kisimbamiti
Member
- Aug 23, 2016
- 8
- 3
Mkuu nishauri na Mimi.Nina gari yangu Mazda primacy 2003 1880cc niliiagiza tangu 2013 na fuel consumption yake ilikuwa about 11 km per Lt.lakn mwanzoni mwa mwaka huu ilipata ajali ikakaa gereji miezi kama 6 na nimeitoa gereji mwezi wa sita mwishoni nimeona consumption ya fuel imekuwa about 7 km per Lt.naomba unipe ushauri inawrza kuwa nini?.kuna fundi alisema tubadili plugdoup fanya hivyo nlivyokwambia ulete mrejesho hapa