Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Kaijaribu kwenye njia ambazo si za milima sana then uone ulaji wake....
Unaweza ipeleka kwa fundi wakachokonoa kumbe tatzo mnapita rough road na milima mingi hapo lazma wese liende.....
Wanaotoa ushauri wengi wanashare experience za kwenye lami zisizo na milima wala rough...
Unaweza ipeleka kwa fundi wakachokonoa kumbe tatzo mnapita rough road na milima mingi hapo lazma wese liende.....
Wanaotoa ushauri wengi wanashare experience za kwenye lami zisizo na milima wala rough...