Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
- Thread starter
- #41
Huu uwanja wa wanaume πHampitwi na ktu π€π€ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uwanja wa wanaume πHampitwi na ktu π€π€ππ
Kaka umetembea na mwanamke mwenye ugonjwa wa fungus (candida albicans), dawa yake ni antifungal na usirudi tena kwa yule mwanamke hadi wewe na yeye mjitibie wote mpone. Na kama kuna wanawake wengine umetembea nao ukiwa na hali hiyo pia waambie waende wakatibiwe pia kabla hujatembea nao tena.Jamani kama uzi unavyojieleza hapo juu, naomba msaada kidogo kama kuna wataalamu wa afya mpo humu naomba mnipatie elimu kidogo juu ya jambo hili kwani linanitatiza katika ubongo.
Ni kwamba ule unga unga ambao unapojikuna katika ngozi inayoambatana na KORODANI yaani mji wa mbegu zinapotengezwa husababishwa na nini na kama ni ugonjwa wa ngozi kwanini usitapakae na sehemu zingine za mwili nakubakia eneo hilo tu.
Je, nini tiba yake maana nimetumia dawa tofauti ikiwamo na zile za tube sasa kama wataalam naomba kujua hii hali ipo kwangu tu ama na kwa wengine pia. Naomba kujua nini tiba maana hauwashi wala kufanya kitu kingine isipokua napokagua mazingira najikuta napakuna na unga unatoka.
Msaada wenu tafadhari.
π€π€π€π€π€ Itakua anakaba nyoka sana huyu.. au ipoje hiyoaka pvmbv erosion
na wakat wa kumaliza kukojoa tutumie tissue???????Fungus vaa be boxer za cotton sio mpira yaani polyester na zisikubane pia zingatia usafi nyoa minywele ya huko mara kwa mara sio ikae mpaka ijisokote nawa vizuri ukinya hata kukojoa kuwa na tissue ujikaushe pakaa cream za antifungal utapata pharmacy pia pakaa mafuta ya Nazi ukitoka kuoga jikaushe upakae fua taulo mara kwa mara.
Mwanaume mchafu kwangu hapana mwanaume nikiona muonekano wake kiatu mkanda wallet boxer perfume saa najua msafi,jamaa utakuwa unanuka sana makende yake dadek Dem wako kazi anayo [emoji23]utakuta unapenda sana unyonywe kende zako zilambwe wanaume nao wananuka ukute vuzi jasho fungus uchafu hafui boxer ni uvundo wa mzoga.
Kaja kacoment alafu huyoooHuu uwanja wa wanaume π
Erosion mzee mwanaume kutumia iyo mbn kama sio sawaπaka pvmbv erosion
Sio anawe kabisa...π€π€π€πna wakat wa kumaliza kukojoa tutumie tissue???????
Eh mnavaa isipokupenda unapata fungusEt mafuta ya kinga
π€π€π€πππ€
Kumbe ni me..Jock itch
Also called: tinea cruris
Kama Ivo uwo msuguano nao kama sio mzuri vileπJock itch
Also called: tinea cruris
Sasa ushauri wako niniEh mnavaa isipokupenda unapata fungus
Mmmmh we yote haya umejuajeEh mnavaa isipokupenda unapata fungus
1. Sabuni unayoogeaJe, nini tiba yake maana nimetumia dawa tofauti ikiwamo na zile za tube sasa kama wataalam naomba kujua hii hali ipo kwangu tu ama na kwa wengine pia. Naomba kujua nini tiba maana hauwashi wala kufanya kitu kingine isipokua napokagua mazingira najikuta napakuna na unga unatoka.
Vizuri nimeona effects kwa mtu aliyekuwa mpenzi wangu akatibiwa na akaaa mbali na hizo kinga sio kioa kitu ni maradhi ya azinaaMmmmh we yote haya umejuaje
ππππ€π€
Yap, coz ngozi Huwa inakakamaa na kuanza kumenyeka kama nyoka,.Ni kweli awe anajipaka mafuta mkuu !!!?
Mkuu umenikumbusha mbali sana hapo kwenye pumbu jeroo.Hiyo huitwa PUMBU JERO(jina la kitaani),inatokea San hasa kama unaoga maji ya chumvi au mda mwingine ambayo hata siyo ya chumvi?
Hii hutokea maeneo hayo kwasababu ya kutokujifuta vinzur baada ya kuoga maeneo hayo,,.
Kumbuka ktk KORODANI wakati unaoga Ile ngozi yake Huwa inajikunja hivyo usipofuta vinzuri Huwa inabaki na unyevunyevu Kwa mda fulan hali hiyo hupelekea kuharibu ngozi especially maji ya chumvi
Tiba yake uwe unajipaka mafuta ngozi yenyewe itaanza kulainika pia uwe unajifuta vinzur baada ya kuoga.
Hii imetutesa San enzi hizo tunasoma shule hasa za boarding