Ulaya na Marekani wakibana, hata miradi kama SGR na Ujenzi wa Bwala la Umeme vyote vitakwama

Ulaya na Marekani wakibana, hata miradi kama SGR na Ujenzi wa Bwala la Umeme vyote vitakwama

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Ulaya na Marekekani wakibana na Marekani wakatumia influence yao kwenye mashirika kama Benki ya dunia, nchi hii miradi mingi itakwama na hata hiyo SGR na ujenzi wa Bwawa la Umeme vyote vinaweza kuathirika ikiwemo kukwama kabisa kwa miradi hiyo.

Hata kama fedha za hii miradi hazitoki Ulaya na Marekani, bado naamini support kubwa ya hawa tunaowaita mabeberu ndio inawezesha serikali kugharamia hiyo miradi kwa kuiongezea serikali uwezo wa kifedha kugharamia hiyo miradi sambamba na mambo mengine ya muhimu kama afya,maji,umeme.

Vile vile Benki ya Dunia-moja ya taasisi za fedha za kimataifa inayotukopesha- wametuwezsha kukamilisha miradi mingi ambayo CCM wanaitumia kujisifu: Ubungo interchange, soko la Ndugai kule Dodoma, Stendi ya kisasa Dodoma, n.k.

Kwakweli tuache kiburi na tuwe na shukurani kwani bila hawa watu tusingiweza kufanya baadhi ya mambo ambayo leo hii tunajisifu kuyafanya na zaidi tuache Kejeli za kuita hawa watu mabeberu ikiwa hata huduma za msingi kama elimu, afya na maji zinatushinda kuzitekeleza bila support yao.
 
Hata komandoo ana mipaka. Kiboko ni njaa , hata kama una kiburi vipi, ukiwa na njaa siku kadhaa, lazima ukomando ukome.
Eti hawapangiwi mambo, safari hii ndo watapangiwa pamoja na ukichaa wao.

Hivi inakuwaje ukashinda, ukafrahi, ukawakomesha wale, kisha ukawa huna furaha, una hofu, aibu, wasiwasi kwamba ndo mwanzo wako wa kukomeshwa na wengine?
 
Vijana wa kisasa mnateseka na kuhangaika Sana na hii nikwasababu mmezoea kulelewa makwenu mpaka mnazeekea hapo kwa kuogopa majukumu ya kujitegemea.

Hivi kabla ya watu wa ulaya kuja Afrika na Tanzania watu hawakuishi?

Na Kama ni ndio unafkiri kipi kitasababisha watu wasiishi Kama wakiamua kujiweka pembeni?

Funguweni akili mgando hizo na muache kuwasujudu wazungu nao ni watu Kama nyie tu tofauti rangi tu.

I love my country [emoji1241].
 
Hivi huwa mnafikiria kuwa wazungu wanafurahia kuona nchi ya kiafrica inajitutumua na kufanya jitihada za kujiendeleza, especially kwa ku-ignore misaada/mikopo yao? Kama huwa mnafikiria hivyo inabidi muanze kufikiri upya!

Na kwa kuwa wameshawapandikizia dhana potofu ya kuamini kwamba hamuwezi kufanya chochote kizuri bila wao, ndo wamewamaliza kabisa.
 
Hivi huwa mnafikiria kuwa wazungu wanafurahia kuona nchi ya kiafrica inajitutumua na kufanya jitihada za kujiendeleza, especially kwa ku-ignore misaada/mikopo yao? Kama huwa mnafikiria hivyo inabidi muanze kufikiri upya!
Na kwa kuwa wameshawapandikizia dhana potofu ya kuamini kwamba hamuwezi kufanya chochote kizuri bila wao, ndo wamewamaliza kabisa.
Hovyo!Mbona ndio wanaotoa matrilioni ya hela kutusaidia kwenye sekta nyingi za maendeleo na hela mnachukua na picha mnapiga nao?
 
Hivi huwa mnafikiria kuwa wazungu wanafurahia kuona nchi ya kiafrica inajitutumua na kufanya jitihada za kujiendeleza, especially kwa ku-ignore misaada/mikopo yao? Kama huwa mnafikiria hivyo inabidi muanze kufikiri upya!
Na kwa kuwa wameshawapandikizia dhana potofu ya kuamini kwamba hamuwezi kufanya chochote kizuri bila wao, ndo wamewamaliza kabisa.

Wanadai hela za korona alizopokea magufuli wakati anasema TZ hakuna korona, kwanini mnapokea hela za mashoga? mnakubali kuhongwa na mashoga?
 
Ebu tuambizane ya ukweli kwani ccmau tume ingechia uchaguzi ukaenda tu kama kawaida ispokuwa ikaibana nafasi ya urais kubakia ccm kungekuwa na ubaya gani mean upinzani ungebaki na wabunge wake kama 70 kunge kuwa na ubaya gani?serekali hatakiwa kufanya jambo lolote litakalosababisha fedha kuzuiwa kuingia ndani madhali rais huyu magufuli ni fundi wa kutumia fedha zote vizuri sana katika miradi yenye ubunifu wa kisasa nalia na washauri wa mheshimiwa yaani nalia kweli kweli
 
Ebu tuambizane ya ukweli kwani ccmau tume ingechia uchaguzi ukaenda tu kama kawaida ispokuwa ikaibana nafasi ya urais kubakia ccm kungekuwa na ubaya gani mean upinzani ungebaki na wabunge wake kama 70 kunge kuwa na ubaya gani?serekali hatakiwa kufanya jambo lolote litakalosababisha fedha kuzuiwa kuingia ndani madhali rais huyu magufuli ni fundi wa kutumia fedha zote vizuri sana katika miradi yenye ubunifu wa kisasa nalia na washauri wa mheshimiwa yaani nalia kweli kweli
'nalia na washauri wa mheshimiwa yaani nalia kweli kweli'.

Sasa huu ndio unafiki wenyewe,unalia na washauri wake unajua yote haya yeye mwenyewe mzee baba ndio mastermind,tuache unafiki saa nyingine.
 
Hali tunakoelekea Tanzania inatisha, jamaa wamejipanga kwa umoja wao kutia mbinyo nchi zinazokiuka haki za kidemokrasia na haki za binadamu.

Azimio hili la Jumuiya ya Ulaya EU (hapa chini) lililopitishwa leo tarehe 19 November 2020 limekomelea msumari wa mwisho ktk 'jeneza' la serikali zinazopokea misaada ya kibajeti kwa ajili ya fedha za miradi ya maendeleo chini ya ushirika wa 'Wadau wa Maendeleo' ambazo kwa miaka kadhaa waliendekeza utawala wa 'kimla'.

More info :
19 November 2020
Brussels, Belgium

Council approves conclusions on the EU Action Plan on Human Rights and Democracy 2020-2024​

The Council has approved conclusions on the EU Action Plan on Human Rights and Democracy 2020-2024. The Action Plan sets out the EU's level of ambition and priorities in this field in its relations with all third countries.

With this Action Plan, the Council reaffirms the EU's strong commitment to further advancing universal values for all.

The conclusions acknowledge that while there have been leaps forward, there has also been a pushback against the universality and indivisibility of human rights. The ongoing COVID-19 pandemic and its socio-economic consequences have had an increasingly negative impact on all human rights, democracy and rule of law, deepening pre-existing inequalities and increasing pressure on persons in vulnerable situations.

No one should be left behind, no human right ignored. To this end the EU and its member states will use the full range of their instruments, in all areas of external action, to focus on and further strengthen EU's global leadership in the field of human rights and democracy and in the implementation of the EU Action Plan.

Background​

In 2012, the EU adopted the Strategic Framework on Human Rights and Democracy which set out the principles, objectives and priorities designed to improve the effectiveness and consistency of EU policy in these areas. To implement the EU Strategic Framework of 2012, the EU has adopted two EU Action Plans (2012-2014 and 2015-2019).

The new Action Plan for 2020-2024 builds on the previous action plans and continues to focus on long-standing priorities such as supporting human rights defenders and the fight against the death penalty.

By identifying five overarching priorities: (1) protecting and empowering individuals; (2) building resilient, inclusive and democratic societies; (3) promoting a global system for human rights and democracy; (4) new technologies: harnessing opportunities and addressing challenges; and (5) delivering by working together, the Action Plan also reflects the changing context with attention to new technologies and to the link between global environmental challenges and human rights.
Source : https://www.consilium.europa.eu/en/...plan-on-human-rights-and-democracy-2020-2024/
 
Hivi huwa mnafikiria kuwa wazungu wanafurahia kuona nchi ya kiafrica inajitutumua na kufanya jitihada za kujiendeleza, especially kwa ku-ignore misaada/mikopo yao? Kama huwa mnafikiria hivyo inabidi muanze kufikiri upya!
Na kwa kuwa wameshawapandikizia dhana potofu ya kuamini kwamba hamuwezi kufanya chochote kizuri bila wao, ndo wamewamaliza kabisa.
Nchi ngapi za kiafrika zimeweza bila wao? Na zilichukua muda gani kufikia hatua ya kujitegemea bila misaada yao? Tutajie mifano michache tu.
Lbda tuanze na Zimbabwe ya Mugabe! wamefikia wapi?
 
Hata komandoo ana mipaka .... Kiboko ni njaa , hata kama una kiburi vipi, ukiwa na njaa siku kadhaa, lazima ukomando ukome.
Eti hawapangiwi mambo , safari hii ndo watapangiwa pamoja na ukichaa wao.

Hivi inakuwaje ukashinda, ukafrahi, ukawakomesha wale, kisha ukawa huna furaha, una hofu, aibu, wasiwasi kwamba ndo mwanzo wako wa kukomeshwa na wengine? !
Fedha zipo tayari kujenga reli yamwendo kasi na bwawa la nyerere. 2024 tutaanza kuwakopesha wazungu hela.
Na watavaa mitumba toka Tanzania
 
Vijana wa kisasa mnateseka na kuhangaika Sana na hii nikwasababu mmezoea kulelewa makwenu mpaka mnazeekea hapo kwa kuogopa majukumu ya kujitegemea.

Hivi kabla ya watu wa ulaya kuja Afrika na Tanzania watu hawakuishi?
Na Kama ni ndio unafkiri kipi kitasababisha watu wasiishi Kama wakiamua kujiweka pembeni?

Funguweni akili mgando hizo na muache kuwasujudu wazungu nao ni watu Kama nyie tu tofauti rangi tu.

I love my country [emoji1241].
Mkuu sio rangi tu, ni watu wanaishi kwa mipango, tena mipango ya muda mrefu. Viongozi wao wanajua thamani ya wananchi wao, wanajitahidi sana kulinda usalama, ustawi na uhai wa watu wao. Kiufupi sisi tuna shida mahala fukani, tena shida kubwa kweli kweli. Wabinafsi, waroho wa madaraka nk nk nk. Kweli kalunguyeye si nungunungu ingawa wanataka kufanana "P. W. Botha".
 
Ulaya na Marekekani wakibana na Marekani wakatumia influence yao kwenye mashirika kama Benki ya dunia, nchi hii miradi mingi itakwama na hata hiyo SGR na ujenzi wa Bwawa la Umeme vyote vinaweza kuathirika ikiwemo kukwama kabisa kwa miradi hiyo.

Hata kama fedha za hii miradi hazitoki Ulaya na Marekani, bado naamini support kubwa ya hawa tunaowaita mabeberu ndio inawezesha serikali kugharamia hiyo miradi kwa kuiongezea serikali uwezo wa kifedha kugharamia hiyo miradi sambamba na mambo mengine ya muhimu kama afya,maji,umeme.

Vile vile Benki ya Dunia-moja ya taasisi za fedha za kimataifa inayotukopesha- wametuwezsha kukamilisha miradi mingi ambayo CCM wanaitumia kujisifu: Ubungo interchange, soko la Ndugai kule Dodoma, Stendi ya kisasa Dodoma, n.k.

Kwakweli tuache kiburi na tuwe na shukurani kwani bila hawa watu tusingiweza kufanya baadhi ya mambo ambayo leo hii tunajisifu kuyafanya na zaidi tuache Kejeli za kuita hawa watu mabeberu ikiwa hata huduma za msingi kama elimu, afya na maji zinatushinda kuzitekeleza bila support yao.
Waaambie wabaneeeee. Hovyo kabisaa
 
Vijana wa kisasa mnateseka na kuhangaika Sana na hii nikwasababu mmezoea kulelewa makwenu mpaka mnazeekea hapo kwa kuogopa majukumu ya kujitegemea.

Hivi kabla ya watu wa ulaya kuja Afrika na Tanzania watu hawakuishi?
Na Kama ni ndio unafkiri kipi kitasababisha watu wasiishi Kama wakiamua kujiweka pembeni?

Funguweni akili mgando hizo na muache kuwasujudu wazungu nao ni watu Kama nyie tu tofauti rangi tu.

I love my country [emoji1241].
Asante sana Mkuu. Mungu akubariki sana. Amen.
 
Ebu tuambizane ya ukweli kwani ccmau tume ingechia uchaguzi ukaenda tu kama kawaida ispokuwa ikaibana nafasi ya urais kubakia ccm kungekuwa na ubaya gani mean upinzani ungebaki na wabunge wake kama 70 kunge kuwa na ubaya gani?serekali hatakiwa kufanya jambo lolote litakalosababisha fedha kuzuiwa kuingia ndani madhali rais huyu magufuli ni fundi wa kutumia fedha zote vizuri sana katika miradi yenye ubunifu wa kisasa nalia na washauri wa mheshimiwa yaani nalia kweli kweli

Hivi mliwahi ona marekani miaka yote tangia uhuru vyama vya siasa nje ya vile viwili Republican na democratic huwa wanashinda kiti cha Urais?

Kwanini basi kimoja kati ya hivi kikishinda serikali na mihimili mingine hawana hofu yeyote ya kuipa nchi chama kilichoshinda?

CCM. Some how naona kuna sehemu mnachemka sana.

Miaka 50+ kutawala nchi hamuwezi kupendwa hata kama mnafanya mazuri as long as mnawatawala human being ambao wana akili timamu wanafika mahali wanawachoka completely.

Ushauri wangu
Chagueni chama cha siasa kimoja cha upinzani mkiwekeze katika mfumo wake kuanzia sera zake , na miiko ya kiutawala with open minded pia mkitoa mipaka katika chama hicho (nchi kwanza)

Na mwisho kuruhusu siku moja watawale angalau miaka kumi au mitano then mnabadilishana pasipo kuwa na figisu ya kukiua.

Kumbukeni CCM ni chama cha ukombozi Baran Africa, ni chama kilichokomboa nchi nyingi na ni baba wa nchi mbalimbali kwa namna hiyo ni vema kulinda heshima yenu ya total independence lakini huku mkiwa very smart kujua takwa la kidunia likoje.

Utawala unahusisha mambo mengi na muono wa mbali wa watesi wenu na pia marafiki wenu.

Ona sasa kila zuri lifanywalo watu hawalioni bali kila muda ni kutafuta namna ya kulikosoa na kulipuuza. Inavunja sana moyo.
 
Back
Top Bottom