Salaam wadau!
Nina toyota Vitz 2000 1300cc ambayo haina hata miezi mitatu tokea iingie Tanzania!
Nilihakikisha fuel tank mafuta yameisha nkatia mafuta 27Lts na kwenye fuel gauge ilionesha 5 bars na tokea niweke mafuta nimetembea 205Kms na naona bar ya mwisho ina Blink(Naweza ifananisha na Nearly Empty 'E" kwenye magari mengine) na kwa experience yangu haitozidi 20Kms mafuta yataisha.Hivo on average itakua inatumia 8Kms/lt.
Pengine utakua unajiuliza kwa nini nisisubiri mafuta yakaribie kuisha kabisa ila inshort ni kwamba hii gari imewai nizimikia bila kuleta kwenye dashboard.
Hii gari naitumia kwenda kazini sehemu nakopita ni rami tupu isipokua sehemu kama ya 700ms ndo barabara ya vumbi na vishimo vya hapa na pale,njiani hakuna foleni ni moja kwa moja.
Kutoka Nyumbani mpaka kazini ni around 7Kms kwenda na kurudi na mara zote vioo nakua nimefunga na imekua nimewasha A/C isipokua mara chache kama kuna ubaridi.
Nimeifanyia service mara moja so far na vitu vilivyofanyiwa service ni Engine Oil,Gearbox Oil,Oil filter na Air cleaner pekee.
Plugs na Brakepads mafundi walisema hazina shida.
GearBox Oil ilotumika ni zile za Lubex
Wakati Engine Oil ilotumika ni ya FUCHS TITAN Super Formula na viscosity values zake ni 20W-50 japo Ukisoma Manual online inaonesha recommended viscossity ni SAE 5W−30 na wamesisitiza for Good fuel economy iwe hiyo viscosity.
Sasa hii fuel consumption kwa gari kama hii ni kinyume na matarajio yangu ya 12-14Kms/lt ambayo nimeyasoma mitandaoni humu.
Je shida inaweza kuwa hiyo Oil ilotumika au ni kitu gani?
Naombeni uzoefu wenu maana mimi ni mgeni kwenye haya mambo.
Natanguliza shukrani!
Nina toyota Vitz 2000 1300cc ambayo haina hata miezi mitatu tokea iingie Tanzania!
Nilihakikisha fuel tank mafuta yameisha nkatia mafuta 27Lts na kwenye fuel gauge ilionesha 5 bars na tokea niweke mafuta nimetembea 205Kms na naona bar ya mwisho ina Blink(Naweza ifananisha na Nearly Empty 'E" kwenye magari mengine) na kwa experience yangu haitozidi 20Kms mafuta yataisha.Hivo on average itakua inatumia 8Kms/lt.
Pengine utakua unajiuliza kwa nini nisisubiri mafuta yakaribie kuisha kabisa ila inshort ni kwamba hii gari imewai nizimikia bila kuleta kwenye dashboard.
Hii gari naitumia kwenda kazini sehemu nakopita ni rami tupu isipokua sehemu kama ya 700ms ndo barabara ya vumbi na vishimo vya hapa na pale,njiani hakuna foleni ni moja kwa moja.
Kutoka Nyumbani mpaka kazini ni around 7Kms kwenda na kurudi na mara zote vioo nakua nimefunga na imekua nimewasha A/C isipokua mara chache kama kuna ubaridi.
Nimeifanyia service mara moja so far na vitu vilivyofanyiwa service ni Engine Oil,Gearbox Oil,Oil filter na Air cleaner pekee.
Plugs na Brakepads mafundi walisema hazina shida.
GearBox Oil ilotumika ni zile za Lubex
Wakati Engine Oil ilotumika ni ya FUCHS TITAN Super Formula na viscosity values zake ni 20W-50 japo Ukisoma Manual online inaonesha recommended viscossity ni SAE 5W−30 na wamesisitiza for Good fuel economy iwe hiyo viscosity.
Sasa hii fuel consumption kwa gari kama hii ni kinyume na matarajio yangu ya 12-14Kms/lt ambayo nimeyasoma mitandaoni humu.
Je shida inaweza kuwa hiyo Oil ilotumika au ni kitu gani?
Naombeni uzoefu wenu maana mimi ni mgeni kwenye haya mambo.
Natanguliza shukrani!