Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Kuanzia 1999 mpaka sasa zaidi ya miaka 16 nimekuwa nikifanya utafiti wapi yalipo makazi ya Mwenyezi Mungu Kisayansi na Kutumia Vitabu vitakatifu hasahasa Biblia Takatifu nimepata majibu pasina shaka kila mumoja wetu atakubaliana nayo.

Utafiti huu haulengi kumchafua mtu mtu yeyote kwa imani yake naomba atakayeshindwa kuelewa asiwe na jaziba maana ni utafiti wangu binafsi.

KISAYANSI; Mpangilio na Usanifu wa muundo wa Ulimwengu wetu ni mpangilio uliofanywa kwa usahihi ndio maana kila kitu kipo katika sehemu yake bila kuathiri kingine kwa mfano; Dunia na Sayari zote katika mfumo wa Jua letu zinalizunguka Jua kwa kasi lakini haziwezi kugongana Na katika Anga yetu kuna Nyota mamilioni na pia Kuna Majua Mengine yametengeneza mifumo mifumo ya Sayari kama tuliyo nayo katika Jua letu, Vitu hivi vinaonekana kwa mbali na haviwezi kufikika kwa urahisi kwa akili za Kibinadamu.

Nina hakika Mwenyezi Mungu anaishi katika mojawapo ya Nyota za Jua kwa kuwa hakuwezi kufikika kwakua kuna joto {moto} kali sana hakuna chochote kinaweza kukaribia hata kwa kilometa milioni moja.

Katika Jua ndimo kulimo uhai Jua ndicho kitu ambacho hakiwezi kusogelewa wala kuchunguzwa na kitu chochote hata kama utatumia kiona mbali utaishia kuvaa miwani ya kuzuia mwanga ili macho yako yasipofuke kwa miale mikali ya Mwanga wa jua.

Hata Uhai wa viumbe wote hai hutegemea Jua ndiyo maana katika Bara Antaktika uwezekano wa viumbe hai kuishi ni mdogo kwa sababu hupata kiasi kidogo cha jua katika msimu wa mzunguko wa Dunia Ni aina Flani ya Bakteria huweza kuishi katika eneo hilo na Samaki wanaositahimili baridi kari INAYOPELEKEA MAJI KUGANDA NA KUWA BARAFU, NA ENEO LOTE LA BARA ANTAKTIKA NI BARAFU NA MVUA INAYONYESHA NI KWA MARA MOJA KATIKA msimu wa Mwaka.

Jua haliwezi kukalibiwa na kitu chochote kwa maana hiyo Jua linatunza Nafsi Takatifu iliyo hai hakuna chochote chenye mwili au Kitu kinacho weza kusogelea jua kikawa salama kitaungua na kunasa katika Jua.

JUA ndio kitu Kitukufu ambacho mwanadamu kwa uelewa wake hawezi kufikia wala kujaribu kufanyia utafiti.

Katika utafiti wangu nimejifunza kwa kuwa Jua ndilo lina Uhai kwa Viumbe basi kuna uwezekana mkubwa wa 94.6% Muumba anaishi katika Jua Sehemu Tukufu isiyoweza kusogelewa na uchafu wa aina yoyote ya mwanadam.

BIBLIA TAKATIFU (UTAFITI)

Katika vitabu Agano la kale Mwenyezi Mungu anatolewa Sadaka za kuteketezwa, Wanafukiza ubani katika sehemu walizojenga Nyumba za Ibada kwaajiri ya MWENYEZI MUNGU.

Kwanini aunguziwe vitu apokee sadaka kwa moshi?

Kwanini asipewe ng'ombe au Kondoo mzima mpaka achomwe aunguzwe? Ni kwasababu Nafsi ya Mungu inaishi katika moto na Inapokea katika moto.

Kwanini makanisa Mengi yanachoma Ubani katika Nyumba zao za Ibada, Kwanini wasitengeneze Marashi yenye harufu ya Ubani?

Wanachoma kwa kuwa mlengwa Mtukufu anapokea Vitukufu katika moto mjue ya kuwa kila kitu kikichomwa kinatoka katika hali hali nzuri au mbaya hata Dhahabu ili Ing'ae ni lazima ichomwe katika moto.

Kutoka 19: 16-20 Inaelezea jinsi musa anapewa Amri 10 na Mungu na Mwenyezi Mungu anamwambia Musa watu wajitakase kabla ya kukalibia mlima na Mawinguni Kunatokea Radi, Ngurumo na Umeme na Mungu anashuka katika moto na kumpa amri Musa Mlima Sinai unatetemeka kwa utisho Unafuka moshi mkali kama moshi wa tanuu unafunika Mlima wote.

Kwanini Mungu atokee katika moto?

Ni kwa sababu anataka watu wajue Nafsi Tukufu ya Mungu inaishi katika Moto ANAKUJA KWA STAILI YA MAISHA YAKE KWA MAZINGIRA ANAYO ISHI LAKINI WANADAMU WANASHINDWA KULIJUA HILO.

KAMA MUNGU ANALETA AMRI 10 KWA STAILI YA MOTO BASI YEYE ANAISHI KATIKA MOTO KWA HIYO UTUKUFU WA MUNGU HATUWEZI KUUFIKIA BILA MWILI KUFA IKABAKI NAFSI.

Kwa hiyo KIFO NI FAIDA NA NDIO STAREHE YA PEKEE ALIYOTUZAWADIA MWENYEZI MUNGU KWA KUWA TUTAISHI KATIKA UTUKUFU KAMA NAFSI ILIYO KARIBU NA MUNGU BILA KUFA WEWE NI MTUMWA WA DUNIA.
Uwe TAJIRI, uwe MASIKINI wewe ni MTUMWA wa DUNIA hakuna RAHA UTAKULA KWA JASHO, UTALALA KWA KUJIGEUZA GEUZA USIUMIZE UPANDE MMOJA WA MWILI,

Duniani hapa tupo kwa ajili ya kuandaa Maisha ya Utukufu wa milele kama nafsi Katika Jua.

Utafiti wangu unaendelea kadiri Mungu atakavyonijalia ntawaletea ninayoendelea kujifunza Pia ninajitahidi kutafuta njia ya Kitaalamu ya kuweka Video katika kiona mbali ili niweze kuwashirikisha kwa yale ambayo mimi naendelea kuyavumbua kwa kutumia kiona mbali Ninazunguka sehemu mbali mbali kujifunza jinsi Dunia yetu ilivyo na ni kazi ngumu ila ninapata michango ya mawazo kwa watu wengi sana ambao ninawashirikisha sehemu mbalimbali za Dunia.

KARIBUNI KWA MAONI NA USHAURI..

Ulikosa kaz ya kufanya unaamua udanganye kua n tafit umefanyaa jaamaa hapo umezingua 100%
 
Ulikosa kaz ya kufanya unaamua udanganye kua n tafit umefanyaa jaamaa hapo umezingua 100%
Hayo ni maoni yako kulingana na mazingira yako na uwezo wako wa kufikiri asante kwa kuchangia uwezo wako umekwisha kufikiri.
 
Ni vema ungejikita katika tafiti za jinsi ya kufanya kilimo kiwe na tija.
Hayo mambo ya kumchunguza mungu yatakufanya uwe mwehu kama Lipumba.
Kila kada ina wataalamu wake
 
Ni kweli.Tatizo ni kubwa ya zaidi tunavyo ambiwa.
Wakati wenzetu wanafanya utafiti wa kutengeneza samsung note 7 watu wengine wanafanya utafiti wa kumchunguza Mungu..
Taifa la wakimbiza Mwenge! Huo ni uwezo wako wa kufikiri na haimanishi utfiti huu ndicho kitu pekee ninacho kifanya lipumba ni tofauti na Mimi hii siyo siasa ni utafiti
 
I have been thinking a lot about quantum mechanics, particularly this question. I have yet another quantum mechanics book - "The Quantum Story: A History in 40 Minutes"- to finish before the end of the year just to understand it better. If you have a worthy title please do recommend.

If God has any hope in my heart, it will not come from the Bible, the Dhamapada, the Tripitaka, The Quran, The Tibetan Book of The Dead, The Egyptian Book of The Dead, The Bhagavad Gita, The Upanishads - all of which I have read from cover to cover and dismissed. God in the context of an omniscient, omnipotent and omni benevolent godhead- . God will have to come from Quantum Physics or its derivative Grand Unifying Theory -in a sense that transcends unifying Relativity and Quantum Physics and ventures into unifying God and Science in a way that will make us understand God's mind as per the closing sentences of Professor Stephen Hawking in "A Brief History of Time: From The Big Bang To Black Holes". The last bastion of restoring this confidence is Science, even as one needs faith to pursue science.

Your succinct post shows you are learned. At least to the extent of knowing that we are still challenged by logical contradictions in science. But it does not show that these challenges are inherent or simply due to the poverty of our minds.

I respect learned people. I respect anybody who dare to discuss quantum mechanics.

From Heisenberg, particularly the Uncertainty Principle, what I have gathered is that it is not so much that electrons and similar particles can be -some say must be- at more than one position at any particular time, as it is that we do not have the capacity to accurately measure both the position x and momentum p of a particle.

In other words, it is quite possible that the particles have definite position, we just do not have precise enough tools to measure both the particles' position and momentum at the same time.

On that note, I have observed that even in the much simpler question of optics, we cannot focus on the foreground and background.

I read some 7 years ago, and this needs scholarly verification, that the Uncertainty Principle was not caused by some inadequacy in our measurement or tools, that it was an inherrent fact of our universe.

That could very well vindicate contradiction.

But to quote Albert Einstein, "God does not play dice".

A probabilistic universe in which uncertainty sits at the base, quite part from vindicating a godhead by way of allowing contradiction, would actually prove further that God does not exist and the entire charade is a product of things that are infinitely more comolex than the entire God idea.

Maybe God needs a God. His God needs a God. His God's God need a God, ad infinitum, ad nausea.

In a way that the word and idea of God is reduced to a very small wheel in an almost infinite machine.

I haven't even touched on "spooky action at a distance" also known "Quantum Entanglement", which would make two distinct electrons act as one.

How do you say one electron can be at two different places if you cant even show that one electron cannot act like two electrons with the same characteristics at two different places?

See NIST Team Proves 'Spooky Action at a Distance' is Really Real

CC Kikwajuni One The Transporter always am a Winner UHURU JR impongo
Sioni Mantiki yoyote umeharibiwa na kujifunza vitu vya wengine umeshindwa kutumia akili yako kupambanua jema na ovu.

Unatumia mifano lahisi Mungu ni Mkubwa unavyoona ukubwa wa anga haupimiki ndio uwezo wa Mungu haupimiki.

Mifano ya elektronik moja haiwezi kuwa zaidi niya kitoto Mungu ni muweza wa yote.
 
I have been thinking a lot about quantum mechanics, particularly this question. I have yet another quantum mechanics book - "The Quantum Story: A History in 40 Minutes"- to finish before the end of the year just to understand it better. If you have a worthy title please do recommend.

If God has any hope in my heart, it will not come from the Bible, the Dhamapada, the Tripitaka, The Quran, The Tibetan Book of The Dead, The Egyptian Book of The Dead, The Bhagavad Gita, The Upanishads - all of which I have read from cover to cover and dismissed. God in the context of an omniscient, omnipotent and omni benevolent godhead- . God will have to come from Quantum Physics or its derivative Grand Unifying Theory -in a sense that transcends unifying Relativity and Quantum Physics and ventures into unifying God and Science in a way that will make us understand God's mind as per the closing sentences of Professor Stephen Hawking in "A Brief History of Time: From The Big Bang To Black Holes". The last bastion of restoring this confidence is Science, even as one needs faith to pursue science.

Your succinct post shows you are learned. At least to the extent of knowing that we are still challenged by logical contradictions in science. But it does not show that these challenges are inherent or simply due to the poverty of our minds.

I respect learned people. I respect anybody who dare to discuss quantum mechanics.

From Heisenberg, particularly the Uncertainty Principle, what I have gathered is that it is not so much that electrons and similar particles can be -some say must be- at more than one position at any particular time, as it is that we do not have the capacity to accurately measure both the position x and momentum p of a particle.

In other words, it is quite possible that the particles have definite position, we just do not have precise enough tools to measure both the particles' position and momentum at the same time.

On that note, I have observed that even in the much simpler question of optics, we cannot focus on the foreground and background.

I read some 7 years ago, and this needs scholarly verification, that the Uncertainty Principle was not caused by some inadequacy in our measurement or tools, that it was an inherrent fact of our universe.

That could very well vindicate contradiction.

But to quote Albert Einstein, "God does not play dice".

A probabilistic universe in which uncertainty sits at the base, quite part from vindicating a godhead by way of allowing contradiction, would actually prove further that God does not exist and the entire charade is a product of things that are infinitely more comolex than the entire God idea.

Maybe God needs a God. His God needs a God. His God's God need a God, ad infinitum, ad nausea.

In a way that the word and idea of God is reduced to a very small wheel in an almost infinite machine.

I haven't even touched on "spooky action at a distance" also known "Quantum Entanglement", which would make two distinct electrons act as one.

How do you say one electron can be at two different places if you cant even show that one electron cannot act like two electrons with the same characteristics at two different places?

See NIST Team Proves 'Spooky Action at a Distance' is Really Real

CC Kikwajuni One The Transporter always am a Winner UHURU JR impongo
Sioni Mantiki yoyote umeharibiwa na kujifunza vitu vya wengine umeshindwa kutumia akili yako kupambanua jema na ovu.

Unatumia mifano lahisi Mungu ni Mkubwa unavyoona ukubwa wa anga haupimiki ndio uwezo wa Mungu haupimiki.

Mifano ya elektronik moja haiwezi kuwa zaidi niya kitoto Mungu ni muweza wa yote.
 
Sioni Mantiki yoyote umeharibiwa na kujifunza vitu vya wengine umeshindwa kutumia akili yako kupambanua jema na ovu.

Unatumia mifano lahisi Mungu ni Mkubwa unavyoona ukubwa wa anga haupimiki ndio uwezo wa Mungu haupimiki.

Mifano ya elektronik moja haiwezi kuwa zaidi niya kitoto Mungu ni muweza wa yote.
Mbona haukutumia akili yako... kuwa na jf yako???
 
Tutaamini vipi maneno yako? Ulikuwepo wakati anaumba? Nani alishuhudia huo uumbaji?
Ulizo la kitoto ni sawa na kuulizwa mama ako alipo kutunga mimba ulikuwepo utajibu vipi?
 
U ask those questions... embu jiulize when u die na kuoza... funza wanatoka wapi???? Kama nikitumia mfano wa funza naweza pia kusema binadamu wa kwanza huenda aliibuka from something...
maxime Hiyo nyengineyo ninini? Hiyo nyenguneyo iite Mungu utapata jibu
 
Kiwango cha Akili ya binadamu tulucho wekewa haziwezi Kim chunguza Mungu aliye tutengeneza, kuna watu wanasema wanafanya kazi na majini na mashetani, hata watu wamediliki kusema wameonana na shetani, kwa sababu shetani alikuwa huko kama Bible inavyosema basi wamuulize yeye, lakini hawezi kusema ndio maana imani za hakuna Mungu, Mungu jua nk, ni za shetani mwenyewe, kama shetani kushindwa kuwaambia, maana yeye anaitwa baba wa uongo, na alikuwako huko basi ni vigumu sana kujua maana hata yeye ni kiumbe tu hajawai kumuona Mungu, ila vita yake ilikuwa kati ya malaika watiifu na malaika waasi, kiongozi wa malaika watiifu alikuwa Mikael, na waasi shetani, kuufupi kuumbe haziwezi kumchunguza Muumba, na akili ikapata tafasili, Mungu yupo by karibu sana wakati wachunguzi wanaenda mbali kumtafuta , Mungu ni Roho, Roho ni kama upepo,
Hiki kizazi hakielewi wamejifunza kuangalia movie za magharibi wakaamua kuzileta ktk ubishani ni Mpumbavu tu anayesema Mungu hayupo.
 
Chochote kilichosababisha ulimwengu uwepo, chochote kilichosababisha uhai uwepo, si Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Kwa sababu ulimwengu uliopo na uhai uliopo havina logical consistency na Mungu huyo.

In fact ulimwengu uliopo na uhai uliopo vina m contradict Mungu huyo.

Na contradiction inaonesha uongo katika habari.

Hivyo habari ya kuwepo Mungu huyu ni uongo.

Nikikwambia sasa hivi nipo Los Angeles, halafu hapo hapo nikakwambia nipo Dar es salaam muda huo huo, utajua habari hii haijakaa sawa, ina contradiction. Kwa sababu siwezi kuwa sehemu mbili kwa wakati mmoja.

Nikikwambia nina pembetatu ambayo pia ni duara, katika Euclidian geometry, habari hiyo haiyumkiniki. Ni contradiction.

Umeelewa hilo?
Kama hujui kilichosababisha uhai kwanini asiwe Mungu?
 
Utafiti unaosema Watanzania laki nne wana ugonjwa wa akili mimi nnaupinga, nnaamini Watanzania wenye matatizo ya akili ni wengi tena wengi sana.
Bibie huku sio size yako hakuna Ccm vs Ukawa wala mmu

Utaumiza kichwa bure huku hapakufai
 
Sioni Mantiki yoyote umeharibiwa na kujifunza vitu vya wengine umeshindwa kutumia akili yako kupambanua jema na ovu.

Unatumia mifano lahisi Mungu ni Mkubwa unavyoona ukubwa wa anga haupimiki ndio uwezo wa Mungu haupimiki.

Mifano ya elektronik moja haiwezi kuwa zaidi niya kitoto Mungu ni muweza wa yote.
Wewe hufahamu tofauti ya "lahisi" na "rahisi".

Utaweza vipi kufuatilia mabishano ya falsafa ya juu ya dini na mantiki ya kuwapo na kutokuwapo kwa Mungu muweza yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?
 
Kama hujui kilichosababisha uhai kwanini asiwe Mungu?
Kwa sababu Mungu asingeumba uhai ambao hauna 100% efficiency.

Tungekuwa tumeumbwa na Mungu tusingekunya.

Kunya ni waste production, waste product ni sehemu ya inefficient systems, Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na ujuzi wote kutengeneza an inefficient system ni contradiction.

Contradiction inaonesha uongo.

Dhana ya Mungu huyu kutuumba ni uongo.
 
Kuanzia 1999 mpaka sasa zaidi ya miaka 16 nimekuwa nikifanya utafiti wapi yalipo makazi ya Mwenyezi Mungu Kisayansi na Kutumia Vitabu vitakatifu hasahasa Biblia Takatifu nimepata majibu pasina shaka kila mumoja wetu atakubaliana nayo.

Utafiti huu haulengi kumchafua mtu mtu yeyote kwa imani yake naomba atakayeshindwa kuelewa asiwe na jaziba maana ni utafiti wangu binafsi.

KISAYANSI; Mpangilio na Usanifu wa muundo wa Ulimwengu wetu ni mpangilio uliofanywa kwa usahihi ndio maana kila kitu kipo katika sehemu yake bila kuathiri kingine kwa mfano; Dunia na Sayari zote katika mfumo wa Jua letu zinalizunguka Jua kwa kasi lakini haziwezi kugongana Na katika Anga yetu kuna Nyota mamilioni na pia Kuna Majua Mengine yametengeneza mifumo mifumo ya Sayari kama tuliyo nayo katika Jua letu, Vitu hivi vinaonekana kwa mbali na haviwezi kufikika kwa urahisi kwa akili za Kibinadamu.

Nina hakika Mwenyezi Mungu anaishi katika mojawapo ya Nyota za Jua kwa kuwa hakuwezi kufikika kwakua kuna joto {moto} kali sana hakuna chochote kinaweza kukaribia hata kwa kilometa milioni moja.

Katika Jua ndimo kulimo uhai Jua ndicho kitu ambacho hakiwezi kusogelewa wala kuchunguzwa na kitu chochote hata kama utatumia kiona mbali utaishia kuvaa miwani ya kuzuia mwanga ili macho yako yasipofuke kwa miale mikali ya Mwanga wa jua.

Hata Uhai wa viumbe wote hai hutegemea Jua ndiyo maana katika Bara Antaktika uwezekano wa viumbe hai kuishi ni mdogo kwa sababu hupata kiasi kidogo cha jua katika msimu wa mzunguko wa Dunia Ni aina Flani ya Bakteria huweza kuishi katika eneo hilo na Samaki wanaositahimili baridi kari INAYOPELEKEA MAJI KUGANDA NA KUWA BARAFU, NA ENEO LOTE LA BARA ANTAKTIKA NI BARAFU NA MVUA INAYONYESHA NI KWA MARA MOJA KATIKA msimu wa Mwaka.

Jua haliwezi kukalibiwa na kitu chochote kwa maana hiyo Jua linatunza Nafsi Takatifu iliyo hai hakuna chochote chenye mwili au Kitu kinacho weza kusogelea jua kikawa salama kitaungua na kunasa katika Jua.

JUA ndio kitu Kitukufu ambacho mwanadamu kwa uelewa wake hawezi kufikia wala kujaribu kufanyia utafiti.

Katika utafiti wangu nimejifunza kwa kuwa Jua ndilo lina Uhai kwa Viumbe basi kuna uwezekana mkubwa wa 94.6% Muumba anaishi katika Jua Sehemu Tukufu isiyoweza kusogelewa na uchafu wa aina yoyote ya mwanadam.

BIBLIA TAKATIFU (UTAFITI)

Katika vitabu Agano la kale Mwenyezi Mungu anatolewa Sadaka za kuteketezwa, Wanafukiza ubani katika sehemu walizojenga Nyumba za Ibada kwaajiri ya MWENYEZI MUNGU.

Kwanini aunguziwe vitu apokee sadaka kwa moshi?

Kwanini asipewe ng'ombe au Kondoo mzima mpaka achomwe aunguzwe? Ni kwasababu Nafsi ya Mungu inaishi katika moto na Inapokea katika moto.

Kwanini makanisa Mengi yanachoma Ubani katika Nyumba zao za Ibada, Kwanini wasitengeneze Marashi yenye harufu ya Ubani?

Wanachoma kwa kuwa mlengwa Mtukufu anapokea Vitukufu katika moto mjue ya kuwa kila kitu kikichomwa kinatoka katika hali hali nzuri au mbaya hata Dhahabu ili Ing'ae ni lazima ichomwe katika moto.

Kutoka 19: 16-20 Inaelezea jinsi musa anapewa Amri 10 na Mungu na Mwenyezi Mungu anamwambia Musa watu wajitakase kabla ya kukalibia mlima na Mawinguni Kunatokea Radi, Ngurumo na Umeme na Mungu anashuka katika moto na kumpa amri Musa Mlima Sinai unatetemeka kwa utisho Unafuka moshi mkali kama moshi wa tanuu unafunika Mlima wote.

Kwanini Mungu atokee katika moto?

Ni kwa sababu anataka watu wajue Nafsi Tukufu ya Mungu inaishi katika Moto ANAKUJA KWA STAILI YA MAISHA YAKE KWA MAZINGIRA ANAYO ISHI LAKINI WANADAMU WANASHINDWA KULIJUA HILO.

KAMA MUNGU ANALETA AMRI 10 KWA STAILI YA MOTO BASI YEYE ANAISHI KATIKA MOTO KWA HIYO UTUKUFU WA MUNGU HATUWEZI KUUFIKIA BILA MWILI KUFA IKABAKI NAFSI.

Kwa hiyo KIFO NI FAIDA NA NDIO STAREHE YA PEKEE ALIYOTUZAWADIA MWENYEZI MUNGU KWA KUWA TUTAISHI KATIKA UTUKUFU KAMA NAFSI ILIYO KARIBU NA MUNGU BILA KUFA WEWE NI MTUMWA WA DUNIA.
Uwe TAJIRI, uwe MASIKINI wewe ni MTUMWA wa DUNIA hakuna RAHA UTAKULA KWA JASHO, UTALALA KWA KUJIGEUZA GEUZA USIUMIZE UPANDE MMOJA WA MWILI,

Duniani hapa tupo kwa ajili ya kuandaa Maisha ya Utukufu wa milele kama nafsi Katika Jua.

Utafiti wangu unaendelea kadiri Mungu atakavyonijalia ntawaletea ninayoendelea kujifunza Pia ninajitahidi kutafuta njia ya Kitaalamu ya kuweka Video katika kiona mbali ili niweze kuwashirikisha kwa yale ambayo mimi naendelea kuyavumbua kwa kutumia kiona mbali Ninazunguka sehemu mbali mbali kujifunza jinsi Dunia yetu ilivyo na ni kazi ngumu ila ninapata michango ya mawazo kwa watu wengi sana ambao ninawashirikisha sehemu mbalimbali za Dunia.

KARIBUNI KWA MAONI NA USHAURI..
Which means what????
Wenye dhambi.....wakitupwa motoni watakuwa wametupwa kwa mungu
 
Binafsi naona umetupa miaka yako yote kumi na tano kwa kufanya utafiti usio na kichwa wala miguu na usio na tija yeyote kwa maisha ya binadamu.
Mathalani tuchukulie upo sahihi kuwa Mungu anaishi Juani:So what?
Binadamu atafaidika vipi na huu ugunduzi wako?
Utafiti lazima uwe na rationale.
 
Back
Top Bottom