Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaWatalii wana akili kujua korona haichagui watalii na wasio watalii.
ww hujui kitu kwa tarifa yako kwa mtu mwenye huruka ya kutalii ni lazima asafiri tuu na utalii unafanywa na watu wenye vipato vikubwa sio masikini bada ya mipaka kufunguliwa watalii watajazana mno sababu ya kiu ya kuto kuipata nafasi hiyo kwa mda mrefu kikubwa nikuandaa mazingira salama ya kuwawezesha wafikeTutafanya utalii wenyewe. Hii serikali inaupungufu sana wa maono.
Utalii ni luxuriously good. Hakuna mtu anapesa ya kuchezea kipindi hiki na miaka kama miwili baada ya sasa.
Nchi kipindi kama hiki ilikuwa unatakiwa iangalie necessity goods. Hasa hasa mazao ya kilimo na viwanda.
Ni upumbavu uliopitiliza kufikiri utalii ndyo utafufua uchumi wetu.
Sera ya viwanda imeishia wapi? Huu ndyo ulkuwa muda wa kufufua viwanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
halafu msidhani watu wote wanaogopa hiyo corona yenu wengine wanatii tu mamlaka mamlaka zitapo wapa uhuru wa kusafiri watamiminika wengi mnooWatalii wana akili kujua korona haichagui watalii na wasio watalii.
unaumia mkuu kuambiwa watalii wameongezeka? epuka dhambi ya kujidharau na kulidharau taifa lako kwa gharama ya kujumlisha baya 1 ktk mazuri 1000Tusubir nyimbo za wataliii wameongezeka mapato ya sekta ya utalii yameongezeka kuliko hata kipndi kabla ya corona. Tanzanian politics.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe itakuwa haujasafiri internationally au intercontinentally. Pia watu mnaandika kwa kubuni tu. Ninakuja Tz kutoka USA zaidi ya mara tatu kila mwaka, na pia nimesafiri mabara mengine. Hata siku moja hauulizwi sababu ya kununua tiketi ya ndege. Usichanganye tiketi na visa mkuu"Kwani ukinunua tiketi unasema sababu za safari?"
Mkuu ndege sio basi la Mwanza kwamba ukikata ticket huulizwi....Kwenye Ndege kuulizwa ni lazima
Achaa unaaa mkuu.tuliza kipele watalii wanakuja mob mimi tayari nina booking Zao za mwezi wa saba na nimeshalipwa mpunga kabisaRais amedai kuna watalii walio book safari na kujaza ndege zote toka Ulaya, anajuaje kuhusu hizo ndege, anapewa data na kampuni za hizo ndege? Kwani ukinunua tiketi unasema sababu za safari?
Hizo ndege zilifanyiwa booking toka kabla ya korona, anafikiri wasafiri wata riski kusafiri kuja kwenye nchi yenye korona bila mapambano kama ya kwao? Hao watalii watakujaje wakati nchi zao zinawahimiza warudi nyumbani na kutuma ndege kuwachukua?
Endelea kukata tamaa.maana ni haki yako lkn maisha yatasonga tu.Rais amedai kuna watalii walio book safari na kujaza ndege zote toka Ulaya, anajuaje kuhusu hizo ndege, anapewa data na kampuni za hizo ndege? Kwani ukinunua tiketi unasema sababu za safari?
Hizo ndege zilifanyiwa booking toka kabla ya korona, anafikiri wasafiri wata riski kusafiri kuja kwenye nchi yenye korona bila mapambano kama ya kwao? Hao watalii watakujaje wakati nchi zao zinawahimiza warudi nyumbani na kutuma ndege kuwachukua?
Mwaka huu tutaona upumbavu wa watanzania na rais wetu, endelea kujiridhisha.Achaa unaaa mkuu.tuliza kipele watalii wanakuja mob mimi tayari nina booking Zao za mwezi wa saba na nimeshalipwa mpunga kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha!!halafu msidhani watu wote wanaogopa hiyo corona yenu wengine wanatii tu mamlaka mamlaka zitapo wapa uhuru wa kusafiri watamiminika wengi mnoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajinga ndiyo watauliza hilo swali.
Niko UK nayaona na kusikia yote, kuna masharti makali kwenye ulegezo wa lockdown, na watu wenyewe hawatoki, na wengi wanawapinga viongozi wakati wachache wajinga wanataka uhuru.Mkuu unaishi Dunia gani?
Mbona nchi nyingi wanatoka ndani na wengine wanajiandaa kutoka ndani huku maambukizi yakiwa bado juu?!!
Sana sana wananchi.wanaambiwa wamentain social distance.
Sent using Jamii Forums mobile app
hajui tuh maneno yake yanavyotuumiza wengine tunaotegemea utalii.angekuwa karibu hyu ningempa kelbu moja imtoe wengeunaumia mkuu kuambiwa watalii wameongezeka? epuka dhambi ya kujidharau na kulidharau taifa lako kwa gharama ya kujumlisha baya 1 ktk mazuri 1000
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwemo wewe uko kivyako. Unachojua ni kuwa hao raia wanaondoka tanzania pekee na nchi zingine hawaindoki.Watalii? Kuna wakati Tz inakuwa kama ipo dunia yake vile.....watakuwa wanatoka mwezini au sayarini.
Tuendelee kujikinga na corona,ipo
Wanajitekenya wenyewe halafu wanacheka wenyeweRais amedai kuna watalii walio book safari na kujaza ndege zote toka Ulaya, anajuaje kuhusu hizo ndege, anapewa data na kampuni za hizo ndege? Kwani ukinunua tiketi unasema sababu za safari?
Hizo ndege zilifanyiwa booking toka kabla ya korona, anafikiri wasafiri wata riski kusafiri kuja kwenye nchi yenye korona bila mapambano kama ya kwao? Hao watalii watakujaje wakati nchi zao zinawahimiza warudi nyumbani na kutuma ndege kuwachukua?
Wanajitekenya wenyewe hao wanaosema kuwa watalii wanakuja, hata huyo mtalii akija Tanzania ndani ya miez hii mitatu atakuwa Hana akiriRais amedai kuna watalii walio book safari na kujaza ndege zote toka Ulaya, anajuaje kuhusu hizo ndege, anapewa data na kampuni za hizo ndege? Kwani ukinunua tiketi unasema sababu za safari?
Hizo ndege zilifanyiwa booking toka kabla ya korona, anafikiri wasafiri wata riski kusafiri kuja kwenye nchi yenye korona bila mapambano kama ya kwao? Hao watalii watakujaje wakati nchi zao zinawahimiza warudi nyumbani na kutuma ndege kuwachukua?