BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
3 goals and 1 assist daah, jamaa sio poa alishanifanya kwenda kuangalia mpira usiku saa nne ilihali kesho yake nina necta
Daah nimeandika nikiwa na wenge kweli ni 2 assistMkuu, sio assist moja...ni 3 goals....2 assist...na amehusika na magoli yote 5.....KING 5-0 LEVANTE!
jtatu ndo hii Messi ni habar nyingine weka mbali na watotoKama utakua na muda Angalia mechi ijayo Ya Barca jmapili umtazame Messi anafanya nini uwanjani halafu angalia game inayofuata Ya Juve week-end hii Cr7 atafanya nini uwanjani halafu tukutane hapa jumatatu !
sio lazima ucheze ligi tofauti ndio uonekane bora,siku zote mchezaji anaye dribble mpira ni Mzuri kuzidi anayefunga pasipo ku dribble.Magoli anayefunga messi ni mazuri kuzidi anayefunga wachezaji aina ya akina CR7
Mimi ninachoamini hakuna uwanja wenye urefu tofauti na zingine wala hamna gemu wanacheza zaidi ya wachezaji 11 ivyo Messi wa Barca ni yule yule atakaenda kwingine kwa uwezo ule ule na usifikiri miguu zina mvutano na uwanja au wacheza wa neucampHuyo unayemsifia messi amewahi kutoka nje ya barca ili naye tumpime ubora wake kwa usawa kama mwenzeke aliyeperform vizuri kwenye timu zote alizowahi kuzichezea?
Kuna uwezekano ukawa sahihi, lakini pia uwezo wa mchezaji kusurvive kwa kiwango cha juu anapokuwa ameenda mazingira mapya ni Fact muhimu.
Messi tunaweza sema Barca ni comfort zone yake na inambeba ipasavyo, sina maana kwamba siyo bora, ni bora sana, ila hatujawahi kumwona akifanya maajabu anapokuwa nje ya mfumo wake wa Barca.
Kwangu mimi Messi ni mchezaji mwenye kipaji cha hali ya juu zaidi wakati Ronaldo ana kipaji cha juu kiasi ila ni mchezaji anayejituma zaidi na inamsaidia ku-adapt anapoenda mazingira mapya.
Kuna uwezekano ukawa sahihi, lakini pia uwezo wa mchezaji kusurvive kwa kiwango cha juu anapokuwa ameenda mazingira mapya ni Fact muhimu.
Messi tunaweza sema Barca ni comfort zone yake na inambeba ipasavyo, sina maana kwamba siyo bora, ni bora sana, ila hatujawahi kumwona akifanya maajabu anapokuwa nje ya mfumo wake wa Barca.
Kwangu mimi Messi ni mchezaji mwenye kipaji cha hali ya juu zaidi wakati Ronaldo ana kipaji cha juu kiasi ila ni mchezaji anayejituma zaidi na inamsaidia ku-adapt anapoenda mazingira mapya.
Watu wanasema sasa hivi ahame ligi ili ajidhihirishe but ndio hao hao walikuwa wanasema messi bila ronaldhino, shavi,iniesta hamna kitu but hao wote wameondoka bado kaendelea kuwa bora sasa hivi wamekimbilia kusema ahame clubs.
Ukiwa wewe ni SuPerStar katika mchezo wowote unao usisha mchezaji zaidi ya mmoja lawama zinakuja kwako kwakua wewe ndie Nyota.Mess , CR7, Pogba , Hazard. Nawengine wengi wanabeba lawama kama timuzao zikifanya vibaya kwakua wao ndio Nyota wa timu husika.Kama Mess anataka kuwa Mfalme zaidi ya pale Barca basi Atuonyeshe kwenye Levo ya kidunia kwenye kombe la Dunia au Copa Amerika kama alivyofanya Diego Maradona. Maradona alikua aki ibeba Napoli na Argentina ndio maana akwa Mfalme wa Soka anaye tambulika kidunia. Mess akuna anaye bisha ni Mfalme wa Barcelona na La Liga ili sisi atuna cha kubisha.Uwezo binafsi sio timu ya taifa, aisaidie kwani anacheza peke yake ? Kuna final moja Ya uefa Cr7aliumia mapema akiwa na timu yake ya taifa akatoka nje akajifanya kocha
Walivyoshinda eti nae alisaidia timu !!
Sijawai ona pumba kama hiisio lazima ucheze ligi tofauti ndio uonekane bora,siku zote mchezaji anaye dribble mpira ni Mzuri kuzidi anayefunga pasipo ku dribble.Magoli anayefunga messi ni mazuri kuzidi anayefunga wachezaji aina ya akina CR7
Wewe kacheze pubg soka huweziSiku zote huwa nawaambia Attacking midfielder na striker ni vitu viwili tofauti. Huyo ronaldo mumlinganishe na mastriker wenzake yani wamaliziaji, na sio Attaking..ni kumkosea heshima Messi.
Pele na yeye alifanya vizur kisa alicheza ligi mbovuWachezaji bora huwa hawahami timu. Pele alihama Santos akiwa na miaka kama 34 huko.Akaenda kustafia US. Ronaldo kaondoka Madrid baada ya kulalamikiwa kiwango kushuka.
Messi kaifikisha Argentina kombe la Dunia, kachukua mchezahi bora kombe la dunia. Guko ni kuibeba tosha. Au unafikiri kufika fainali kombe la Dunia ni jambo dogo?Ukiwa wewe ni SuPerStar katika mchezo wowote unao usisha mchezaji zaidi ya mmoja lawama zinakuja kwako kwakua wewe ndie Nyota.Mess , CR7, Pogba , Hazard. Nawengine wengi wanabeba lawama kama timuzao zikifanya vibaya kwakua wao ndio Nyota wa timu husika.Kama Mess anataka kuwa Mfalme zaidi ya pale Barca basi Atuonyeshe kwenye Levo ya kidunia kwenye kombe la Dunia au Copa Amerika kama alivyofanya Diego Maradona. Maradona alikua aki ibeba Napoli na Argentina ndio maana akwa Mfalme wa Soka anaye tambulika kidunia. Mess akuna anaye bisha ni Mfalme wa Barcelona na La Liga ili sisi atuna cha kubisha.
Wakati akiwa Barca, makocha ambao timuzao zinacheza dhidi yake wanamhofia tofauti akiwa na timuyake ya taifa ambayo yeye ni Captain Makocha wa mataifa pinzani na Argentina wanamuona wakawaida na anadhibitiwa kiulaini.
Hawana point mkuu. Hivi zile free kick anapiga Messi akienda timu zingine atashindwa vipi kuzipiga?Watu wanasema sasa hivi ahame ligi ili ajidhihirishe but ndio hao hao walikuwa wanasema messi bila ronaldhino, shavi,iniesta hamna kitu but hao wote wameondoka bado kaendelea kuwa bora sasa hivi wamekimbilia kusema ahame clubs.
Hawana point mkuu. Hivi zile free kick anapiga Messi akienda timu zingine atashindwa vipi kuzipiga?
wote messi na CR7 wanacheza na wachezaji wazuri,ukianza na CR7 toka akiwa mana inajulikana kabisa man ni timu kubwa na wachezaji wake ni classic hivyo ivyo kwa messi.CR 7 kujituma zaidi kuliko messi ndio maana halisi ya neno kipaji,mwenye kipaji halisi atajituma kidogo na mwenyekipaji cha kawaida atajituma sana.Kuna uwezekano ukawa sahihi, lakini pia uwezo wa mchezaji kusurvive kwa kiwango cha juu anapokuwa ameenda mazingira mapya ni Fact muhimu.
Messi tunaweza sema Barca ni comfort zone yake na inambeba ipasavyo, sina maana kwamba siyo bora, ni bora sana, ila hatujawahi kumwona akifanya maajabu anapokuwa nje ya mfumo wake wa Barca.
Kwangu mimi Messi ni mchezaji mwenye kipaji cha hali ya juu zaidi wakati Ronaldo ana kipaji cha juu kiasi ila ni mchezaji anayejituma zaidi na inamsaidia ku-adapt anapoenda mazingira mapya.
Umeona eeh ? Kuna jamaa kakaa kimya nilimwambia awafuatilie ktk mechi zao halafu tukutane hapa monday... Na hata wiki hii pia kama anaweza afuatilie aone Magic Messi nini atafanya !!jtatu ndo hii Messi ni habar nyingine weka mbali na watoto
Hivi unafikili Messi kwa uwezo aliojaaliwa atashindwa ku shine akijiunga naKuna uwezekano ukawa sahihi, lakini pia uwezo wa mchezaji kusurvive kwa kiwango cha juu anapokuwa ameenda mazingira mapya ni Fact muhimu.
Messi tunaweza sema Barca ni comfort zone yake na inambeba ipasavyo, sina maana kwamba siyo bora, ni bora sana, ila hatujawahi kumwona akifanya maajabu anapokuwa nje ya mfumo wake wa Barca.
Kwangu mimi Messi ni mchezaji mwenye kipaji cha hali ya juu zaidi wakati Ronaldo ana kipaji cha juu kiasi ila ni mchezaji anayejituma zaidi na inamsaidia ku-adapt anapoenda mazingira mapya.
Mimi ninachoamini hakuna uwanja wenye urefu tofauti na zingine wala hamna gemu wanacheza zaidi ya wachezaji 11 ivyo Messi wa Barca ni yule yule atakaenda kwingine kwa uwezo ule ule na usifikiri miguu zina mvutano na uwanja au wacheza wa neucamp