Ulaya na Marekani wanaondoa raia wao nchini, hao watalii watatoka wapi baada ya kufungua anga?

Ulaya na Marekani wanaondoa raia wao nchini, hao watalii watatoka wapi baada ya kufungua anga?

Masi Lambo

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2020
Posts
532
Reaction score
360
Rais amedai kuna watalii walio book safari na kujaza ndege zote toka Ulaya, anajuaje kuhusu hizo ndege, anapewa data na kampuni za hizo ndege? Kwani ukinunua tiketi unasema sababu za safari?

Hizo ndege zilifanyiwa booking toka kabla ya korona, anafikiri wasafiri wata riski kusafiri kuja kwenye nchi yenye korona bila mapambano kama ya kwao? Hao watalii watakujaje wakati nchi zao zinawahimiza warudi nyumbani na kutuma ndege kuwachukua?

Capture 1.PNG
 
Watalii na experts ni vitu tofauti Sana

Kuna raia wa UK, USA na kwingine Wengi Tu wamegoma kuondoka

Issue ya utalii is different ingawa inaingiliana na safety and other worries in country

Most likely tutapokea a few from China, and other Asian countries while slowly getting Europeans as well
 
We unatishika na nini?

Mambo mangapi yamesemwa lkn holaa!

Hao wazungu ndo walisema tutaokota mizoga!

Kuna kipindi kulizuka habari kuwa Kuna Ebola tz! Na kuna mi mtu ikawa inasema ipoipo kenge kabisa wale.

Kuna kipindi kulisemekana rais kafa lkn wapi na kama hujui kutafakari utahangaika na haya mambo mpk ukome!

Wanaokomalia mambo hayo ni walewale ila kwa kuwa mnaakili za kushikiwa ndo kwanza mnawaamini!!!

Mi kwa hayo tu yanatosha kuiamini serikali yangu maana kila kinachosemwa na hao mambo yanakuja tofauti!!... Hii ni picha kuwa serikali ndio inayojua kuliko hao wapiga kelele.

Muda ndo utaamua kuwa serikali imekosea au bado.. tutaona kama watalii watakuja au hawatakuja.
 
Tutafanya utalii wenyewe. Hii serikali inaupungufu sana wa maono.

Utalii ni luxuriously good. Hakuna mtu anapesa ya kuchezea kipindi hiki na miaka kama miwili baada ya sasa.

Nchi kipindi kama hiki ilikuwa unatakiwa iangalie necessity goods. Hasa hasa mazao ya kilimo na viwanda.

Ni upumbavu uliopitiliza kufikiri utalii ndyo utafufua uchumi wetu.

Sera ya viwanda imeishia wapi? Huu ndyo ulkuwa muda wa kufufua viwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unatishika na nini..?
Mambo mangapi yamesemwa lkn holaa!
Hao wazungu ndo walisema tutaokota mizoga!
Kuna kipindi kulizuka habari kuwa Kuna Ebola tz! Na kuna mi mtu ikawa inasema ipoipo kenge kabisa wale..
Kuna kipindi kulisemekana rais kafa lkn wapi na kama hujui kutafakari utahangaika na haya mambo mpk ukome!
Wanaokomalia mambo hayo ni walewale ila kwa kuwa mnaakili za kushikiwa ndo kwanza mnawaamini!!!

Mi kwa hayo tu yanatosha kuiamini serikali yangu maana kila kinachosemwa na hao mambo yanakuja tofauti!!... Hii ni picha kuwa serikali ndio inayojua kuliko hao wapiga kelele..

Muda ndo utaamua kuwa serikali imekosea au bado.. tutaona kama watalii watakuja au hawatakuja.
Unapopewa taarifa za prediction haimaanishi lazima itokee. Unakuwa unapewa worning ili uchukue hatua. Tungeendelea bac na maisha yetu ya kawaida na shule zingeendelea tukaona cha moto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watalii na experts ni vitu tofauti Sana

Kuna raia wa UK, USA na kwingine Wengi Tu wamegoma kuondoka

Issue ya utalii is different ingawa inaingiliana na safety and other worries in country

Most likely tutapokea a few from China, and other Asian countries while slowly getting Europeans as well
Watalii wana akili kujua korona haichagui watalii na wasio watalii.
 
"Kwani ukinunua tiketi unasema sababu za safari?"
Mkuu ndege sio basi la Mwanza kwamba ukikata ticket huulizwi....Kwenye Ndege kuulizwa ni lazima
 
We unatishika na nini..?

Mambo mangapi yamesemwa lkn holaa!

Hao wazungu ndo walisema tutaokota mizoga!

Kuna kipindi kulizuka habari kuwa Kuna Ebola tz! Na kuna mi mtu ikawa inasema ipoipo kenge kabisa wale.

Kuna kipindi kulisemekana rais kafa lkn wapi na kama hujui kutafakari utahangaika na haya mambo mpk ukome!

Wanaokomalia mambo hayo ni walewale ila kwa kuwa mnaakili za kushikiwa ndo kwanza mnawaamini!!!

Mi kwa hayo tu yanatosha kuiamini serikali yangu maana kila kinachosemwa na hao mambo yanakuja tofauti!!... Hii ni picha kuwa serikali ndio inayojua kuliko hao wapiga kelele.

Muda ndo utaamua kuwa serikali imekosea au bado.. tutaona kama watalii watakuja au hawatakuja.
Time will tell who are stupid.
 
"Kwani ukinunua tiketi unasema sababu za safari?"
Mkuu ndege sio basi la Mwanza kwamba ukikata ticket huulizwi....Kwenye Ndege kuulizwa ni lazima
ha ha ha ha nimepanda ndege mara nyingi hata kutumia tiketi ya mwingine, ni ubalozi tu ndiyo wanaouliza sababu ya safari yako.
 
We unatishika na nini..?

Mambo mangapi yamesemwa lkn holaa!

Hao wazungu ndo walisema tutaokota mizoga!

Kuna kipindi kulizuka habari kuwa Kuna Ebola tz! Na kuna mi mtu ikawa inasema ipoipo kenge kabisa wale.

Kuna kipindi kulisemekana rais kafa lkn wapi na kama hujui kutafakari utahangaika na haya mambo mpk ukome!

Wanaokomalia mambo hayo ni walewale ila kwa kuwa mnaakili za kushikiwa ndo kwanza mnawaamini!!!

Mi kwa hayo tu yanatosha kuiamini serikali yangu maana kila kinachosemwa na hao mambo yanakuja tofauti!!... Hii ni picha kuwa serikali ndio inayojua kuliko hao wapiga kelele.

Muda ndo utaamua kuwa serikali imekosea au bado.. tutaona kama watalii watakuja au hawatakuja.
Hao wazungu watakujaje wakati nchi zao zinawahimiza warudi nyumbani na kutuma ndege kuwachukua?
 
Unapopewa taarifa za prediction haimaanishi lazima itokee. Unakuwa unapewa worning ili uchukue hatua. Tungeendelea bac na maisha yetu ya kawaida na shule zingeendelea tukaona cha moto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli tunaweza kuona cha moto.

Mzeebaba vipi ile hali ya kuhisi corona umepona? Umetumia dawa gani kwa faida ya wengine.
 
Rais amedai kuna watalii walio book safari na kujaza ndege zote toka Ulaya, anajuaje kuhusu hizo ndege, anapewa data na kampuni za hizo ndege? Kwani ukinunua tiketi unasema sababu za safari?

Hizo ndege zilifanyiwa booking toka kabla ya korona, anafikiri wasafiri wata riski kusafiri kuja kwenye nchi yenye korona bila mapambano kama ya kwao? Hao watalii watakujaje wakati nchi zao zinawahimiza warudi nyumbani na kutuma ndege kuwachukua?

Mkuu unaishi Dunia gani?
Mbona nchi nyingi wanatoka ndani na wengine wanajiandaa kutoka ndani huku maambukizi yakiwa bado juu?!!
Sana sana wananchi.wanaambiwa wamentain social distance.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais amedai kuna watalii walio book safari na kujaza ndege zote toka Ulaya, anajuaje kuhusu hizo ndege, anapewa data na kampuni za hizo ndege? Kwani ukinunua tiketi unasema sababu za safari?

Hizo ndege zilifanyiwa booking toka kabla ya korona, anafikiri wasafiri wata riski kusafiri kuja kwenye nchi yenye korona bila mapambano kama ya kwao? Hao watalii watakujaje wakati nchi zao zinawahimiza warudi nyumbani na kutuma ndege kuwachukua?

Shida yako nini mkuu?
Tuseme umeshinda, faida yako ni nini sasa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusubir nyimbo za wataliii wameongezeka mapato ya sekta ya utalii yameongezeka kuliko hata kipndi kabla ya corona. Tanzanian politics.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazungu waliokuwa na akili ni wale wa zamani tu,,Babu zao na Hawa wasio na maadili Wala imani.Ndio maana wamebaki na ngonjera tu...Mimi mtu anaekuwa na msimamo wake na akajisimamia mwenyewe Kama Mh Raisi huwa nadhani ni mtu ambae tunatakiwa tumwangalie na kutafakari movement zake zaidi ya kuongea...Tumpe mda yajayo naamini yatakuwa na kheri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom