Ulaya Wana NATO Afrika tuna nini?

Ulaya Wana NATO Afrika tuna nini?

Lengo la NATO ni nini? Unataka Afrika iwe na kitu kama NATO ili kujilinda dhidi ya nani??

Jiulize hayo maswali ya msingi kisha utapata majibu kwa nini hakuna hicho kitu.

Mambo ya ulinzi na usalama hayafanywi tu kwa kuiga na kufuata mkumbo, bali kwa kufanya tathmini ya kina ya matishio ya kiusalama uliyonayo.
Kama nchi Moja ya Afrika ikivamiwa na ufaranza au Uingereza nchi nyingine za Africa zitaisaidiaje hiyo nchi, au mnakuwa kama nyumbu Kila mtu asubiri kukamatwa kwa wakati wake?
 
Mkenya anajiona mzungu pori

Mtanzania kidogo ana chembe za pan africanism

Afrika magharibi wanawaza Ufaransa 24/7

Afrika kasikazini wanajiona waarabu zaidi

Hizi nchi unaziunganishaje?
 
Hatari sana n

Ndivyo ilivyopangwa iwe hivyo na wale wakubwa walioanzisha hii kitu inaitwa Demokrasia ya Uchaguzi kila baada ya miaka mitano mitano !

Yaani Wakubwa walijua watu watakuwa wanajipanga kwa Uchaguzi uliopo mbele yao tu zaidi kuliko mipango mingine ya maendeleo !
Watakaomaliza vipindi vyao vya Uongozi kufuatana na Katiba zao zilivyo watawaachia wengine watakao kuwa wamechaguliwa!
Kisha nao wataanza mipango ile ile ya kushinda Uchaguzi ulio mbele yao !

Business as usual miaka nenda rudi !
Demokrasia ya Wazungu imetuweza kweli kweli 😳🙄🙌
Wenzetu wanayo ajenda ya kudumu kuhusu nchi zao ambayo haitegemei utashi ww mgombea au chama cha siasa. Sisi Kila mgombea ndani ya chama hichohicho anakuja na agenda yake. Ajenga ya kudumu ya chama ni kuhakikisha kuwa chama hakishindwi uchaguzi kwa gharama yoyote Ile.
 
Mkenya anajiona mzungu pori

Mtanzania kidogo ana chembe za pan africanism

Afrika magharibi wanawaza Ufaransa 24/7

Afrika kasikazini wanajiona waarabu zaidi

Hizi nchi unaziunganishaje?
Akina Tunubu hawana habari, wako tayari wamsaidie Macron ampige Ibrahim Traure kule Burkina Faso.
 
Kama nchi Moja ya Afrika ikivamiwa na ufaranza au Uingereza nchi nyingine za Africa zitaisaidiaje hiyo nchi, au mnakuwa kama nyumbu Kila mtu asubiri kukamatwa kwa wakati wake?
Je tishio hilo ni halisi kwa kiwango gani?
 
Wenzetu wanayo ajenda ya kudumu kuhusu nchi zao ambayo haitegemei utashi ww mgombea au chama cha siasa. Sisi Kila mgombea ndani ya chama hichohicho anakuja na agenda yake. Ajenga ya kudumu ya chama ni kuhakikisha kuwa chama hakishindwi uchaguzi kwa gharama yoyote Ile.
Umemaliza 🙏🙌👍
 
Back
Top Bottom