Ule unga unaotoka kwenye ngozi ya korodani husababishwa na nini na tiba yake ni nini?

Ule unga unaotoka kwenye ngozi ya korodani husababishwa na nini na tiba yake ni nini?

Fungus vaa be boxer za cotton sio mpira yaani polyester na zisikubane pia zingatia usafi nyoa minywele ya huko mara kwa mara sio ikae mpaka ijisokote nawa vizuri ukinya hata kukojoa kuwa na tissue ujikaushe pakaa cream za antifungal utapata pharmacy pia pakaa mafuta ya Nazi ukitoka kuoga jikaushe upakae fua taulo mara kwa mara.

Mwanaume mchafu kwangu hapana mwanaume nikiona muonekano wake kiatu mkanda wallet boxer perfume saa najua msafi,jamaa utakuwa unanuka sana makende yake dadek Dem wako kazi anayo [emoji23]utakuta unapenda sana unyonywe kende zako zilambwe wanaume nao wananuka ukute vuzi jasho fungus uchafu hafui boxer ni uvundo wa mzoga.
Mbona wewe unanuka kisamaki..
 
Fangasi hizo. Ukioga chukua taulo futa korodani vizuri, hamna haja ya dawa. Baada ya siku chache utapona vizuri tu.
 
Yan Mtoto wa kiume ukojoe alafu ujifute na tissue 😂😂😂😂😂
Ndo maana mnanuka na fungus jero mwanaume ukojoe umechutama na unawe na maji na ujikaushe na toilet paper huyo ndo mwanaume Sasa sio kukojoa wima kama MBUZI dudu lanuka jasho mikojo joto la chupi za bei rahisi 😁 hatari
 
Hiyo huitwa PUMBU JERO(jina la kitaani),inatokea San hasa kama unaoga maji ya chumvi au mda mwingine ambayo hata siyo ya chumvi?

Hii hutokea maeneo hayo kwasababu ya kutokujifuta vinzur baada ya kuoga maeneo hayo,,.

Kumbuka ktk KORODANI wakati unaoga Ile ngozi yake Huwa inajikunja hivyo usipofuta vinzuri Huwa inabaki na unyevunyevu Kwa mda fulan hali hiyo hupelekea kuharibu ngozi especially maji ya chumvi

Tiba yake uwe unajipaka mafuta ngozi yenyewe itaanza kulainika pia uwe unajifuta vinzur baada ya kuoga.

Hii imetutesa San enzi hizo tunasoma shule hasa za boarding
Ukipenda unaita Puumbu erosion
 
Kaka umetembea na mwanamke mwenye ugonjwa wa fungus (candida albicans), dawa yake ni antifungal na usirudi tena kwa yule mwanamke hadi wewe na yeye mjitibie wote mpone. Na kama kuna wanawake wengine umetembea nao ukiwa na hali hiyo pia waambie waende wakatibiwe pia kabla hujatembea nao tena.
FYI.

Carrier wa fangasi sio mwanamke pekee, hata udongo unaweza kukupa fangasi, fungi anaishi popote na unaweza kumpata popote.

Nataka kusema hivi, umempotosha mwenzio, inawezekana kabisa akaacha kabisa kukutana na wanawake na akaendelea kusumbuliwa na fangasi.

Taarifa ya muhimu uliyompa ni hiyo ya kutokukutana na mwenzie hadi apone/tibiwa wote.

Tutoe taarifa sahihi sababu haujui anayeipokea ni wa aina gani na anaweza kufanya nayo nini.

Ahsante.
 
Back
Top Bottom