamini hata yanayowezekana siyo kosa lako

Tunasoma mifumo ya elimu ya Informal kuanzia awali mpaka chuo lazima ni tegemee wengi kama wewe KARIBU KIJANA MLUGO
 
Unaelewa kwamba katika vyote ulivyotaja hakuna hata kimoja kilichothibitisha kwamba Mungu yupo?
Hivi kwanini unashindwa kunielewa mbona kila kitu kipo wazi?

Wewe unaamini nn kimesababisha Ulimwengu kuwepo na uhai?
 
Mkuu kama hauwezi kudefine kitu je unamuelinishaje mtu mwingine??? Napata ukakasi... this shows ni jinsi gani umememorize yale uliyolishwa. If u cant explain to a fifteen years old child na akakuelewa that means u have to start researching again or better stay quite. Why do u want me to believe something I dont understand.... na ni kwanin nipate zambi wakati sikielewi???
Angalia anae kujibu ni yupi usikurupuke Mimi natumia hoja za kisayansi nilizozifanyia utafiti na bado naendelea kufanya utafiti.
 
Mkuu kama hauwezi kudefine kitu je unamuelinishaje mtu mwingine??? Napata ukakasi... this shows ni jinsi gani umememorize yale uliyolishwa. If u cant explain to a fifteen years old child na akakuelewa that means u have to start researching again or better stay quite. Why do u want me to believe something I dont understand.... na ni kwanin nipate zambi wakati sikielewi???
Mkuu unashindwa hata kutofautisha majina kama una usingizi lala FYATUENI WATASOMA BULE (JPM)
 
Je utafiti wako umefikia tamati?
Je kuna miungu wangapi apo juani?

Ni vema ukapeleka ripoti ya utafiti wako wizara ya sayansi ili ijadiliwe kitaifa.
Mkuu hakuna nilikosema miungu nimesema Mungu muumba wa vyote.
 
Back
Top Bottom