Ukweli: Yanga haina Mwanasheria. Eng, Hersi akiendelea nao hawa huko mbele watamfelisha pakubwa

Kasema kufikia wiki ijayo mtapata majibu punguzeni wasiwasi
Yuko vizuri huyo wakili wa Yanga

Jengo la Yanga jangwani lilijengwa na mshabiki namba moja wa Yanga Raisi wa Zanzibar marehemu sheikh Karume

Alipokufa Yanga wakampa mkewe mama Fatuma Karume kuwa mmojawapo wa baraza la wadhamini

Hiyo kesi kuna hao mawakiki wajinga walifoji sahihi ya mama Karume kuwa aliwapa power of Attorney wafungue kesi ya kumtoa Engineer Hersi

Mama Karume kakataa kuwa hajawahi kutoa power of attorney kwa hao wajinga au yeyote kumruhusu amwakilshe kesi yeyote ya kuhusu Yanga .

Sasa hivi wao wakienda mahakamani mama Karume ambaye yuko tayari kwenda mahakamani kusema hizo sahihi walifoji na kufoji kuwa ohh kawapa power of attorney hiyo kesi wataiweza? Watatoboa?

Mama Fatuma Karume kakataa kuwa hajawahi mpa yeyote power of attorney kufungua kesi kwa niaba yake yeye kama mmojawapo baraza la wadhamini wa Yanga na yuko tayari kuwaburuza mahakamani kwa kufoji documents na sahihi yake kuwa kawapa power of attorney wafungue kesi kwa niaba yake

Wanasheria yanga wako fit tena mno
Hao mawakili wahuni hawatoboi na waweza futiwa uwakili wao
 
Hii kesi kuna mawakili wanaenda kuvuliwa uwakili

Power of attorney unatakiwa kuhakiki taasisi nyingi na mtoa power of attorney hatoi uchochoroni mumejifungia guest au chumbani

Mama Karume kakataa hajawi toa power of attorney kwa yeyote amwakilishe kwa niaba yake kwa lolote lihusianalo na kesi zihusuzo Yanga

Kumbuka pia ana Mwanae mwanasheria nguli mjukuu wake ambaye alishawahi kuwa hadi raisi wa Tanganyika Law society

Ushauri wa kisheria lazima amshauri bibi yake vizuri

Kuna mawakili wanaenda kuvuliwa uwakili kwa forgery kwenye hii kesi

Kama hawajafanya KYC know your customer inakula kwao
 
Siyo kila mtu anachangia kwa mtazamo wa kishabiki hapa. Kama hujui ukubwa wa Simba na Yanga wewe ni mgeni wa nchi hii. Sidhani kama hata wanayanga wenyewe wanahofu na hii hukumu, fedhea tu kwa Club ndiyo hawataki.
Serikali kila mara zinatuhumiwa kuingilia mambo ya mpira, sasa wewe unafikiri itashindwa kwa watu wawili wanao tikisa moja ya nguzo muhimu wa mpira wetu? Nakuhakikishia hili limeishia hapa, tusubiri tu mahakama kubatilisha hukumu hii
 
Huyu alisema BM3 ana mkataba na akashupaza shingo Hadi CAS then wakaangukia pua.
 
kesi gani kashinda huyo wakili. yanga ina madeni mengi sababu wakili kilaza.

leo anaongea unaona kabisa amna kitu kichwani.

case inafunguliwa, mwaka mzima tena kisutu dar es Salaam. wewe wakili mteja wako anashtakiwa ujui.

worse than verdict inatoka mwaka mzima ujui.

mwana sheria mazembe sana. huyu jamaa alipigwa za chembe na Morrison.

yanga amna mwana sheria. 🚮
 
taja kesi ameshinda huyu wakili.

kesi kubwa zote kashindwa. mcheki youtube interview. kila atakachoongea mahakama ina toa verdict tofauti na yeye.

fei toto alipata nguvu za kwenda cas alijua wakili yanga amna. kuna mbabaishaji mmoja ofisini.
 
sio mahakama.
wakili yanga amna. mwaka mzima kesi ipo na verdict ipo inajulikana leo??
wakili alikuwa wapi??
tena kisutu 🤔

kisutu na yanga headquarters una tembea.
hakimu anaweza akawa yanga au simba pia??? why 1 year verdict is not known within the institution.
 

kisutu kesi inasomamwa ya yanga. Jangwani wasijue.

this comedy Central kwa upande wa sheria pale yanga. kuna vijana wapo ready kwa kazi.
wapewe kazi. sio friendship kazini
 
kisutu kesi inasomamwa ya yanga. Jangwani wasijue.

this comedy Central kwa upande wa sheria pale yanga. kuna vijana wapo ready kwa kazi.
wapewe kazi. sio friendship kazini
Kwenye haki iliyo dhahiri hakuna umahiri wa mwanasheria.
Mchezaji anadai na Kuna mkataba, mchezaji hajavunja mkataba Bali timu.
Hapo lazima mchezaji ashinde tu hata kama anawakilishwa na somophore wa law school.
Kesi inaweza somwa mlango wa pili na usijue hadi uletewe hukumu.
Sema nini usipate shida ile kesi kwa njia yeyote ile lazima Yanga washinde tu.
Umemsikia mtu wa serikali Ndumbaro? Ni vile serikali wanajuwa kuna mtu au watu nyuma ya wafungua kesi.
 
Zitaje izo kesi ambazo simoni kapoteza vinginevyo muache upuuzi wenu
 
Linapofika suala la YANGA kwa shabiki wa YANGA wenye akili ni wawili tu Mzee Kikwete na Mzee Manara wengine wote kama hamnazo!!!!! by Haji Manara.
 
Mkuu jana nilikuwa kijiwe cha gahawa majungu buku ,nilibahatika kumsikiliza huyo mwanasheria wa Yanga kwa kweli jamaa hatoshi,
Kwanza anajikanyaga mnoo hajui aseme kipi ,kipi aache duh
 
taja kesi ameshinda huyu wakili.

kesi kubwa zote kashindwa. mcheki youtube interview. kila atakachoongea mahakama ina toa verdict tofauti na yeye.

fei toto alipata nguvu za kwenda cas alijua wakili yanga amna. kuna mbabaishaji mmoja ofisini.
Kesi zipi alizoshindwa naomba 3 tu acha maneno. Ndipo mi nikutajie alizoshinda
 
Zitaje izo kesi ambazo simoni kapoteza vinginevyo muache upuuzi wenu
Hawa jamaa wanakurupuka hawamjui vizuri Simon. Kama ni kesi ya Morison Ile ilikua na siasa nyingi kuanzia TFF,Simba na hata yanga kwenyewe na wakati huo mwakilishi alikua Mgongolwa. Hizi za wachezaji kudai wakili hawezi kufanya lolote hata vilabu vikubwa vinadaiwa na kufungiwa. Kesi ya Fei mbona alishinda? Yani hawa ni makolo hawana lolite
 
kisutu kesi inasomamwa ya yanga. Jangwani wasijue.

this comedy Central kwa upande wa sheria pale yanga. kuna vijana wapo ready kwa kazi.
wapewe kazi. sio friendship kazini
Sasa kama watu wamegushi sahihi za viongozi wa yanga unategemea mawakili wa yanga wataota kwamba Kuna kesi???
 
Salmon Patrick ni kati ya wanasheria vijana wenye vipaji vya hali ya juu hapa bongo, jaribu kutafuta taarifa zake
 
Kama ni kesi iliyoendeshwa kwa upande mmoja ni rahisi kushinda hapo Wanatakiwa wafanye maombi ya kufuta hukumu ya upande mmoja yaani kwa kingereza tunaita Application to set aside exparte Judgment, halafu hapo hapo Wapinge Mamallaka ya Mahakama ya Hakimu mkazi kisutu
 
Ni hatari sana kua mjinga na una confidence
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…