Ule unga unaotoka kwenye ngozi ya korodani husababishwa na nini na tiba yake ni nini?

Naomba kuwashukuru kwa mchango wenubwa mawazo sasa jana hiyohiyo nimeanza tiba Leo Hali inaendelea vyema πŸ™Mbarikiwe sana
 
Wazee wa pond pale Pugu boys tunaipata hii vyema, mtambo wa fungus
 
Hasa ya Nazi ni futa frani barikiwa ila watu hawajui tuu πŸ€—πŸ˜ƒ me toka nipate akili zangu hunikosi na futa la nazi hasa la kupika mwenyewe ila hata parachuti ni mazuri.😎
Shenzi kabisaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Wee kijana hovyo siseee
 
Ha ha dah umemkandia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…