SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Wewe kula unachotaka, haipo sheria inakuzuia, yaan kula hata mavi, hutakuwa na hatia. Usitweze chakyla ambacho wengine wanakithamini. Kwanza hii sio hoja, labda umekosa kazi ya kufanya
 
Wewe kula unachotaka, haipo sgeria inakuzuia, yaan kula hata mavi, hutakuwa na hatia. Usitweze chakyla ambacho wengine wanakithamini. Kwanza hii sio hoja, labda umekosa kazi ya kufanya
Huyu ameridhika kushea sabuni na mume wa dada yake
 
Eti kitimoto hali ugali,yule kiumbe anakula hadi mkaa,acha mkaa nje kama utaukuta
 
#Bring back our Ugali, Ugali ndio chakula kinachoshibisha vizuri. Ugali kwa mboga, maziwa safi sana. Ugali una nishati nyingi
Nishati nyingi wanahitaji wabeba mizigo, wasukuma mikokoteni, wakulima wa jembe la mkono na makundi mengine ya aina hiyo.
 
Pesa kidogo tu umeanza ku_google madhara ya ugali!!!????
 
Huyu shoga hajui kitu kinaitwa Nsima, Fufu, Akamu, Tou Zaafi, Sagtulga, Pap, Sadza, etc.

Alivyo msenge hajui hata alichokiandika eti Kenya hawali Ugali, anajua bei ya Unga ilitaka kumuondoa Ruto mwaka jana?

Katoka kupigwa miti sasa anajiharishia tu.
 
Unaleta blah blah, Carbohydrates ni sumu kijini kwenu labda...
 
Akiwazacho mjinga ndo kimeujaza ubongo wake

Ww kichwani unawaza tu uchafu wa ushoga
Mada ni mambo ya lishe wewe tayari umeingiza mijadala ya ushoga

Acha kula maugali yameanza kukulewesha na utakuwa shoga kama ulivo muda wote kwenye fuvu lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utofauti ni hivi
wa zamani walikuwa wanakula ugali na chukuchuku halafu wanaingia shambani
wa leo wanakula ugali na mifuta ya kitimoto halafu wanashinda kucheza video games...,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…