Ulaji wa Mafuta uliopitiliza Suzuki Escudo TL52W

Ulaji wa Mafuta uliopitiliza Suzuki Escudo TL52W

doup

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2009
Posts
2,706
Reaction score
2,861
Wadau ninakimeo hicho ambacho nilikiagiza mwenyewe toka Japan Mtumbani.
Tatizo kuu toka siku ya kwanza ni fuel consuption yake yaani nadhani lita 1 kwa km 6.

Nimekipeleka kwa watalaam wa mtaani wamesha safisha fuel pumb, badiri plug, safisha Nosel, badili Gearbox oil na service zingine kama kawaida lakini wapi.

pia Speed maximu you can run 120. Kuipata 80 nishida. RPM ikifika 3 inadomdoka kurudi chini ya 2 gafla hata kama unakanyaga mafuta. Odometer nimechack iko poa.

Nimesha check watu wa computer diagnostic hakuna tatizo.

Nikasema labda natembelea 4w muda woote laki wapi.

Ila Gari inaguvu sana tu Matopeni na Mchangani Naburuza tu nikitupia 4wd.

My Problem Fuel consumption is not propotion to Speed. Pia nimesha google sana ushauri mwingi labda sensors au leakage.

Ushauri na Utatuzi unakalibishwa
 
Hiyo engine yake ni J20A, 1998cc, 2004 model..,inatakiwa ile wastani wa km 10 kwa lita, kwakua rpm inashuka ikifika 3000,very likely default inaweza kua ni control box.., tafuta mtu mwenye gari kama hiyo badili control box u test uone kama inatofauti katika performance, am pretty sure tatizo litajulikania hapo, ikifaa andaa 500k-700k kwa control box ingine
 
Hiyo engine yake ni J20A, 1998cc, 2004 model..,inatakiwa ile wastani wa km 10 kwa lita, kwakua rpm inashuka ikifika 3000,very likely default inaweza kua ni control box.., tafuta mtu mwenye gari kama hiyo badili control box u test uone kama inatofauti katika performance, am pretty sure tatizo litajulikania hapo, ikifaa andaa 500k-700k kwa control box ingine

Mkuu naona umepita humo humo kama uko vizuri kunirekebishia nikutafute. Maana ile Tsh 40 ya uncle Magu ikishaanza kukatwa kwenye mafuta ni maumivu zaidi.
 
Hiyo engine yake ni J20A, 1998cc, 2004 model..,inatakiwa ile wastani wa km 10 kwa lita, kwakua rpm inashuka ikifika 3000,very likely default inaweza kua ni control box.., tafuta mtu mwenye gari kama hiyo badili control box u test uone kama inatofauti katika performance, am pretty sure tatizo litajulikania hapo, ikifaa andaa 500k-700k kwa control box ingine
Hata mimi niliwaza control box,ila ninachojiuliza kwa nini hyo diagnostic machine haikuweza gundua hilo tatizo km ni la control box?Pia nishauri ukapime kwenye diagnostic machine ingine!
 
Hata mimi niliwaza control box,ila ninachojiuliza kwa nini hyo diagnostic machine haikuweza gundua hilo tatizo km ni la control box?Pia nishauri ukapime kwenye diagnostic machine ingine!

Mkuu hii nimefanya kwa watu watatu tofauti kwa vipindi tofauti. Mimi nikawa nahisi labda kuna kizuia mwendo kasi.
 
Hata mimi niliwaza control box,ila ninachojiuliza kwa nini hyo diagnostic machine haikuweza gundua hilo tatizo km ni la control box?Pia nishauri ukapime kwenye diagnostic machine ingine!
Diagnostic Tool inafanya kazi kupitia OBD(on board diagnostic system), ambayo ni kompyuta inayohifadhi data zote za gari kupitia sensors, control box ni brain ya gari-yaani ndo inayo control mpaka OBD, so yenyewe ikiwa na default hasa hasa short circuit inayosababishwa na maji haiwez ona, maana yenyewe haina sensor ila ndo ina control sensor nyingine
 
Natafta Suzuki Escudo hold model Auto naweza kupata kwa bei gani naskia hizi ni ngumu sana hasa kwenye Barabaraa zetu mbovu
 
Angali throttle positioning sensor Au kwa tps. .weka mpya.
 
Throttle Positioning Sensor (TPS)
Asante Mkuu nimejiona kweli Kilaza hata picha tu nimeshindwa kung'amua wakati neno lilikiwepo. Kwenye field yangu Nimezoea Transactions Per Second(tps).
 
Asante, TPS unamaanisha nini?
Throttle positioning sensor, ni kifaa kidogo tu kinacho regulate ratios ya fuel consumption. .rpm isiyo stable nk. Karma unakanyaga mafuta lakini rpm inabuma sehemu moja hichi kifaa kinaondoa hilo tatizo. Au kama umesimama lakini rpm bado iko juu zaidi 1.5 hichi kifaa kinatatua hili tatizo.
 
Natafta Suzuki Escudo hold model Auto naweza kupata kwa bei gani naskia hizi ni ngumu sana hasa kwenye Barabaraa zetu mbovu
Mkuu nikushauri ungeanzisha uzi wako ktk hili ili upate michango zaidi!
 
Mkuu naona umepita humo humo kama uko vizuri kunirekebishia nikutafute. Maana ile Tsh 40 ya uncle Magu ikishaanza kukatwa kwenye mafuta ni maumivu zaidi.
Umechek boya moja (sensor ya kucontrol hewa), nayo inavyoanza kuchoka huleta shida kwenye Suzuki. With time linaweza kuzimika kabisa. Nenda pale Temeke opposite na Hospital kuna Mpemba mmoja anajua tatizo la hilo gari anaweza kukusaidia,moja kwa ushauri kutokana na uzoefu wake,lakini pia anazo spea nyingi za gari hizo.
 
Back
Top Bottom