Ukweli: Yanga haina Mwanasheria. Eng, Hersi akiendelea nao hawa huko mbele watamfelisha pakubwa

Salmon Patrick ni kati ya wanasheria vijana wenye vipaji vya hali ya juu hapa bongo, jaribu kutafuta taarifa zake
Acha kuogopa cv za here say..... his accomplishment ni kuwa katika jopo la lawyers wa bono. other than that anaitia yanga madeni tu.

daily anaingia na confidence anatemwa mahakamani.
 
Unayo nakala ya hukumu au umesikiliza porojo tu za watu??
 
kazi ya lawyer ni kunavigate through loop holes na siasa. he is paid to lob the politics and law loop holes. na sio kushindwa kesi. kama anashindwa kesi no point of having him.

unaware of institution case for 1 + years happening to a court next door. mahakama ambayo daily unafanya kazi πŸ˜’??!!!??
 
Kuna changamoto za kitaasisi hapo Yanga. Ndio maana Waziri wa michezo Dr. Ndumbaro alisema wiki zilizopita kuwa Simba ndio Club pekee yenye mfumo mzuri wa uongozi.
Nampongeza Engineer Hersi maana anajua kuchota akili za wanaYanga. Hata hili linaloendelea nadhani alikuwa analifahamu ndio maana akatengeneza saga la Aziz Ki ili kuwaaminisha wanaYanga kuwa anachapa kazi na aendelee kuaminiwa licha ya changamoto za kikatiba.
 
these two clubs are all the same
 
Eti siasa nyingi πŸ˜‚πŸ˜‚ kwahiyo CAS nao walifanya au waliendeleza siasa ushindi akapewa BM3 na kumlipa mkalipa πŸ˜‚πŸ˜‚
Muda mwingine unyamaze tu unaonekana zumbukuku
 
Huyo waziri si Kolo lia lia mwenzenu, ulitegemea asemaje!
 

Yanga inahusiana vipi na serikali? Pia upande wa pili wana interest gani kumlipa Magoma. Kilichopo ni Magoma kutaka ulaji Yanga. Na inasemekana ndio namna yake siku zote ya kupata hela kwa kupozwa. Yanga waangalie namna ya kupambana na hiyo kesi au waamue kumpoza tena. Lakini hilo ni lao.
 
Eti siasa nyingi πŸ˜‚πŸ˜‚ kwahiyo CAS nao walifanya au waliendeleza siasa ushindi akapewa BM3 na kumlipa mkalipa πŸ˜‚πŸ˜‚
Muda mwingine unyamaze tu unaonekana zumbukuku
Jamaa akimaliza hii kesi. apaki mabegi yake asepe.
 
Unatafuta kulogwa?
 
Kweli kabisa..Ona hili la Kagoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…