Jacobo Zuma
Senior Member
- May 26, 2019
- 124
- 101
Kuna kipindi wanaitwa mabeberu na ndio walio leta vipimo vibovu na hao wazungu ndio wanaitwa watalii sasa unakaa unawaza wew hupati jibuTime will tell who are stupid.
Ndiyo unavyoelewa wewe na uelewa wakoUkiwemo wewe uko kivyako. Unachojua ni kuwa hao raia wanaondoka tanzania pekee na nchi zingine hawaindoki.
Sijakuelewa. Yaani wanwaondoa raia wao hapa nchini kwa nia ya kuwapeleka kwenye maambukizi ya Corona? Umeisikia Serikali imesema kuwa Jumatatu tarehe 1/06/2020 vyuo vinafungua? Nani yuko sahihi kati ya Serikali hizi mbili? Ni Serikali ipi inafanya siasa kati ya hizi?Rais amedai kuna watalii walio book safari na kujaza ndege zote toka Ulaya, anajuaje kuhusu hizo ndege, anapewa data na kampuni za hizo ndege? Kwani ukinunua tiketi unasema sababu za safari?
Hizo ndege zilifanyiwa booking toka kabla ya korona, anafikiri wasafiri wata riski kusafiri kuja kwenye nchi yenye korona bila mapambano kama ya kwao? Hao watalii watakujaje wakati nchi zao zinawahimiza warudi nyumbani na kutuma ndege kuwachukua?
Wanaweza kuwa ni watalii, au wanaweza kuwa ni watu ambao wamepata fununu za uhakika kabisa kuwa kuna kitu cha maana kimefanyika, wanakuja kuhakikisha!Tutafanya utalii wenyewe. Hii serikali inaupungufu sana wa maono.
Utalii ni luxuriously good. Hakuna mtu anapesa ya kuchezea kipindi hiki na miaka kama miwili baada ya sasa.
Nchi kipindi kama hiki ilikuwa unatakiwa iangalie necessity goods. Hasa hasa mazao ya kilimo na viwanda.
Ni upumbavu uliopitiliza kufikiri utalii ndyo utafufua uchumi wetu.
Sera ya viwanda imeishia wapi? Huu ndyo ulkuwa muda wa kufufua viwanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la post hii sio kwanini wanawaondoa raia wao, ni hao watalii watatoka wapi kwani wao sio raia wa nchi zinazowaondoa kwetu?Sijakuelewa. Yaani wanwaondoa raia wao hapa nchini kwa nia ya kuwapeleka kwenye maambukizi ya Corona? Umeisikia Serikali imesema kuwa Jumatatu tarehe 1/06/2020 vyuo vinafungua? Nani yuko sahihi kati ya Serikali hizi mbili? Ni Serikali ipi inafanya siasa kati ya hizi?
Ni wazungu wale wale wanao ondolewa nchini na nchi zao pia.Kuna kipindi wanaitwa mabeberu na ndio walio leta vipimo vibovu na hao wazungu ndio wanaitwa watalii sasa unakaa unawaza wew hupati jibu
Ni wakati gani wanakua mabeberu na wakati gani wanageuka watalii
Walipo sema tutaokota maiti tukawabeza walipo sema watakuja kutalii tukawaamini lakini ni wazungu walewale
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais amedai kuna watalii walio book safari na kujaza ndege zote toka Ulaya, anajuaje kuhusu hizo ndege, anapewa data na kampuni za hizo ndege? Kwani ukinunua tiketi unasema sababu za safari?
Hizo ndege zilifanyiwa booking toka kabla ya korona, anafikiri wasafiri wata riski kusafiri kuja kwenye nchi yenye korona bila mapambano kama ya kwao? Hao watalii watakujaje wakati nchi zao zinawahimiza warudi nyumbani na kutuma ndege kuwachukua?