Jacobo Zuma
Senior Member
- May 26, 2019
- 124
- 101
Kuna kipindi wanaitwa mabeberu na ndio walio leta vipimo vibovu na hao wazungu ndio wanaitwa watalii sasa unakaa unawaza wew hupati jibuTime will tell who are stupid.
Ni wakati gani wanakua mabeberu na wakati gani wanageuka watalii
Walipo sema tutaokota maiti tukawabeza walipo sema watakuja kutalii tukawaamini lakini ni wazungu walewale
Sent using Jamii Forums mobile app