Ulaya hali tete, Ufaransa yakatiwa gesi

Ulaya hali tete, Ufaransa yakatiwa gesi

Kuna baadhi ya components Russia wanazikosa kutokana na sanctions. Hizo zilishafanya uzalishaji ama usambazaji upungue. Hapa ni Gazprom wakisema jinsi kukosa hivyo vifaa kutoka kampuni ya Siemens kulifanya wapunguze uzalishaji kutoka 167 million cubic metres na kushuka mpaka 100 million kwa bomba la Nord Stream.

Wakihitaji sana hizo gesi watawauzia vifaa vinavyohitajika
IMG_20220620_122532.jpg
 
Hakuna mbabe wa dunia Africa,
Chakula tu bado ni tatizo kubwa Africa.
Safi sana Vladmir Putin! Wababe wote wa Dunia tuko nyuma yako. Pambana na hao mashoga wote mpaka wanyooke.

No retreat, ni surrender.
 
Kampuni ya Usafirishaji wa gesi ya Ufaransa GRTgaz imesema kuwa mtiririko wa gesi ya Russia kupitia Ujerumani umesitishwa na kwamba nchi hiyo haijapokea gesi yoyote kutoka Russia kupitia bomba hilo tangu Juni 15,Ufaransa ambayo inategemea sana nishati ya Russia inadhamini takriban asilimia 17 ya gesi inayotumia kupitia mtandao uliounganishwa na Ujerumani.
Tanzania yangu ingekuwa na watu smart hii ilikuwa fursa kwako
 
Kuna baadhi ya components Russia wanazikosa kutokana na sanctions. Hizo zilishafanya uzalishaji ama usambazaji upungue. Hapa ni Gazprom wakisema jinsi kukosa hivyo vifaa kutoka kampuni ya Siemens kulifanya wapunguze uzalishaji kutoka 167 million cubic metres na kushuka mpaka 100 million kwa bomba la Nord Stream.

Wakihitaji sana hizo gesi watawauzia vifaa vinavyohitajikaView attachment 2266427
Unaisi hawaitaji nchi nyingi zilizima vinu vya makaa ya mawe Kwasababu za kimazingira naona nyingi zimewasha vinu vyao vya nyuklia na makaa ya mawe kuongeza uzalishaji WA umeme wanajitekenya na kucheka wenyewe msimu WA baridi unakuja ndyo kimbembe zaidi viwanda vingi vitapunguza uzalishaji bdo unasema wakiitaji kweli washabiki hawajawai kukosa cha kushabikia
 
Ndio wakae watambue urusi sio Zimbabwe kwamba ukimuwekea vikwazo utamkomoa, ogopa unamuwekea mtu vikwazo sf vinakuumiza wewe hapo ndipo utajua nguvu Kubwa ya mtu juu yako
 
Wazungu wana IQ ndogo
 
Unaisi hawaitaji nchi nyingi zilizima vinu vya makaa ya mawe Kwasababu za kimazingira naona nyingi zimewasha vinu vyao vya nyuklia na makaa ya mawe kuongeza uzalishaji WA umeme wanajitekenya na kucheka wenyewe msimu WA baridi unakuja ndyo kimbembe zaidi viwanda vingi vitapunguza uzalishaji bdo unasema wakiitaji kweli washabiki hawajawai kukosa cha kushabikia
Usiwe mjuaji wa nchi za watu. Wao wanajua mahitaji yao kuliko wewe hapo uliopo Tandahimba, nchi yako inapokea hela kutoka IMF kujenga vyoo ili watoto wako wenye humo alafu unanifanya kuijua Ufaransa kuliko wao?

"Msimu wa baridi unakuja..." blah blah, kati yako na wao nani anaujua msimu wa baridi na nani anajua mahitaji yake? Yani wewe na D yako ya hesabu unajua sana kuliko mabunge, serikali na viongozi wao?
 
Usiwe mjuaji wa nchi za watu. Wao wanajua mahitaji yao kuliko wewe hapo uliopo Tandahimba, nchi yako inapokea hela kutoka IMF kujenga vyoo ili watoto wako wenye humo alafu unanifanya kuijua Ufaransa kuliko wao?

"Msimu wa baridi unakuja..." blah blah, kati yako na wao nani anaujua msimu wa baridi na nani anajua mahitaji yake? Yani wewe na D yako ya hesabu unajua sana kuliko mabunge, serikali na viongozi wao?
🤣🤣🤣Mwaka huu watu wengi Sana tu tutapata uchizi ‼️😇😇😇
 
Unazungumuziaje matokeo ya Macron kupotezq majority seats za bunge?
Matokeo ya ujinga wanayoifanya kumkomoa mrusi,na Bado mengi yanakuja,kule Italy FM kakimbia Chama chake akiwalaumu wanaihujumu juhudi za kutekeleza vikwazo vyamabeberu dhidi ya Urusi,tuendelee kuisikiliza mengi yataibuka,ujerumani na kwingineko wanapuliza mkaa,ukiwatazama macho mekundu kama walevi hivi Sasa🤸.Tusiache kufuatilia uchaguzi za majimbo November Kwa beberu mkuu,Mzee Trumpet na Chama lake lazima wamnyooshe,kwani hawatakagi ujinga,wao Ni America kwanza🏃
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanasikitisha sana hawa viumbe, wamekariri mambo yale yale kama Kasuku.
Usiwe mjuaji wa nchi za watu. Wao wanajua mahitaji yao kuliko wewe hapo uliopo Tandahimba, nchi yako inapokea hela kutoka IMF kujenga vyoo ili watoto wako wenye humo alafu unanifanya kuijua Ufaransa kuliko wao?

"Msimu wa baridi unakuja..." blah blah, kati yako na wao nani anaujua msimu wa baridi na nani anajua mahitaji yake? Yani wewe na D yako ya hesabu unajua sana kuliko mabunge, serikali na viongozi wao?
 
Back
Top Bottom