Ulaya kuzuri; Maimamu 13 waliotumwa kwa ajili ya Ramadhani watokomea

Ulaya kuzuri; Maimamu 13 waliotumwa kwa ajili ya Ramadhani watokomea

Maimamu ambao waliondoka nchini Morocco ili kuendesha ibada kwa Wamorocco wanaoishi Ulaya katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, wametokomea kusikojulikana na hawajarejea nyumbani hadi leo.

Taarifa kutoka Morocco zinasema Maimamu 13 waliotumwa na Wizara ya inayojihusisha na mambo Kidini kwenda nchi za Ufaransa, Ubelgiji na Ujerumani “walitoweka” wakati wakijiandaa kurejea nchini mwao.

Inaelezwa kuwa Maimamu hao wasomi wenye shahada ya kwanza, shahada ya uzamili na hata udaktari...hulipwa kila mwezi na serikali ya Morocco kwa kufanya kazi katika misikiti na hunufaika na safari ya kwenda Ulaya kuongoza sala ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa gharama za serikali.

Hata hivyo, baada ya kazi yao kuisha tarehe 12 April, maimamu hao waliotumwa na Wizara ya Habbous na Masuala ya Kiislamu hawakufika kwenye uwanja wa ndege na tangu wakati huo hawajapatikana.

Source: Maimamu 13 wa Morocco waliotumwa ulaya kwa ajili ya Ramadhani watoweka
Lakini Morocco nako si pazuri kama Ulaya tu?
 
Maimamu ambao waliondoka nchini Morocco ili kuendesha ibada kwa Wamorocco wanaoishi Ulaya katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, wametokomea kusikojulikana na hawajarejea nyumbani hadi leo.

Taarifa kutoka Morocco zinasema Maimamu 13 waliotumwa na Wizara ya inayojihusisha na mambo Kidini kwenda nchi za Ufaransa, Ubelgiji na Ujerumani “walitoweka” wakati wakijiandaa kurejea nchini mwao.

Inaelezwa kuwa Maimamu hao wasomi wenye shahada ya kwanza, shahada ya uzamili na hata udaktari...hulipwa kila mwezi na serikali ya Morocco kwa kufanya kazi katika misikiti na hunufaika na safari ya kwenda Ulaya kuongoza sala ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa gharama za serikali.

Hata hivyo, baada ya kazi yao kuisha tarehe 12 April, maimamu hao waliotumwa na Wizara ya Habbous na Masuala ya Kiislamu hawakufika kwenye uwanja wa ndege na tangu wakati huo hawajapatikana.

Source: Maimamu 13 wa Morocco waliotumwa ulaya kwa ajili ya Ramadhani watoweka
Waachani wafanye kazi ya Mungu huko.
 
Kutoka Morocco mpaka Hispania ni sio mbali sana sidhani kama ni kweli.
 
Maimamu ambao waliondoka nchini Morocco ili kuendesha ibada kwa Wamorocco wanaoishi Ulaya katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, wametokomea kusikojulikana na hawajarejea nyumbani hadi leo.

Taarifa kutoka Morocco zinasema Maimamu 13 waliotumwa na Wizara ya inayojihusisha na mambo Kidini kwenda nchi za Ufaransa, Ubelgiji na Ujerumani “walitoweka” wakati wakijiandaa kurejea nchini mwao.

Inaelezwa kuwa Maimamu hao wasomi wenye shahada ya kwanza, shahada ya uzamili na hata udaktari...hulipwa kila mwezi na serikali ya Morocco kwa kufanya kazi katika misikiti na hunufaika na safari ya kwenda Ulaya kuongoza sala ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa gharama za serikali.

Hata hivyo, baada ya kazi yao kuisha tarehe 12 April, maimamu hao waliotumwa na Wizara ya Habbous na Masuala ya Kiislamu hawakufika kwenye uwanja wa ndege na tangu wakati huo hawajapatikana.

Source: Maimamu 13 wa Morocco waliotumwa ulaya kwa ajili ya Ramadhani watoweka
Duh wanahamia Kwa makafiri
 
Msichukulie poa, wamezamia huko kwenda kueneza dini yao ulaya, wataoa wake wengi wazungu na kuzaa machotara ya dini yao na wakiwa wengi wanaanza kuwa mwiba kwa nchi walikozaliwa. Mbinu mbaya sana hii ya kueneza dini hiyo kwa wazungu na matokeo yake yanaanza kuonekana wanataka nini katika ulimwengu wa dini yao
 
Hata ingekuwa mimi nisingerudi kwenye nchi ya mfalme. Waishakuwa wakimbizi hao. Ohh askari wa mfalme waliniminya makende, ha haaa!
 
Na ukute wameacha wake wanne wanne huku Afrika🙌
Ukisoma hiyo link naona wamesema awamu zijazo watakao enda inabidi wawe wameoa inawezekana baadhi hawakuoa
 
Back
Top Bottom