Ulaji wa Mafuta uliopitiliza Suzuki Escudo TL52W

Ulaji wa Mafuta uliopitiliza Suzuki Escudo TL52W

Umechek boya moja (sensor ya kucontrol hewa), nayo inavyoanza kuchoka huleta shida kwenye Suzuki. With time linaweza kuzimika kabisa. Nenda pale Temeke opposite na Hospital kuna Mpemba mmoja anajua tatizo la hilo gari anaweza kukusaidia,moja kwa ushauri kutokana na uzoefu wake,lakini pia anazo spea nyingi za gari hizo.

Thanks ntalifanyia kazi kesho. Nakurudisha mlejesho.
 
Kwa hiyo hamna check engine light? Obd 2 reader inakupa codes zozote?

Nimetafuta report ya mara ya mwisho niliyofanya test nimeikosa. Haikuwa na warning or error yoyote kutokana na mtalama wangu alivyoniambia.

Dashboad hamna taaa kila kitu kipo normal
 
Gari ikisha guswaguswa na mafundi diagnosis haioni kitu ama itatoa tatizo ambalo silo
 
Nimetafuta report ya mara ya mwisho niliyofanya test nimeikosa. Haikuwa na warning or error yoyote kutokana na mtalama wangu alivyoniambia.

Dashboad hamna taaa kila kitu kipo normal
Kama dashboard hamna taa basi tatizo liko kwenye hardware. .angalia fuel lines Kama kuna leak, hi fuel lines zinatoka kwenye gas tank kwenda kwenye injini na pia angalia fuel filter yako. Good luck.
 
Thanks ntalifanyia kazi kesho. Nakurudisha mlejesho.
Yeah,jaribu kuna gari ya jamaa yangu kama hilo liliwahi kusumbua sana,nae akasema hayo ugonjwa wake anaufaham,na kweli akatupa sensor fulani ambayo huwez kudhania. Hadi leo iko poa
 
Hata mimi niliwaza control box,ila ninachojiuliza kwa nini hyo diagnostic machine haikuweza gundua hilo tatizo km ni la control box?Pia nishauri ukapime kwenye diagnostic machine ingine!
Diagnosis machine inatafuta tatizo lililopo ktk computer system ya gari tu na si vingine. Hardware issue Kama kuvunjika kifaa haiwezi kutambuliwa.
 
Mkuu CHAZA nipo temeke Hospital tafadhali toa direction au Ni pm Number ya Jamaa.
Umechek boya moja (sensor ya kucontrol hewa), nayo inavyoanza kuchoka huleta shida kwenye Suzuki. With time linaweza kuzimika kabisa. Nenda pale Temeke opposite na Hospital kuna Mpemba mmoja anajua tatizo la hilo gari anaweza kukusaidia,moja kwa ushauri kutokana na uzoefu wake,lakini pia anazo spea nyingi za gari hizo.
 
Nimefika Mt. Njinju. Nimekutana na Mpemba Fundi waumeme(nikili sinanuhakika kama ndie Fundi aliyependekezwa na chaza, maana nimeambiwa wapemba ni wengi) Baada ya kueleza matatizo yangu na kutest ya barabarani. Jamaa naye kasema Gari haina tatizo labda ni ukubwa wa engine tu. kuhusu TPS gari ingeweza kutoa moshi au kusumbua wakati wa kubadili gear.

Ushauri nitafute mtu mwenye gari kama hii niulizie kama wana pata tatizo kama langu.
 
Jamani, nami naomba ushauri. Nina Suzuki Swift yangu model ya 2003 lakini tatizo huwa haivuki speed 120 hata nikanyage vipi mafuta. Naomba nisaidieni wadau kujua tatizo lake.
 
Jamani, nami naomba ushauri. Nina Suzuki Swift yangu model ya 2003 lakini tatizo huwa haivuki speed 120 hata nikanyage vipi mafuta. Naomba nisaidieni wadau kujua tatizo lake.
Sidhani kama ukipewa ushauri unaweza kuufanyia kazi.maana utaambiwa ufanye hiki utest hiki na kile.kutokana na huo ugonjwa wa gari yako una pande kuu mbili tatizo laweza kuwa parfomance ya engine siyo au shida kwenye gearbox au umeme.
 
Wadau ninakimeo hicho ambacho nilikiagiza mwenyewe toka Japan Mtumbani.
Tatizo kuu toka siku ya kwanza ni fuel consuption yake yaani nadhani lita 1 kwa km 6.

Nimekipeleka kwa watalaam wa mtaani wamesha safisha fuel pumb, badiri plug, safisha Nosel, badili Gearbox oil na service zingine kama kawaida lakini wapi.

pia Speed maximu you can run 120. Kuipata 80 nishida. RPM ikifika 3 inadomdoka kurudi chini ya 2 gafla hata kama unakanyaga mafuta. Odometer nimechack iko poa.

Nimesha check watu wa computer diagnostic hakuna tatizo.

Nikasema labda natembelea 4w muda woote laki wapi.

Ila Gari inaguvu sana tu Matopeni na Mchangani Naburuza tu nikitupia 4wd.

My Problem Fuel consumption is not propotion to Speed. Pia nimesha google sana ushauri mwingi labda sensors au leakage.

Ushauri na Utatuzi unakalibishwa

View attachment 530822
Mkuu mm ni fundi umeme lkn kwa hayo maelezo yako nadhani unacho hangaika kutengeneza waweza kuwa siyo sahihi.au ukawa sahihi.

Kwanza hapo labda nikushauri tuu.unapofika kwa fundi au gereji maelezo yako ndio yatakayo mfanya fundi aweze kutatua tatizo lako au laaa..

Sasa wewe unawezekana ukifika gereji au kwa fundi maelezo yako makubwa ni kuwa gari yangu inakula sana mafuta.hayo yanaweza yakawa sio maelezo sahihi.

Ugonjwa wa gari yako ni kuwa gari haimalizi gia au ubadilishaji wa gia ni washida.

Hilo tatizo la gari kutomaliza gia au kubadili gia kwa shida ndio ugonjwa wako mkubwa unaofanya gari itumie sana mafuta.kwasababu kama unavyo sema wewe kuwa kuipata speed 80 ni kwashida sana so inamaana hapo unatumia mafuta mengi sana au kuiforce sana gari ili iweze kufika speed 80 na hapo ndio gari inapokula sana mafuta.na inawezekana hata gia za chini ni mtihani vile vile.

Hapo kuna mambo mawili makubwa ambayo yana vijimambo vidogo ndani yake.

Kwanza yaweza kuwa shida ni upande wa gearbox .hapo yaweza kuwa upande wa umeme au machenical.

Pili shida yaweza kuwa upande wa engine.hapo asilimia zote ni ishu ya umeme parformance ya ingine inatakiwa iwe ile inayotakiwa..

Gari ikiwa na tatizo huwezi ukapima na mashine ikagoma au ikashindwa kuonyesha tatizo.haiwezekani.

Tatito wengi kuanzia mabosi mpaka mafundi washa kalili kuwa kila ugonjwa utaonyeshwa na mashine kwa kadri watakavyo wao.
Kama wadau walivyochangia hapo juu.

Lkn ukweli ni kwamba magonjwa mengine yanaweza yasionyeshwe na mashine kadiri mtakavyo nyie lkn mashine ikapima.

Mfano inatakiwa upime ratio ya hewa n mafuta.hii ikiwa sio sawa mashine haiwezi kusoma nozel zinaweza zikawa nzima lkn zimechoka.hazipitishi mafuta vizuri hapo akili kumkichwa kwa fundi na kucheza na mashine.

Kuhusu control box inaweza kuwa sawa au sio sawa.okey unabadili control box kwasababu gani? .kipi unakiona au umegundua kuwa control box ina fair?usiagize mpya bongo zipo kibao nenda ilala chomeka unatest gari.ukiona ubadilishaji wa gia umebadilika basi sawa.
 
Mkuu CHAZA nipo temeke Hospital tafadhali toa direction au Ni pm Number ya Jamaa.
Daaa sorry,ndo naiona leo msg yako. Iko hivi pale Temeke Hospital kwa kushoto kuna mtaa una watu wanakata magari,kuna duka la mpemba nae hukata magari. Kama unaifahamu hotel moja iko pale Sudan kwenye kona,kuna uchochoro una ATM za NMB,uchochoro huo huo unarudi nao kama unatoka Temeke Usalama. Ulizia Mpemba anakata bodi za magari hasa used ya Suzuki Escudo
 
Nimefika Mt. Njinju. Nimekutana na Mpemba Fundi waumeme(nikili sinanuhakika kama ndie Fundi aliyependekezwa na chaza, maana nimeambiwa wapemba ni wengi) Baada ya kueleza matatizo yangu na kutest ya barabarani. Jamaa naye kasema Gari haina tatizo labda ni ukubwa wa engine tu. kuhusu TPS gari ingeweza kutoa moshi au kusumbua wakati wa kubadili gear.

Ushauri nitafute mtu mwenye gari kama hii niulizie kama wana pata tatizo kama langu.
Yeye siyo fundi,ni aged kama 48-55 yrs,hana makuu,ni muuzaji wa Spare,na anajua matatizo makubwa ya hizo escudo na mara nyingi kama hana kifaa kinachoisibu gari yako,huwa anawapigia jamaa zake wamletee. Na anakupa uitembelee ikisumbua tena unarudi bahati nzuri kifaa anachokuuzia huwa anaweka alama. Hana longolongo,mind you yeye siyo fundi wa Umeme,bali ni expert wa spare za Escudo,so kwa kuwa yuko kwenye game muda mrefu,anajua mambo mengi na atakupa ushauri. So siwez kukataa au kukubali kama huyo uliyekutana nae ni muhusika.
 
Wadau ninakimeo hicho ambacho nilikiagiza mwenyewe toka Japan Mtumbani.
Tatizo kuu toka siku ya kwanza ni fuel consuption yake yaani nadhani lita 1 kwa km 6.

Nimekipeleka kwa watalaam wa mtaani wamesha safisha fuel pumb, badiri plug, safisha Nosel, badili Gearbox oil na service zingine kama kawaida lakini wapi.

pia Speed maximu you can run 120. Kuipata 80 nishida. RPM ikifika 3 inadomdoka kurudi chini ya 2 gafla hata kama unakanyaga mafuta. Odometer nimechack iko poa.

Nimesha check watu wa computer diagnostic hakuna tatizo.

Nikasema labda natembelea 4w muda woote laki wapi.

Ila Gari inaguvu sana tu Matopeni na Mchangani Naburuza tu nikitupia 4wd.

My Problem Fuel consumption is not propotion to Speed. Pia nimesha google sana ushauri mwingi labda sensors au leakage.

Ushauri na Utatuzi unakalibishwa

View attachment 530822
Tena gari kama hii hii. Ilisumbaua sana. Mara izime mara ikose nguvu. Kuweka sensor tu basi shughuli ikaishia hapo.
 
Tena gari kama hii hii. Ilisumbaua sana. Mara izime mara ikose nguvu. Kuweka sensor tu basi shughuli ikaishia hapo.

Ntarudi tena . Maana niliyekutana naye ni fundi kijana mdogo age 22 to 26.
 
Daaa sorry,ndo naiona leo msg yako. Iko hivi pale Temeke Hospital kwa kushoto kuna mtaa una watu wanakata magari,kuna duka la mpemba nae hukata magari. Kama unaifahamu hotel moja iko pale Sudan kwenye kona,kuna uchochoro una ATM za NMB,uchochoro huo huo unarudi nao kama unatoka Temeke Usalama. Ulizia Mpemba anakata bodi za magari hasa used ya Suzuki Escudo

Mkuu cc CHAZA Nimefika eneo la tukio na nimempata Mhusika. Maelezo haya yamekuwa precise. Ntarudisha mrejesho baada ya kazi. Naambatanisha na picha kwa msaada kwa wengine. Ukisimaa kwenye duka lake ni sawa kabisa na barabara (temeke ) inayoshuka kwenda geti la hospitali ya Temeke au Soko la Temeke Sterio. kama unatoka Usalama Kituo cha polisi temeke ni mkono wa kushoto. Maduka yalio sambamba na bustani ya miti.

20170701_124143.jpg

20170701_121824.jpg
 
Mkuu cc CHAZA Nimefika eneo la tukio na nimempata Mhusika. Maelezo haya yamekuwa precise. Ntarudisha mrejesho baada ya kazi. Naambatanisha na picha kwa msaada kwa wengine. Ukisimaa kwenye duka lake ni sawa kabisa na barabara (temeke ) inayoshuka kwenda geti la hospitali ya Temeke au Soko la Temeke Sterio. kama unatoka Usalama Kituo cha polisi temeke ni mkono wa kushoto. Maduka yalio sambamba na bustani ya miti.

View attachment 533552
View attachment 533553
Yeah mkuu,ni mitaa hiyo,akishindwa basi itabidi uende CFAO,ila ujipange na mamilioni. Huyo atakushauri cha kufanya. Ni hapo kabisa mkuu. Tuombe awe na spea za gari lako.
Tafadhali usisahau kutupa mrejesho kama amefanikiwa kujua nini kinaisibu gari yako au ameshindwa maana pamoja na kujua vitu vingi lakini kuna wakati inaweza kukusumbua pia. Utupe mrejesho.
 
Mkuu cc CHAZA Nimefika eneo la tukio na nimempata Mhusika. Maelezo haya yamekuwa precise. Ntarudisha mrejesho baada ya kazi. Naambatanisha na picha kwa msaada kwa wengine. Ukisimaa kwenye duka lake ni sawa kabisa na barabara (temeke ) inayoshuka kwenda geti la hospitali ya Temeke au Soko la Temeke Sterio. kama unatoka Usalama Kituo cha polisi temeke ni mkono wa kushoto. Maduka yalio sambamba na bustani ya miti.

View attachment 533552
View attachment 533553
Mkuu mbona hujaleta mrejesho?
 
Jamani, nami naomba ushauri. Nina Suzuki Swift yangu model ya 2003 lakini tatizo huwa haivuki speed 120 hata nikanyage vipi mafuta. Naomba nisaidieni wadau kujua tatizo lake.

Hiyo speed ni nzuri kwa usalama wako pamoja na chombo
 
Back
Top Bottom