Ule mwiba kwenye tango pori, kumbe ni mchongoma! πŸ€” Ni aibuu ya mwaka!

Hahahaaaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa nalo hili ni jipyaaa mjini???
Khaaaaah, watu na utelezi, Vairasi wapo tyuuh. Lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa nalo hili ni jipyaaa mjini???
Khaaaaah, watu na utelezi, Vairasi wapo tyuuh. Lol
Mratibu wa code mwandamizi umekuja.
Tupe dokezo.
Hilo code limehesabiwa? πŸ˜‚
 
umetuandikia mafumbo ili kuficha nini?....
kwa maslahi ya nani?.
 
Nimesoma mpaka mwisho nikiamini nasoma kuhusu matango ya kachumbari. Nakutana na comment nyingine kabisa.
Huu uzi umenithibitishia rasmi kuwa sasa mimi ni muhenga.
Wahenga tupo wengi,binafsi sioni ulazima wa kuandika mafumbo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…