Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Sasa kwa nini Russia inashindwa kuwaomba Wachina wachonge spareparts za hiyo pump/compressors za siemen, si technical drawings wanazo?Kuna baadhi ya components Russia wanazikosa kutokana na sanctions. Hizo zilishafanya uzalishaji ama usambazaji upungue. Hapa ni Gazprom wakisema jinsi kukosa hivyo vifaa kutoka kampuni ya Siemens kulifanya wapunguze uzalishaji kutoka 167 million cubic metres na kushuka mpaka 100 million kwa bomba la Nord Stream.
Wakihitaji sana hizo gesi watawauzia vifaa vinavyohitajikaView attachment 2266427
Maneno ya kikomavu Sana haho[emoji4][emoji106]Lavrov:"Ongea na raia wa Iraq au Libya ambao nchi zao zimeharibiwa. Alafu NATO inajiita muungano wa kujihami. Wanatuambia tusiwe na wasiwasi na Ukraine kujiunga na NATO haitakuwa tishio kwa Ru. Urusi ina haki ya kujiamulia yenyewe ni kipi inachukulia kama tishio kwa usalama wak." https://t.co/EG32AfTThV
China ina kampuni gani mbabe wa teknolojia ya nishati duniani hasa upande wa turbines na gas. The likes of Siemens, General Electric, KMW, Saab, Ansaldo au hata Wartsila ya Finland. Kama Russia wenyewe wenye uwezo wa kutengeneza jet engines wameshindwa ujue hizo vitu ni ngumuSasa kwa nini Russia inashindwa kuwaomba Wachina wachonge spareparts za hiyo pump/compressors za siemen, si technical drawings wanazo?
Matokeo ya wanachokifanya ukraine, Italy wanang'tana,Bulgaria wananga'yana na wengine wengi wataelekea huko,bado TU maandamano ya raia kukataa huu upuuzi 🏃Unazungumuziaje matokeo ya Macron kupotezq majority seats za bunge?
,[emoji38][emoji38][emoji38]Twende na ngoma ya hajanikomoa by harmonize. Napenda iwafikie EU and Nato.
Mashoga akili hawanaga [emoji38][emoji38]Hao mashoga vikwazo wameweka wao na milio wanatoa wao kweli Putin anapiga spana
Hapo uk ndio napenda maandamano yaamke haraka maana serikali Yao Ina kihere here sana [emoji38][emoji38]Watachapana makonde wenyewe kwa wenyewe (Serikali na raia)hii vita ni mbaya sana,,,,Urusi aliliona hilo na linatimia,UK washalianzisha maandamano[emoji13],
Chizi huyo [emoji38][emoji38]Pole mkuu tulia dawa ikuingie Barabara [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeanza kuchanganyikiwa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Usiwe mjuaji wa nchi za watu. Wao wanajua mahitaji yao kuliko wewe hapo uliopo Tandahimba, nchi yako inapokea hela kutoka IMF kujenga vyoo ili watoto wako wenye humo alafu unanifanya kuijua Ufaransa kuliko wao?
"Msimu wa baridi unakuja..." blah blah, kati yako na wao nani anaujua msimu wa baridi na nani anajua mahitaji yake? Yani wewe na D yako ya hesabu unajua sana kuliko mabunge, serikali na viongozi wao?
Haya wewe acha ujuaji wa nchi za watuUsiwe mjuaji wa nchi za watu. Wao wanajua mahitaji yao kuliko wewe hapo uliopo Tandahimba, nchi yako inapokea hela kutoka IMF kujenga vyoo ili watoto wako wenye humo alafu unanifanya kuijua Ufaransa kuliko wao?
"Msimu wa baridi unakuja..." blah blah, kati yako na wao nani anaujua msimu wa baridi na nani anajua mahitaji yake? Yani wewe na D yako ya hesabu unajua sana kuliko mabunge, serikali na viongozi wao?