Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Hii imekaa kidini dini sana.Kibongo bongo Ukitaka ufanikiwe,
Fanya biashara na wenye hofu ya Mungu,
Hasa wavaa kobazi, wazee wa swala tano.
Hasa wazanzibari,wasomali au waarabu
Kiukweli tangu nmefanya nao kazi sijawahi kujuta[emoji4][emoji1431]
Mtu asiye muaminifu
Ni wa kumuepuka sn ktk utaftaji wako
Hata muandikishane mikataba lukuki,
Muhun Ni muhuni TU,akishadhamilia kukudhulumu lazima atakudhulumu TU.
Pia kuendesha kesi za madai Hizi mahakamani zetu utajikuta unapoteza Muda na pesa zaidi ya hizo ulizodhurumiwa.
Kibongo bongo Ukitaka ufanikiwe,
Fanya biashara na wenye hofu ya Mungu,
Hasa wavaa kobazi, wazee wa swala tano.
Hasa wazanzibari,wasomali au waarabu
Kiukweli tangu nmefanya nao kazi sijawahi kujuta[emoji4][emoji1431]
Kama ni lazima na muhimu kutoa pesa kwa mtu, bora hiyo pesa uiite msaada utabaki na amani rohoni.
Ila ukiita mkopo utabaki na maumivu ndani ya nafsi na kujenga uhasama usiokuwa wa lazima.
Ili kuepuka kufilisika
Pia epuka biashara yako tabia ya kuwakopesha sana wateja.
Yaani
Kuwakopesha wateja iwe Ni kwa dharula TU na wasijenge mazoea. Maana wateja wakikuzoea unakopesha kirahisi utashangaa kwa wengine wanalipa cash,wakija kwako ndo wanakukopa.
Pia epuka kumkopesha mteja kavukavu,
Lazimisha kwanza Alipie nusu au robo tatu, afu nyingine inayobaki ndo adaiwe.
Pia hiyo inayobaki unamdai jitahidi iwe ni sehemu ya faida yako,ili asipolipa Deni lake, ihesabike hujapata faida Wala hasara.
Bali pesa aliyokupa unaenda kununua mali nyingine na kuendeleza mzunguko wako.
Pia kumbuka
Kwenye biashara kukopesha kopesha Sana Ni kuwafukuza wateja, akikamia kumdai Sana mteja mnagombana na unajichafua.
Na wateja wakishakujua kwenye madeni unakamia sana,utashangaa hata usiwadai wanakuhama[emoji4]
Kwaninimtaji wa kupewa ningumu sana kuendeleza
Ndio maana mchungaji kimaro amewasifia na watu wakampinga kumbe ni kweli bwana.Kibongo bongo Ukitaka ufanikiwe,
Fanya biashara na wenye hofu ya Mungu,
Hasa wavaa kobazi, wazee wa swala tano.
Hasa wazanzibari,wasomali au waarabu
Kiukweli tangu nmefanya nao kazi sijawahi kujuta[emoji4][emoji1431]
Uzi tayari...Habari guys
Kuna kitu watu wengi huwa hawakisemi ila kwa utafiti wangu na bado najiulza kwanini watu huwa hawakisemi
KUFANYA KAZ KWA KUAMINIANA AU MAKUBALIANO
Unafanya biashara na watu unawapa pesa kisa unawaamnin no contract itakufanya uhisi unamikosi kila sku maana utavuna maumivu na itakupa shida kudai haki yako mdaiwa hafungwi kumbuka
ONGEZEN ZINGINE TUZID KUJIFUNZA