Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Lakini,hawa Morocco si ndiyo walituambia wao ni kama Ulaya tu na siyo Waafrika?Wameamua watorokee Ulaya kabisa.Waanze na wenyeji wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini,hawa Morocco si ndiyo walituambia wao ni kama Ulaya tu na siyo Waafrika?Wameamua watorokee Ulaya kabisa.Waanze na wenyeji wao
🤣🤣🤣Maimamu unaweza kukuta mida hii wako mitaa ya miji ulaya wakibeba box, kutafuna mademu wa kizungu, kula kitimoto kwa sana au kugonga pombe kama hawana akili nzuri
Hata sielewi!
Lakini Morocco nako si pazuri kama Ulaya tu?Maimamu ambao waliondoka nchini Morocco ili kuendesha ibada kwa Wamorocco wanaoishi Ulaya katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, wametokomea kusikojulikana na hawajarejea nyumbani hadi leo.
Taarifa kutoka Morocco zinasema Maimamu 13 waliotumwa na Wizara ya inayojihusisha na mambo Kidini kwenda nchi za Ufaransa, Ubelgiji na Ujerumani “walitoweka” wakati wakijiandaa kurejea nchini mwao.
Inaelezwa kuwa Maimamu hao wasomi wenye shahada ya kwanza, shahada ya uzamili na hata udaktari...hulipwa kila mwezi na serikali ya Morocco kwa kufanya kazi katika misikiti na hunufaika na safari ya kwenda Ulaya kuongoza sala ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa gharama za serikali.
Hata hivyo, baada ya kazi yao kuisha tarehe 12 April, maimamu hao waliotumwa na Wizara ya Habbous na Masuala ya Kiislamu hawakufika kwenye uwanja wa ndege na tangu wakati huo hawajapatikana.
Source: Maimamu 13 wa Morocco waliotumwa ulaya kwa ajili ya Ramadhani watoweka
Waachani wafanye kazi ya Mungu huko.Maimamu ambao waliondoka nchini Morocco ili kuendesha ibada kwa Wamorocco wanaoishi Ulaya katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, wametokomea kusikojulikana na hawajarejea nyumbani hadi leo.
Taarifa kutoka Morocco zinasema Maimamu 13 waliotumwa na Wizara ya inayojihusisha na mambo Kidini kwenda nchi za Ufaransa, Ubelgiji na Ujerumani “walitoweka” wakati wakijiandaa kurejea nchini mwao.
Inaelezwa kuwa Maimamu hao wasomi wenye shahada ya kwanza, shahada ya uzamili na hata udaktari...hulipwa kila mwezi na serikali ya Morocco kwa kufanya kazi katika misikiti na hunufaika na safari ya kwenda Ulaya kuongoza sala ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa gharama za serikali.
Hata hivyo, baada ya kazi yao kuisha tarehe 12 April, maimamu hao waliotumwa na Wizara ya Habbous na Masuala ya Kiislamu hawakufika kwenye uwanja wa ndege na tangu wakati huo hawajapatikana.
Source: Maimamu 13 wa Morocco waliotumwa ulaya kwa ajili ya Ramadhani watoweka
😂😂😂😂 wazee habibi come to dubai.Habibi imekuaje palee
Duh wanahamia Kwa makafiriMaimamu ambao waliondoka nchini Morocco ili kuendesha ibada kwa Wamorocco wanaoishi Ulaya katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, wametokomea kusikojulikana na hawajarejea nyumbani hadi leo.
Taarifa kutoka Morocco zinasema Maimamu 13 waliotumwa na Wizara ya inayojihusisha na mambo Kidini kwenda nchi za Ufaransa, Ubelgiji na Ujerumani “walitoweka” wakati wakijiandaa kurejea nchini mwao.
Inaelezwa kuwa Maimamu hao wasomi wenye shahada ya kwanza, shahada ya uzamili na hata udaktari...hulipwa kila mwezi na serikali ya Morocco kwa kufanya kazi katika misikiti na hunufaika na safari ya kwenda Ulaya kuongoza sala ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa gharama za serikali.
Hata hivyo, baada ya kazi yao kuisha tarehe 12 April, maimamu hao waliotumwa na Wizara ya Habbous na Masuala ya Kiislamu hawakufika kwenye uwanja wa ndege na tangu wakati huo hawajapatikana.
Source: Maimamu 13 wa Morocco waliotumwa ulaya kwa ajili ya Ramadhani watoweka
Jamani si tulikubaliana Tz kutamu kuliko Ulaya hata kama huna hela?Yaan wakija jichanganya nikaenda uko..
Unataka kwenda huko? JiongezeHaya ningekua mie, nisingerudi tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]