SI KWELI Ulaji mkubwa wa maharage husababisha uoni hafifu

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mimi nikajua kiharage alafu likawa likubwa kuwa harage.

Protein zinasababishaje uoni hafifu? Asilimia 98 ya Watanzania tungekuwa vipofu kabisa.
Ulikuwa sahihi katika njia ileile aliyopo lakini sasa atakushangaa kwa namna ulivyokata kona nakurudi gizani!
 
Nilipokuwa mtoto mdogo nilikuwa nasikia maharage ukiyala sana unapata uoni hafifu na mpaka sasa Kuna watu wanaamini hivyo
Mimi ni daktari lakini mpaka sasa sijafundishwa hicho kitu
Hakuna kitu kama hicho mwanangu. Ni hadithi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…