Kama nchi Moja ya Afrika ikivamiwa na ufaranza au Uingereza nchi nyingine za Africa zitaisaidiaje hiyo nchi, au mnakuwa kama nyumbu Kila mtu asubiri kukamatwa kwa wakati wake?Lengo la NATO ni nini? Unataka Afrika iwe na kitu kama NATO ili kujilinda dhidi ya nani??
Jiulize hayo maswali ya msingi kisha utapata majibu kwa nini hakuna hicho kitu.
Mambo ya ulinzi na usalama hayafanywi tu kwa kuiga na kufuata mkumbo, bali kwa kufanya tathmini ya kina ya matishio ya kiusalama uliyonayo.
Wenzetu wanayo ajenda ya kudumu kuhusu nchi zao ambayo haitegemei utashi ww mgombea au chama cha siasa. Sisi Kila mgombea ndani ya chama hichohicho anakuja na agenda yake. Ajenga ya kudumu ya chama ni kuhakikisha kuwa chama hakishindwi uchaguzi kwa gharama yoyote Ile.Hatari sana n
Ndivyo ilivyopangwa iwe hivyo na wale wakubwa walioanzisha hii kitu inaitwa Demokrasia ya Uchaguzi kila baada ya miaka mitano mitano !
Yaani Wakubwa walijua watu watakuwa wanajipanga kwa Uchaguzi uliopo mbele yao tu zaidi kuliko mipango mingine ya maendeleo !
Watakaomaliza vipindi vyao vya Uongozi kufuatana na Katiba zao zilivyo watawaachia wengine watakao kuwa wamechaguliwa!
Kisha nao wataanza mipango ile ile ya kushinda Uchaguzi ulio mbele yao !
Business as usual miaka nenda rudi !
Demokrasia ya Wazungu imetuweza kweli kweli π³ππ
Akina Tunubu hawana habari, wako tayari wamsaidie Macron ampige Ibrahim Traure kule Burkina Faso.Mkenya anajiona mzungu pori
Mtanzania kidogo ana chembe za pan africanism
Afrika magharibi wanawaza Ufaransa 24/7
Afrika kasikazini wanajiona waarabu zaidi
Hizi nchi unaziunganishaje?
Wametuweza asee...Akina Tunubu hawana habari, wako tayari wamsaidie Macron ampige Ibrahim Traure kule Burkina Faso.
Je tishio hilo ni halisi kwa kiwango gani?Kama nchi Moja ya Afrika ikivamiwa na ufaranza au Uingereza nchi nyingine za Africa zitaisaidiaje hiyo nchi, au mnakuwa kama nyumbu Kila mtu asubiri kukamatwa kwa wakati wake?
Umemaliza πππWenzetu wanayo ajenda ya kudumu kuhusu nchi zao ambayo haitegemei utashi ww mgombea au chama cha siasa. Sisi Kila mgombea ndani ya chama hichohicho anakuja na agenda yake. Ajenga ya kudumu ya chama ni kuhakikisha kuwa chama hakishindwi uchaguzi kwa gharama yoyote Ile.
Kwakweli hakuna wa kumfunga spidi gavana ! πππYANGA BINGWA
Mkenya anajiona mzungu pori
Mtanzania kidogo ana chembe za pan africanism
Afrika magharibi wanawaza Ufaransa 24/7
Afrika kasikazini wanajiona waarabu zaidi
Hizi nchi unaziunganishaje?