Ule unga unaotoka kwenye ngozi ya korodani husababishwa na nini na tiba yake ni nini?

Ule unga unaotoka kwenye ngozi ya korodani husababishwa na nini na tiba yake ni nini?

1. Sabuni unayoogea
2. Mafuta au Lotion unayoyapaka
3. Boxer unazovaa
4. Usafi wa mwili unaoga Mara ngapi kwa siku?
5. Usafi wa boxer unazovaa hua unavaa Mara ngapi kabla ya kufua?

Kaitafute kwenye hayo Mambo hapo
Sabuni natumia rungu,mafuta Vaseline ya mgando,boxer sivai , kuoga max2perday suruali zenyew navaa siku mbili tu sasa shida apo nini naitaji kujua resources
 
Fungus vaa be boxer za cotton sio mpira yaani polyester na zisikubane pia zingatia usafi nyoa minywele ya huko mara kwa mara sio ikae mpaka ijisokote nawa vizuri ukinya hata kukojoa kuwa na tissue ujikaushe pakaa cream za antifungal utapata pharmacy pia pakaa mafuta ya Nazi ukitoka kuoga jikaushe upakae fua taulo mara kwa mara.

Mwanaume mchafu kwangu hapana mwanaume nikiona muonekano wake kiatu mkanda wallet boxer perfume saa najua msafi,jamaa utakuwa unanuka sana makende yake dadek Dem wako kazi anayo 😂utakuta unapenda sana unyonywe kende zako zilambwe wanaume nao wananuka ukute vuzi jasho fungus uchafu hafui boxer ni uvundo wa mzoga.
Baasi imetosha kuna watoto humu...
 
Weeee usinambie chief kwaiyo ukali unakwenda kuisha kabisa🤙
Kitambo sana bwana mmoja akiitwa "Dr. Isaac Ndodi" alikuwa mbobevu wa maswala ya tiba asili na alikuwa na kipindi chake kikirushwa kwenye televisheni kila siku!... na ndo mtu pekee huwa namuamini kwa sababu nina idea ya maswala ya tiba asili... ingawa sikumaliza masomo, nilikula za uso. Kila alichokuwa akifundisha ni kweli! Dawa rahisi ya fungus za sehemu za siri ni kunyoa nywele zote na kupakaa ndimu au limao kote! Fululiza kwa siku 3-7... utapona kabisa!
 
Hiyo fungus
 

Attachments

  • Screenshot_20230727-130047_Facebook.jpg
    Screenshot_20230727-130047_Facebook.jpg
    121.6 KB · Views: 22
Back
Top Bottom