Ule Ndio Uwezo Wa Cr7

OK hivi lile là pili lilikataliwa ?

Lilikataliwa mkuu na sababu ni Ronaldo alikua offside position na alitakiwa aupishe tu mpira mazali ulikua unakwenda golini. Lakini kiherehere chake alitaka kuucheza japokua aliukosa lakini ikawa ni tayari ameshaingia mchezoni kwaiyo ikawa ni offside.

Lilkua bonge la goli jamaa kalitibua. Mana kipa asingelisave kabisa tayari alikua kashachuchumaa anautizama tu mpira.
 
Ronaldo juzi alikosa zaidi ya nafasi 5 za wazi kabisa na kipa. Angelikua mchezaji mwengine kakosa magoli yale mpaka saivi ingelikua anaendelea kubamizwa na vyombo vya habari na wadau wa football.
Nabado tunaambiwa yeye ndie anaeipa ushindi Juventus hapo ndipo niapokauka mimi Hivi huu mpira watu wengine wanautizama vipi aisee?
 
Anajidhihirisha pâle pâle Mbona pele hakuhama lakini ubora wake ndio unaotukuka hadi leo ?
Hapa mchawi Ni kiwango tu
Pele kacheza ligi Brazil na Marekani. Pele ameisaidia Brazil kutwaa kombela dunia.
 
Siku zote huwa nawaambia Attacking midfielder na striker ni vitu viwili tofauti. Huyo ronaldo mumlinganishe na mastriker wenzake yani wamaliziaji, na sio Attaking..ni kumkosea heshima Messi.
 

Dybala ndie kichwa cha juve, nashangaa wanamweka benchi.
 
Kwa hiyo Ronaldo hajui mpira yani hata okwinyo anamzidi?

Anasubiri atengewe then ascore, swala la chenga na kufunga kwake ni muiba. Halafu Cha kushangaza eti watu jf wanamcompare na king Leo, wakati Messi ni attacking na ronaldo ni striker/mmaliziaji 😂😂. Yani huyu ronaldo wao angelikuwa anacheza same possession na Messi hakianani asingefikisha hayo magoli.
 
Siku zote huwa nawaambia Attacking midfielder na striker ni vitu viwili tofauti. Huyo ronaldo mumlinganishe na mastriker wenzake yani wamaliziaji, na sio Attaking..ni kumkosea heshima Messi.
Upo sahihi Cr7 Niwakufananishwa na akina Diego Costa, Luis Suarez, Lukaku ,Mane,Neymar,Grezman nk
 
Huyo unayemsifia messi amewahi kutoka nje ya barca ili naye tumpime ubora wake kwa usawa kama mwenzeke aliyeperform vizuri kwenye timu zote alizowahi kuzichezea?
Wachezaji bora huwa hawahami timu. Pele alihama Santos akiwa na miaka kama 34 huko.Akaenda kustafia US. Ronaldo kaondoka Madrid baada ya kulalamikiwa kiwango kushuka.
 
Siku zote huwa nawaambia Attacking midfielder na striker ni vitu viwili tofauti. Huyo ronaldo mumlinganishe na mastriker wenzake yani wamaliziaji, na sio Attaking..ni kumkosea heshima Messi.
Umeongea maneno mazito kweli kweli ndugu... Yaani ilistahili uyaongelee bungeni dodoma mbele ya waziri mkuu !
Big up
 
Wachezaji bora huwa hawahami timu. Pele alihama Santos akiwa na miaka kama 34 huko.Akaenda kustafia US. Ronaldo kaondoka Madrid baada ya kulalamikiwa kiwango kushuka.

Aaaah wapi,jiteteeni hata miaka buku ila hiyo ni kasoro kwangu mimi,pele alicheza kipindi hicho mpira hauna offside
 
You a STUPID,thats all.
Huwezi ukawa emptyset kiasi hiki,sijui jinsia ykk bt km ni ke,ni type ya wale mpira ukiendelea,unauliza uliza vijiswali irrelevant thats all.
 
Hii game juventus alipoteza sio sare mkuu.
 
Chenga kwa CR7 ni msiba dahh naona ww hyo CR7 umeanza kumuangalia akiwa na miaka 30 fuatilia kipind yupo man u na madrid kabla umri haujaenda ndio utajua kam anajua chenga au hajui
 
Ronaldo na Messi wanacheza nafas tofaut na wote wanafunga na kila mtu anauwezo wake wa kufunga
 
Messi kacheza fainaly tatu moja world cup na mbil copa america na zote kapoteza na wana kikos kizur tu argentina
 
Messi kacheza fainaly tatu moja world cup na mbil copa america na zote kapoteza na wana kikos kizur tu argentina
Ni vizuri kuongelea uwezo au kipaji cha mtu sio timu... Yale yale Ya modric, amepewa tuzo na kiatu cha dhahabu yeye mwenyewe anahisi hastahili !
We mchezaji bora wa Dunia Wiki hiyohiyo alioteuliwa unatolewa dakika ya 70? Tena timu yako ipo nyuma kwa magoli..
Mechi nyingine anaanzia benchi.... Ukihoji uwezo wake eti ooh yule timu yake ya taifa na club zilifanya vizuri aah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…