Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ulaya na Marekekani wakibana na Marekani wakatumia influence yao kwenye mashirika kama Benki ya dunia, nchi hii miradi mingi itakwama na hata hiyo SGR na ujenzi wa Bwawa la Umeme vyote vinaweza kuathirika ikiwemo kukwama kabisa kwa miradi hiyo.
Hata kama fedha za hii miradi hazitoki Ulaya na Marekani, bado naamini support kubwa ya hawa tunaowaita mabeberu ndio inawezesha serikali kugharamia hiyo miradi kwa kuiongezea serikali uwezo wa kifedha kugharamia hiyo miradi sambamba na mambo mengine ya muhimu kama afya,maji,umeme.
Vile vile Benki ya Dunia-moja ya taasisi za fedha za kimataifa inayotukopesha- wametuwezsha kukamilisha miradi mingi ambayo CCM wanaitumia kujisifu: Ubungo interchange, soko la Ndugai kule Dodoma, Stendi ya kisasa Dodoma, n.k.
Kwakweli tuache kiburi na tuwe na shukurani kwani bila hawa watu tusingiweza kufanya baadhi ya mambo ambayo leo hii tunajisifu kuyafanya na zaidi tuache Kejeli za kuita hawa watu mabeberu ikiwa hata huduma za msingi kama elimu, afya na maji zinatushinda kuzitekeleza bila support yao.
Hata kama fedha za hii miradi hazitoki Ulaya na Marekani, bado naamini support kubwa ya hawa tunaowaita mabeberu ndio inawezesha serikali kugharamia hiyo miradi kwa kuiongezea serikali uwezo wa kifedha kugharamia hiyo miradi sambamba na mambo mengine ya muhimu kama afya,maji,umeme.
Vile vile Benki ya Dunia-moja ya taasisi za fedha za kimataifa inayotukopesha- wametuwezsha kukamilisha miradi mingi ambayo CCM wanaitumia kujisifu: Ubungo interchange, soko la Ndugai kule Dodoma, Stendi ya kisasa Dodoma, n.k.
Kwakweli tuache kiburi na tuwe na shukurani kwani bila hawa watu tusingiweza kufanya baadhi ya mambo ambayo leo hii tunajisifu kuyafanya na zaidi tuache Kejeli za kuita hawa watu mabeberu ikiwa hata huduma za msingi kama elimu, afya na maji zinatushinda kuzitekeleza bila support yao.