Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
5.5 to 6 per litreUmejaribu kuulizia 1hz zingine zinatumiaje mafuta kwenye hiyo njia?
Sure njia ya babati arusha ina miinuko. Ika haina rough roadKaijaribu kwenye njia ambazo si za milima sana then uone ulaji wake....
Unaweza ipeleka kwa fundi wakachokonoa kumbe tatzo mnapita rough road na milima mingi hapo lazma wese liende.....
Wanaotoa ushauri wengi wanashare experience za kwenye lami zisizo na milima wala rough...
113 360 yenye abiria ikiwa inaenda mwanza ndo mileage yake hioJe coaster ikiwa na abiria na mzigo inakula mafuta lita 1 kwa kilometa 4 je ni sawa. Aina ya coaster ni 1hz. Ina miaka 2 tu.
Na je ulaji wa kawaida wa mafuta ni kiasi gani. Ikiwa na mizigo na watu.??
Coaster hiyo inafanya kazi babati arusha..
Na je kwa ulaji huo ikageuzwa daladala ulaji utapungua au itaongezeka??
Hakuna 1hz kwenye Prado..!1hz prado inatumia like 7.7km/l
Je coaster ikiwa na abiria na mzigo inakula mafuta lita 1 kwa kilometa 4 je ni sawa. Aina ya coaster ni 1hz. Ina miaka 2 tu.
Na je ulaji wa kawaida wa mafuta ni kiasi gani. Ikiwa na mizigo na watu.??
Coaster hiyo inafanya kazi babati arusha..
Na je kwa ulaji huo ikageuzwa daladala ulaji utapungua au itaongezeka??
Well, its a 2TR...hapo imekwenda hadi 4.8km/lHakuna 1hz kwenye Prado..!
2TR haina mileage mbaya hivoWell, its a 2TR...hapo imekwenda hadi 4.8km/lView attachment 2270768