Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,781
Nenda kule Kisumu Kenya wanahitaji hiyo bidhaa , unga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh aiseeSio usitumie usitumie zile zenye mafuta mabaya kama raph rides sio nzuri tumia za kwetu dume basi
Kipendacho roho...Na hapo unataka unyonywe,
Kazi anayo🫣
Au apake BBETumia dawa ya mba ya maji, ina rangi ya kijani bei yake haizidi 3000; baada ya kumaliza dozi na baada ya kuoga uwe unapaka matuta (lotion ya wanaume), usipaache pawe pakavu.
Mmmmh unaonekana mtaalam wa mmboSio usitumie usitumie zile zenye mafuta mabaya kama raph rides sio nzuri tumia za kwetu dume basi
Siwaelewi😆kwa kwerAu apake BBE
SUPER GLUEJamani kama uzi unavyojieleza hapo juu, naomba msaada kidogo kama kuna wataalamu wa afya mpo humu naomba mnipatie elimu kidogo juu ya jambo hili kwani linanitatiza katika ubongo.
Ni kwamba ule unga unga ambao unapojikuna katika ngozi inayoambatana na KORODANI yaani mji wa mbegu zinapotengezwa husababishwa na nini na kama ni ugonjwa wa ngozi kwanini usitapakae na sehemu zingine za mwili nakubakia eneo hilo tu.
Je, nini tiba yake maana nimetumia dawa tofauti ikiwamo na zile za tube sasa kama wataalam naomba kujua hii hali ipo kwangu tu ama na kwa wengine pia. Naomba kujua nini tiba maana hauwashi wala kufanya kitu kingine isipokua napokagua mazingira najikuta napakuna na unga unatoka.
Msaada wenu tafadhari.
👙🌚Sikuhizi mnajiongeza hataree😝😝🤭
Hii mada. Gani sasa
Dawa hizo changanya zote adi hao bacteria waweke kikaoSiwaelewi😆kwa kwer
🥱🥱🥱Hapa tiba yenyew inaenda kuua kabisaaaDawa hizo changanya zote adi hao bacteria waweke kikao
Hii haitafanya kazi kwa haraka, kwa sababu hii inahusiana na vipeleAu apake BBE
Mimi niliumwa huo ugonjwa nliumwa DEPO OP MKAPA🙄🙄🙄Duh umenishinda tabia huu Uzi ata ww utakua uko nao sema husemi tu😂😂