Ulaya uhakika wa kufikisha miaka 60 upo

Ulaya uhakika wa kufikisha miaka 60 upo

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Inakuwaje wanajamvi.

Ulaya hasa skendinevia uhakika wa kufikisha miaka 60 upo kabisa labda wewe mwenyewe uamue kujiua lakini ukiamua tu aaah mbona unagonga sikste tu kiulaini. Baada ya 60 hapo sasa ndio stress za kukacha mazimaa zinakujia

Mimi sasa hivi na 32 years bado nina uhakika wa miaka mengine 28 hapa Denmark.

Utakufaje kizembe wakati miundombinu ya hatari ipo. Muda unazingatiwa msosi wa nguvu upo sasa hivi wahamiaji kibao hadi maduka ya vyakula mbalimbali kutoka Africa na Asia vipo mihogo, dagaa, mbogaga, ngono ya kumwaga tu huitaji kulipa ni saundii tu yani unatandaza miti at will, hewa Safi, elimu safi, utawala wa sheria, kazi za kubeba boksi za kumwaga tu ni wewe kuchagua tu, makazi mazuri tu KWA NINI USIGONGE SIKSTE?

Lusungo RRONDO
 
Magonjwa ndio yanapunguza sana urefu wa maisha yetu. Leo malaria,kesho kuhara,keshokutwa typhoid mara UTI, sasa unakunywa dawa unapona lakini figo ndio linateketea. Hapo hujazungumzia hewa chafu,lishe duni yaani kufika 60 zama hizi ni bahati sana.
 
Inakuwaje wanajamvi.

Ulaya hasa skendinevia uhakika wa kufikisha miaka 60 upo kabisa labda wewe mwenyewe uamue kujiua lakini ukiamua tu aaah mbona unagonga sikste tu kiulaini. Baada ya 60 hapo sasa ndio stress za kukacha mazimaa zinakujia

Mimi sasa hivi na 32 years bado nina uhakika wa miaka mengine 28 hapa Denmark.

Utakufaje kizembe wakati miundombinu ya hatari ipo. Muda unazingatiwa msosi wa nguvu upo sasa hivi wahamiaji kibao hadi maduka ya vyakula mbalimbali kutoka Africa na Asia vipo mihogo, dagaa, mbogaga, ngono ya kumwaga tu huitaji kulipa ni saundii tu yani unatandaza miti at will, hewa Safi, elimu safi, utawala wa sheria, kazi za kubeba boksi za kumwaga tu ni wewe kuchagua tu, makazi mazuri tu KWA NINI USIGONGE SIKSTE?

Lusungo RRONDO
Huyu hapa naye yupo nchi za Scandinavia?

 
Inakuwaje wanajamvi.

Ulaya hasa skendinevia uhakika wa kufikisha miaka 60 upo kabisa labda wewe mwenyewe uamue kujiua lakini ukiamua tu aaah mbona unagonga sikste tu kiulaini. Baada ya 60 hapo sasa ndio stress za kukacha mazimaa zinakujia

Mimi sasa hivi na 32 years bado nina uhakika wa miaka mengine 28 hapa Denmark.

Utakufaje kizembe wakati miundombinu ya hatari ipo. Muda unazingatiwa msosi wa nguvu upo sasa hivi wahamiaji kibao hadi maduka ya vyakula mbalimbali kutoka Africa na Asia vipo mihogo, dagaa, mbogaga, ngono ya kumwaga tu huitaji kulipa ni saundii tu yani unatandaza miti at will, hewa Safi, elimu safi, utawala wa sheria, kazi za kubeba boksi za kumwaga tu ni wewe kuchagua tu, makazi mazuri tu KWA NINI USIGONGE SIKSTE?

Lusungo RRONDO
mkuu nina 52 kwa sasa, niunganishe na mchongo huko
 
You are at the very bottom of society in every measure and face constant racial harassment and discrimination in your daily life. Yet you feel happy and satisfied because you get freebies from the government and are surrounded with white people?
 
Niliwahi kusoma stori kama hii katika kitabu filani(nimekisahau jina)
Jamaa alipambana kimaisha akapata Mali nyingi.
Akajenga jumba la kifahari. Akasema:"Sasa sitaki kuhangaika ni kuponda mali kwa kwenda mbele"
Mara akasikia sauti inanongoneza sikioni:"Aisee babangu jamaa wako hapo nje wanaisubiri roho yako waondoke nayo kesho adubuhi. Aisee andika urithi harakaharaka ujiwahi!"
 
Back
Top Bottom