Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio hao tu, nchi hii inatakiwa inyimwe misaada yote, yaani wote wazuie hiyo misaada yao, tunahitaji kuishi maisha yetu sasa.
For sure tumekuwa na viongozi dhaifu sana toka ccm, Nchi na rasilimali zote hizi halafu watu wanalilia misaada, ni ulemavu wa akili au ni kitu gani?
My strongest president do not ever hesitate telling them to stay with their money, we stay with our poverty, we will truly learn to get out of poverty by ourselves.
Ni aibu kwa mwanaume mwenye nguvu, akili na Afya kutegemea jasho la Mwanaume mwenzio,
Ndio maana hawa wazungu wamepata jeuri na kuvuka mipaka kiasi cha kutuambia tuwe mashoga ili tupate misaada,
I am sure my Strong president will agree with me,
There will be no EPA, neither any such exploitative deals,
@100% Mnyalu!
unaona jinsi hii dili LA EPA linawapa wazungu faida kubwa kupitia soko hili la bidhaa zao la Africa Mashariki,Kwa mara ya kwanza nashawishika kukubaliana nawe, pamoja na kwamba binafsi naunga mkono mkataba wa EPA lakini haya mambo ya kukomoana ni upuzi mtupu. Ni ukoloni mambo leo, nchi zisizokua na uwezo au ubavu wa kuhimili shughuli za EPA hazifai kulazimishwa.
East Africa Community member states could lose aid should they fail to sign the Economic Partnership Agreement (EPA), a new report has suggested.
Report: EAC members risk losing Europe aid over EPA
misaada mingi ni soft aids, maana wanatoa misaada ya vyandarua sijui condom na virainishi. misaada siyo jambo la kujisifu nalo, becouse neocolonialism came in a new style of International NGOs operation, mfano CARE Tanzania is pure american domination in Tanzania. watoe misaada ya maana kama vile kujenga viwanda kama kweli wana nia ya kutusaidia.Itakuwa ni vizuri wakizuia hiyo misaada ili tupate akili ya kujisaidia wenyewe. Kwanza hiyo wanayotoa sio misaada maana hakuna msaada unaotaka return.
hahah umenifurahisha, niliwahi changia hivi siku moja kwenye kundi moja la whatsapp. kuhusu tishio hili la kunyimwa misaada kuna watu hawakunielewa, naunga mkono kwamba misaada hii inatulemaza kabisa. mfano huku tabora wakulima wa tumbaku wanakopeshwa mbolea kila mwaka cha ajbu watu hawajajikwamua na umasikini mpaka wamezeeka wanakopa mbolea, ni lini watasimama wenyewe.Sio hao tu, nchi hii inatakiwa inyimwe misaada yote, yaani wote wazuie hiyo misaada yao, tunahitaji kuishi maisha yetu sasa.
For sure tumekuwa na viongozi dhaifu sana toka ccm, Nchi na rasilimali zote hizi halafu watu wanalilia misaada, ni ulemavu wa akili au ni kitu gani?
My strongest president do not ever hesitate telling them to stay with their money, we stay with our poverty, we will truly learn to get out of poverty by ourselves.
Ni aibu kwa mwanaume mwenye nguvu, akili na Afya kutegemea jasho la Mwanaume mwenzio,
Ndio maana hawa wazungu wamepata jeuri na kuvuka mipaka kiasi cha kutuambia tuwe mashoga ili tupate misaada,
I am sure my Strong president will agree with me,
There will be no EPA, neither any such exploitative deals,
@100% Mnyalu!
Hahahaaa yaani wamekaa wakafikiria wakaona tatizo la Afrika ni uhaba wa KY Jelly [emoji23] [emoji23] [emoji23]misaada mingi ni soft aids, maana wanatoa misaada ya vyandarua sijui condom na virainishi. misaada siyo jambo la kujisifu nalo, becouse neocolonialism came in a new style of International NGOs operation, mfano CARE Tanzania is pure american domination in Tanzania. watoe misaada ya maana kama vile kujenga viwanda kama kweli wana nia ya kutusaidia.
Nation Media Group ya Kenya ndo wamiliki.
hahahahaha wameshapewa virainishi wametepeta, najiuliza hivi familia zetu zinashindwa kununua vyandarua, siamini katika kushindwa kwasababu kila familia ya kijijini wanamiliki kuku.Nation Media Group ya Kenya ndo wamiliki.
Kwani uongo? Linasukuma pro-Kenya agendas.Ndio zenu, mkilemewa kwa hoja mnaanza kutapatapa, gazeti limeandika kwa kumnukuu secretary-general of ACP Mr. Gomes
“The truth is that Tanzania, Uganda and Burundi, which are sluggish in signing the deal, could end up losing important development aid from the EU,” Mr Gomes told the 32nd conference between the ACP and the European Union (EU) in Nairobi on Wednesday.
Kwani uongo? Linasukuma pro-Kenya agendas.
njoo kwenye hoja ni kweli wakenya mnahitaji hizo soft aids, hiyo misaada imekuwa haina tija kwasababu tumesaidia miaka mingi sana na bado hatuafanikiwa kujitegemea wenyewe, nafikiri hili ni tatizo la africa nzima.Ndio zenu, mkilemewa kwa hoja mnaanza kutapatapa, gazeti limeandika kwa kumnukuu secretary-general of ACP Mr. Gomes
“The truth is that Tanzania, Uganda and Burundi, which are sluggish in signing the deal, could end up losing important development aid from the EU,” Mr Gomes told the 32nd conference between the ACP and the European Union (EU) in Nairobi on Wednesday.
Kwani uongo? Linasukuma pro-Kenya agendas.
Naunga mkono hoja. Wasilisahau na 'TheEastAfrican'.....