SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Sikuwahi kufiki kama Una akili mbovu hivi.
Unapataje ujasiri wa kupanga ubora wa makabila hapa Tanzania? Masikini akinunua smartphone Ni anahesabu kavuka Mto
Hivi kuna mtanzania ambae chakula chake kikuu Sio ugali kweli?
Na Ni bahati mbaya sana kuwa Wewe hujatembea Hata hiyo Kenya yenyewe unayoisemea hujafika ukaona. Kwa post hii Ni ulimbukeni tu wa Smartphone unao
 
We kula maugali yako
 
Kwa hela ipi?
ugali maharage, mchicha utumbo,dagaa ndio tunaviweza.
Togwa, mlenda.
Kuku mpaka sikukuu, nyama weekend ukijitahidi sana.
kama huna "hela" ya kula vizuri ni tatizo lako. Unataka alibebe nani?
 
kama huna "hela" ya kula vizuri ni tatizo lako. Unataka alibebe nani?
Naweza kukutafuna hata wewe nikipenda.
Chakula kizuri kimejaa,ila pendwa ni ugali,ndima na mboga hizo juu☝️
 
Huwa nakula ugali kwa hamu tu
Kiukweli sio chakula kile 😝😝😝
 
Tatizo hujui ladha ya ugali,kachumbali na pande la nyama choma wewe...
 
Kwani nutrients unazipata kwa kula kitu kimoja pekee? Je, huo ugali unaliwa peke yake?. Wewe sema huna hela ya kununua samaki wa kula na ugali.
Wangapi wanauwezo wa kununua samaki wa bei ya TZS 13,000/= kwa kilo wakati na familia zetu zina wanakaya wasiopungua 10. Pia kiafya potion ya ugali inatakiwa isizidi 1/3 katika sahani lakini ulaji wetu wa Kiafrika potuon ya ugali ni 90% then mboga aina moja. Matunda hadi tuumwe na tuandikiwe na daktari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…