dendaboy
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 1,085
- 742
Jana nilikaribishwa kuungana na familia ya rafiki yangu mmoja kwa ajili ya chakula cha mchana vitu vilivyo andaliwa mezani ni pamoja na sahani iliyokua na vitunguu maji vikiwa vimemenywa na kukatwa sikua nimeelewa dhumuni la kuwepo vitunguu vile.
Baada ya kumaliza kula sasa ndipo walianza kila mtu kutafuna vile vitunguu sasa kwangu ilikua swala geni nikashindwa nikihofu naweza kurudisha chenchi
naomba wajuzi mnijuze nini faida yake kaa mkubwa mzizi mkavu na wengine karibuni.
Baada ya kumaliza kula sasa ndipo walianza kila mtu kutafuna vile vitunguu sasa kwangu ilikua swala geni nikashindwa nikihofu naweza kurudisha chenchi
naomba wajuzi mnijuze nini faida yake kaa mkubwa mzizi mkavu na wengine karibuni.