Ulaya ndo inabidi iongoze dunia na sio Marekani

Ulaya ndo inabidi iongoze dunia na sio Marekani

Hakuna Bara au sehemu inayotakiwa kuongoza Dunia inabidi kuwepo na checks and balances kutoka kwa wana Dunia wote i.e. Umoja wa Mataifa ambapo kila Taifa linachangia katika Uongozi huo...

Ni hao hao Ulaya ambao waligawana / walijigawia hili Bara na matatizo mengi ya sasa ni kutokana na mipaka yao waliyochora sio kulingana na kilichopo chini bali nani apate nini na wapi
 
Hi JamiiForums,
Kwa mawazo yangu naona ulaya ndo inabidi waongoze dunia maana wao ndo wanapigania haki za binadamu, tofauti na marekani ambao wanasema America first.

Ina maana Us wana ubinafsi wanataka wao ndo wapate mazuri hata kama wenzao wanapitia hali ngumu.
Biblia ndivyo ilivyotabiri. Kuelekea kurudi kwa Yesu Kristo, Ulaya Urusi na Mashariki ya Kati ndizo zitatawala vyombo vya habari. Marekani haijatabiriwa kwenye Biblia.
 
Back
Top Bottom