Ulaya ndo inabidi iongoze dunia na sio Marekani

Ulaya ndo inabidi iongoze dunia na sio Marekani

Haki za binadamu ndio hizi wasagaji,mashoga,jinsia mbili,wanaobadili jinsia,queer??

Yaani watu wa design hiyo ndio waongoze dunia??

Na wewe ni degree holder??😀😀
Hizo mambo ziko sana kwa warabu japo wanafanya kimya kimya
 
Hi JamiiForums,
Kwa mawazo yangu naona ulaya ndo inabidi waongoze dunia maana wao ndo wanapigania haki za binadamu, tofauti na marekani ambao wanasema America first.

Ina maana Us wana ubinafsi wanataka wao ndo wapate mazuri hata kama wenzao wanapitia hali ngumu.
Ulaya naye anaongozwa. Kwenye azimio la umona wa mataifa marekani ilimuunga mkono mrusi, ulaya haikuwa inakubaliana ma marekani haikutaka kumpinga kwa hiyo ikawa kama haina upande.
Trump jana katangaza kuwa soona anailima tarriff ya 25% kwenye bidhaa zake kama magari n.k.
Ulaya inabidi ianze kuangakua maslahi yake haya mambo ya kuwa mkia wa marekani yameiponza. Mfano kampuni ya magari ya ufaransa ya renault ilikuwa urusi ni soko lake la pili kwa ukubwa ukiondoa ufaransa yenyewe, sasa iliuza kila kitu ikajiondoa. Wakati marekani inapanga kuondoa vikwazo makampuni yake yaendeleze biashara urusi, renault kurudi urusi itapaswa kulipa si chini ya dola bilion 112.
 
Hi JamiiForums,
Kwa mawazo yangu naona ulaya ndo inabidi waongoze dunia maana wao ndo wanapigania haki za binadamu, tofauti na marekani ambao wanasema America first.

Ina maana Us wana ubinafsi wanataka wao ndo wapate mazuri hata kama wenzao wanapitia hali ngumu.
Kimsingi na kiuhalisia ilitakiwa kuwa hivyo, kinachoikwamisha Ulaya hasa Ulaya Magharibi ni kwamba Wana eneo dogo Sana la kijiografia, sambamba na kuwa na idadi ndogo sana ya Watu.
Viinchi vyao ni vidogo vidogo Sana, havina Ardhi ya kutosha ya kuweza kufanya Uwekezaji mkubwa zaidi wa miundombinu ya viwanda vikubwa zaidi vya kutengeneza silaha nzito sana' za maangamizi, viwanda vikubwa vya kutengeneza mitambo mikubwa mbalimbali, n.k. Na hawawezi kuongeza idadi kubwa sana ya Watu kwa njia za Uhamiaji wa Wataalamu kutoka nje ya bara hilo kwa sababu za ukosefu wa Ardhi ya kutosha kwa ajili ya miundombinu ya makazi na uchumi mkubwa zaidi.

Nchi ya Urusi peke yake ndio ina Ardhi kubwa zaidi barani Ulaya na duniani kote kwa ujumla. Njia pekee ya kuifanya Ulaya ya Magharibi kuwa na nguvu kubwa zaidi za Ushawishi wa kisiasa, kijeshi na kiuchumi ni kwa kuidhoofisha Urusi kwanza, kuimegamega zaidi na zaidi nchi hiyo ya Urusi na kisha kuisambaratisha kabisa kama vile ilivyofanyika kwa nchi ya Yugoslavia. Na mwisho kabisa kuziteka nchi mpya zitakazozaliwa baada ya kuisambaratisha Urusi ziwe upande wa nchi za Ulaya ya Magharibi kisiasa, kiuchumi, kisera, kimitizamo, n.k.
 
Hi JamiiForums,
Kwa mawazo yangu naona ulaya ndo inabidi waongoze dunia maana wao ndo wanapigania haki za binadamu, tofauti na marekani ambao wanasema America first.

Ina maana Us wana ubinafsi wanataka wao ndo wapate mazuri hata kama wenzao wanapitia hali ngumu.
Utateteaje watoto wa jirani na ukawaacha wanao?
Hata Biblia insema...asiyewajali watu wa nyimbani kwake huyo ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.

Hata mimi familia yangu kwanza, ndipo ya jirani
 
Hi JamiiForums,
Kwa mawazo yangu naona ulaya ndo inabidi waongoze dunia maana wao ndo wanapigania haki za binadamu, tofauti na marekani ambao wanasema America first.

Ina maana Us wana ubinafsi wanataka wao ndo wapate mazuri hata kama wenzao wanapitia hali ngumu.
Ni vema tena itapendeza Sana Kama uta study vema philosophical perspective of development of Europe and USA there is big difference.

Europe(ulaya) those people had just a dream to create better living sphere but america always chasing glory

America is self sufficient but Europe nation existence depend upon on backup of america in term of security and finance .
Tangu litokee janga la ww1 Europe ilipoteza nguvu .
 
Kimsingi na kiuhalisia ilitakiwa kuwa hivyo, kinachoikwamisha Ulaya hasa Ulaya Magharibi ni kwamba Wana eneo dogo Sana la kijiografia, sambamba na kuwa na idadi ndogo sana ya Watu.
Viinchi vyao ni vidogo vidogo Sana, havina Ardhi ya kutosha ya kuweza kufanya Uwekezaji mkubwa zaidi wa miundombinu ya viwanda vikubwa zaidi vya kutengeneza silaha nzito sana' za maangamizi, viwanda vikubwa vya kutengeneza mitambo mikubwa mbalimbali, n.k. Na hawawezi kuongeza idadi kubwa sana ya Watu kwa njia za Uhamiaji wa Wataalamu kutoka nje ya bara hilo kwa sababu za ukosefu wa Ardhi ya kutosha kwa ajili ya miundombinu ya makazi na uchumi mkubwa zaidi.

Nchi ya Urusi peke yake ndio ina Ardhi kubwa zaidi barani Ulaya na duniani kote kwa ujumla. Njia pekee ya kuifanya Ulaya ya Magharibi kuwa na nguvu kubwa zaidi za Ushawishi wa kisiasa, kijeshi na kiuchumi ni kwa kuidhoofisha Urusi kwanza, kuimegamega zaidi na zaidi nchi hiyo ya Urusi na kisha kuisambaratisha kabisa kama vile ilivyofanyika kwa nchi ya Yugoslavia. Na mwisho kabisa kuziteka nchi mpya zitakazozaliwa baada ya kuisambaratisha Urusi ziwe upande wa nchi za Ulaya ya Magharibi kisiasa, kiuchumi, kisera, kimitizamo, n.k.
Ulaya Ina idadi ndogo sana ya watu? Mkuu kuwa serious, ulaya Ina idadi ya watu zaidi ya milioni 700. Unawezaje kusema ni idadi ndogo hiyo.
 
Hi JamiiForums,
Kwa mawazo yangu naona ulaya ndo inabidi waongoze dunia maana wao ndo wanapigania haki za binadamu, tofauti na marekani ambao wanasema America first.

Ina maana Us wana ubinafsi wanataka wao ndo wapate mazuri hata kama wenzao wanapitia hali ngumu.
Marekani na ulaya ni sawa tu na muungano wetu wa kihuni ambao hutoa fursa zaidi Kwa upande mmoja wa Zanzibar na Tanganyika kubakia inapauka tu na kupiga miayo
 
Ulaya Ina idadi ndogo sana ya watu? Mkuu kuwa serious
Kwani uwongo?

Barani Ulaya kuna idadi ndogo ya Watu, Watu wake wengi sana ni wazee na vijana ni wachache Sana. Aidha, pia Wana tatizo la kuwa na Ardhi ndogo.
Ni Urusi peke yake ndiyo kuna tofauti.

Watu wengi Sana wa Ulaya tangu mwanzoni kabisa mwa miaka ya 1500 walianza kutawanyika na kwenda sehemu nyingine mbalimbali nje ya Ulaya. Mathalani, Watu/raia wa asili ya Wazungu karibia wote kabisa waliopo nchini Australia chimbuko lao ni nchi za Ulaya, hususani nchi ya Uingereza.
Watu hao walipelekwa huko Australia Baada ya Uingereza kukumbwa na tatizo la ukosefu wa Ardhi ya kutosha kulikosababisha ugumu wa maisha na Watu wengi kuanza kujiingiza kwenye vitendo vya Uhalifu.
 
Kwani uwongo?

Barani Ulaya kuna idadi ndogo ya Watu, Watu wake wengi sana ni wazee na vijana ni wachache Sana. Aidha, pia Wana tatizo la kuwa na Ardhi ndogo.
Ni Urusi peke yake ndiyo kuna tofauti.

Watu wengi Sana wa Ulaya tangu mwanzoni kabisa mwa miaka ya 1500 walianza kutawanyika na kwenda sehemu nyingine mbalimbali nje ya Ulaya. Mathalani, Watu/raia wa asili ya Wazungu karibia wote kabisa waliopo nchini Australia chimbuko lao ni nchi za Ulaya, hususani nchi ya Uingereza.
Watu hao walipelekwa huko Australia Baada ya Uingereza kukumbwa na tatizo la ukosefu wa Ardhi ya kutosha kulikosababisha ugumu wa maisha na Watu wengi kuanza kujiingiza kwenye vitendo vya Uhalifu.
Ishu ni watu ama umri mkubwa nimekwambia ulaya Ina zaidi ya watu milioni 700.
 
Ulaya naye anaongozwa. Kwenye azimio la umona wa mataifa marekani ilimuunga mkono mrusi, ulaya haikuwa inakubaliana ma marekani haikutaka kumpinga kwa hiyo ikawa kama haina upande.
Trump jana katangaza kuwa soona anailima tarriff ya 25% kwenye bidhaa zake kama magari n.k.
Ulaya inabidi ianze kuangakua maslahi yake haya mambo ya kuwa mkia wa marekani yameiponza. Mfano kampuni ya magari ya ufaransa ya renault ilikuwa urusi ni soko lake la pili kwa ukubwa ukiondoa ufaransa yenyewe, sasa iliuza kila kitu ikajiondoa. Wakati marekani inapanga kuondoa vikwazo makampuni yake yaendeleze biashara urusi, renault kurudi urusi itapaswa kulipa si chini ya dola bilion 112.
Kuna siku eu itajikuta only option ya kunusuru uchumi wake ni kujiunga na BRICS na hapo watalazimika kuachana na mavikwazo ya usa na kufanya buashaara vinginevyo watapata wakati mgumu sana
 
Back
Top Bottom