Ulaya Wana NATO Afrika tuna nini?

Ulaya Wana NATO Afrika tuna nini?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Wazungu wanayo NATO inayowalinda dhidi ya mataifa mengine, je, Afrika tunalindwa na nini dhidi ya mataifa mengine duniani.

Bara liko tayari kutawaliwa Tena.
 
Ngoja kwanza Afrika waibiane,kutesana,vita za kijinga,kuiga tamaduni za wengine na kuita dini,majungu nk.Mambo kama ya NATO si kiwango cha Afrika.Ilikuwepo ECOMOG sijui ilifia kaburi lipi!
 
Afrika ni kama nyumbu, hadi Leo wanahangaika na madawati ya kukalia watoto. Hawana habari kuwa Afrika imekaliwa Tena na itachukuliwa kabisa milele. NATO ikishamaliza kuondoa vikwazo (urusi, china) itakuja kumalizia kuitwaa Africa.
Ngoja kwanza Afrika waibiane,kutesana,vita za kijinga,kuiga tamaduni za wengine na kuita dini,majungu nk.Mambo kama ya NATO si kiwango cha Afrika.Ilikuwepo ECOMOG sijui ilifia kaburi lipi
 
Afrika haina mipango ya kuzalisha silaha zake yenyewe na wala hakuna kiongozi wa Africa mwenye bajeti hiyo. Mbaya zaidi wanakamata hata wananchi wao wanaotengeneza magobore na kuwafunga jela badala ya kuwapa mitaji na technology. Hatuna viongozi wenye kuona hata miaka 50 mbele. Tunawaza uchaguzi Kila miaka 5 baaasi.
 
Wazungu wanayo NATO inayowalinda dhidi ya mataifa mengine, je, Afrika tunalindwa na nini dhidi ya mataifa mengine duniani.

Bara liko tayari kutawaliwa Tena.
Hawana shida ya kulitawala hili Bara mara nyingine kwa sababu kile walichokua wanakipata huku kwa Damu na Jasho wakati ule kwa sasa wanapelekewa mpaka huko walipo kwa Bei Cheee kabisa !
N.b madini, Gesi , mafuta so on and so forth !
 
Hawana shida ya kulitawala hili Bara mara nyingine kwa sababu kile walichokua wanakipata huku kwa Damu na Jasho wakati ule kwa sasa wanapelekewa mpaka huko walipo kwa Bei Cheee kabisa !
N.b madini, Gesi , mafuta so on and so forth !
Hiyo sio kweli hata kidogo na kiongozi anaefikiria hivyo hana maono. Afrika inagombaniwa na ulaya, China na urusi. Usifikie kuwa kinachotoka Africa kinawafikia ulaya chote kama zamani, sasa hivi mali nyingine inakwenda China, India na urudi, na hiyo ndiyo hofu yao itakayosababisha watumie NATO kuichukua Afrika physically tena.

Ufaransa ameshaingia hofu hiyo hasa pale Sahel.
 
Hiyo sio kweli hata kidogo na kiongozi anaefikiria hivyo hana maono. Afrika inagombaniwa na ulaya, China na urusi. Usifikie kuwa kinachotoka Africa kinawafikia ulaya chote kama zamani, sasa hivi mali nyingine inakwenda China, India na urudi, na hiyo ndiyo hofu yao itakayosababisha watumie NATO kuichukua Afrika physically tena.

Ufaransa ameshaingia hofu hiyo hasa pale Sahel.
Ufaransa anaililia ile Uraniam aliyokuwa akiichukua kwa bei Cheee huko Sahel !
 
Wazungu sasa hivi wanajadili namna ya kuongeza bajeti ya kutengeneza silaha nyingi na bora sisi tunadili nani atasimamia uchaguzi na nani anateka watu.

Rwanda itakuwa ya mwisho kutawaliwa Tena Afrika.
 
Africa Tena, hujui?
Wengine wanaunda BRICS kujihami na NATO Africa tunaunda nini? Tutalindwa na nani au tunategemea ulinzi wa kujikomba kwa wanyonyaji wetu?
 
Lengo la NATO ni nini? Unataka Afrika iwe na kitu kama NATO ili kujilinda dhidi ya nani??

Jiulize hayo maswali ya msingi kisha utapata majibu kwa nini hakuna hicho kitu.

Mambo ya ulinzi na usalama hayafanywi tu kwa kuiga na kufuata mkumbo, bali kwa kufanya tathmini ya kina ya matishio ya kiusalama uliyonayo.
 
Wazungu sasa hivi wanajadili namna ya kuongeza bajeti ya kutengeneza silaha nyingi na bora sisi tunadili nani atasimamia uchaguzi na nani anateka watu.

Rwanda itakuwa ya mwisho kutawaliwa Tena Afrika.
Hatari sana n
Afrika haina mipango ya kuzalisha silaha zake yenyewe na wala hakuna kiongozi wa Africa mwenye bajeti hiyo. Mbaya zaidi wanakamata hata wananchi wao wanaotengeneza magobore na kuwafunga jela badala ya kuwapa mitaji na technology. Hatuna viongozi wenye kuona hata miaka 50 mbele. Tunawaza uchaguzi Kila miaka 5 baaasi.
Ndivyo ilivyopangwa iwe hivyo na wale wakubwa walioanzisha hii kitu inaitwa Demokrasia ya Uchaguzi kila baada ya miaka mitano mitano !

Yaani Wakubwa walijua watu watakuwa wanajipanga kwa Uchaguzi uliopo mbele yao tu zaidi kuliko mipango mingine ya maendeleo !
Watakaomaliza vipindi vyao vya Uongozi kufuatana na Katiba zao zilivyo watawaachia wengine watakao kuwa wamechaguliwa!
Kisha nao wataanza mipango ile ile ya kushinda Uchaguzi ulio mbele yao !

Business as usual miaka nenda rudi !
Demokrasia ya Wazungu imetuweza kweli kweli 😳🙄🙌
 
Back
Top Bottom