min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Basi itakuwa hivyo vilivyobaki mkuu.Kuoga mara mbili kwa siku yaani asbh na jioni kuhusu nguo za kubana huwa sizipendelei pia napenda mwili upate nafasi zaid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi itakuwa hivyo vilivyobaki mkuu.Kuoga mara mbili kwa siku yaani asbh na jioni kuhusu nguo za kubana huwa sizipendelei pia napenda mwili upate nafasi zaid
Hii ni kweli kabisa! Tiba ya asili... kongole kwako bwana tamu 👍🏾Nyoa,baada ya hapo paka limao kwa siku 5,inaisha
Sabuni natumia rungu,mafuta Vaseline ya mgando,boxer sivai , kuoga max2perday suruali zenyew navaa siku mbili tu sasa shida apo nini naitaji kujua resources1. Sabuni unayoogea
2. Mafuta au Lotion unayoyapaka
3. Boxer unazovaa
4. Usafi wa mwili unaoga Mara ngapi kwa siku?
5. Usafi wa boxer unazovaa hua unavaa Mara ngapi kabla ya kufua?
Kaitafute kwenye hayo Mambo hapo
Weeee usinambie chief kwaiyo ukali unakwenda kuisha kabisa🤙Hii ni kweli kabisa! Tiba ya asili... kongole kwako bwana tamu 👍🏾
Patam apaAnamvalia nani
Siku izi hakuna wanyonyaji kuna kuna wang'ataji tu nakubakia na ganzi imekujaa tu hivyo sipendi binafsiNa hapo unataka unyonywe,
Kazi anayo🫣
WeeeehNenda hospitali watachukua vipimo na watakutibu nakukushauri
Ndio inaleta fungus
ChekaNenda hospitali watachukua vipimo na watakutibu nakukushauri
Ndio inaleta fungus
Cheka mappp yakianza kuungua ndio utafunga hiyo mudomoWeeeeh
Sawa sawa ni vizuri ulivotoa experience yako 😂😂😂😂
Nimeelewa vizri kabisa
😂😂Uchafu😌😌
Jamani 😃😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Cheka
Cheka mappp yakianza kuungua ndio utafunga hiyo mudomo
Kwani mnakataaga nyinyi nyege zikishawapanda?! 😀😀😀Na hapo unataka unyonywe,
Kazi anayo🫣
Baasi imetosha kuna watoto humu...Fungus vaa be boxer za cotton sio mpira yaani polyester na zisikubane pia zingatia usafi nyoa minywele ya huko mara kwa mara sio ikae mpaka ijisokote nawa vizuri ukinya hata kukojoa kuwa na tissue ujikaushe pakaa cream za antifungal utapata pharmacy pia pakaa mafuta ya Nazi ukitoka kuoga jikaushe upakae fua taulo mara kwa mara.
Mwanaume mchafu kwangu hapana mwanaume nikiona muonekano wake kiatu mkanda wallet boxer perfume saa najua msafi,jamaa utakuwa unanuka sana makende yake dadek Dem wako kazi anayo 😂utakuta unapenda sana unyonywe kende zako zilambwe wanaume nao wananuka ukute vuzi jasho fungus uchafu hafui boxer ni uvundo wa mzoga.
Kitambo sana bwana mmoja akiitwa "Dr. Isaac Ndodi" alikuwa mbobevu wa maswala ya tiba asili na alikuwa na kipindi chake kikirushwa kwenye televisheni kila siku!... na ndo mtu pekee huwa namuamini kwa sababu nina idea ya maswala ya tiba asili... ingawa sikumaliza masomo, nilikula za uso. Kila alichokuwa akifundisha ni kweli! Dawa rahisi ya fungus za sehemu za siri ni kunyoa nywele zote na kupakaa ndimu au limao kote! Fululiza kwa siku 3-7... utapona kabisa!Weeee usinambie chief kwaiyo ukali unakwenda kuisha kabisa🤙
Mi sitotumia kinga sasa an...Cheka
Cheka mappp yakianza kuungua ndio utafunga hiyo mudomo
Bila usafi itakuwa kazi bure tu, pia kuvaa pikipiki (boxer) za kubana zinaleta na hayo magonjwa hayaishi. Vaa nguo nyepesi hasa za cotton.Asante chief ntafanya ivo
Sio usitumie usitumie zile zenye mafuta mabaya kama raph rides sio nzuri tumia za kwetu dume basiMi sitotumia kinga sasa an...
Kuhusu usafi tazingatia na nazingatia an.
🤓🤓🤓😂😂😂😂😂😂