Ule usemi nabii hakubaliki kwao: Rais Magufuli ateuliwa mshindi wa tuzo ya Ukombozi Afrika

Ule usemi nabii hakubaliki kwao: Rais Magufuli ateuliwa mshindi wa tuzo ya Ukombozi Afrika

eliakeem

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2009
Posts
17,214
Reaction score
15,853
Rais Magufuli ateuliwa mshindi wa tuzo ya Ukombozi Afrika
  • 17 Julai 2018
Sambaza habari hii Email Sambaza habari hii Facebook Sambaza habari hii Twitter Sambaza habari hii Whatsapp
Image copyrightAFP
_102558796_c43e687d-3d2a-404a-8754-d1a43f151f71.jpg

Image captionWakosoaji wanasema amepunguza nafasi ya raia kujieleze kwa uhuru
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ameibuka mshindi wa tuzo ya Afrika katika masuala ya uchumi.

Makamo mwenyekiti wa kamati ya tuzo ya ukombozi Afrika, Mwebesa Rwebugia ameieleza BBC kwamba rais Magufuli ameibuka mshindi kutokana na mchango wake wa kiuchumi hasaa katika ukuaji wa miundo mbinu.

Hii ni mara ya pili kwa kiongozi wa Tanzania kupata tuzo hii, baada ya Mwalimu Julius Nyerere kutuzwa pia kutokana na mchango wake wa kuleta uhuru katika nchi za Afrika.

Mwebesa Rwebugia ameeleza kuwa, katika kuegemea kwenye muktadha wa uchumi, kamati iliangalia umaskini ambao unatajwa kuwa adui mkubwa anayefahamika, lakini pia maradhi na ujinga.

Kwa mujibu wa kamati hiyo ya Tuzo ya Ukombozi wa Afrika, ukombozi katika kipengelee cha elimu huangazia elimu na ujinga kama sehemu ya ukombozi.

Tanzania imetolewa mfano wa elimu ya bila malipo kutoka kutoka shule za msingi mpaka sekondari.

_102558795_217d87b1-6af8-463c-81cf-5fa1e5c87e85.jpg

Image captionJulius Nyerere alikuwa na ushawishi mkubwa katika mataifa ya Afrika kujipatia uhuru.
Katika suala la umaskini, kamati imeangalizia hatua ya kuwajali watu wa kipato cha chini, ukitolewa mfano wa kusajiliwa kwa 'machinga' katika kuwatambua rasmi kwa shughuli zao, na pia kuondolewa kodi za mazao kwa wananchi.

Lakini sio kila mtu amepokea vyema ushindi huu wa rais Magufuli kutokana na kwamba kiongozi huyo hajakamilisha hata miaka mitano tangu aingie madarakani.

Wakosoaji wanasema amepunguza nafasi ya raia kujieleze kwa uhuru.

Na serikali yake imekosolewa kwa hatua za kuvizima vyombo vya habari na kinachotajwa kama kuvikandamiza vyama vya upinzani.

Mambo matano unayoyahitaji kuwa bilionea

Obama aikumbuka safari yake ya kwanza nchini Kenya

'Rais magufuli hakutazamwa kwa muda aliyoingia madarakani lakini tangu miaka 20 iliyopita. Tangu alipokuwa wizara ya ujenzi na mawasiliano na nyingine tofauti, mpaka kufikia hadi ya kuwa rais wa taifa. Je ni mambo gani aliyoyafanya?' Amefafanua Rwebugia.

Mnamo 2016 Magufuli alishinda tuzo ya Forbes Africa kwa kuwa mtu anayeheshimika zaidi - na aliteuliwa kwa kutambulika jitihada zake za "kushinikiza uchumi wa Tanzania".

Viongozi wengine walioishinda Tuzo ya Ukombozi:
Tuzo ya Ukombozi Afrika inatambuliwa barani Afrika na Kimataifa lengo lake ni kutambua mchango wa viongozi wa bara la Afrika , wapigania uhuru, wapatanishi wa amani na washiriki wengine wa Ukombozi wa Afrika.

Rais wa Uganda Yoweri Museveni mwishoni mwa mwaka jana aliwahi kuteuliwa mshindi na kamati inayoratibu Tuzo hiyo ya Ukombozi Afrika.

Ushindi wake Museveni ulitangazwa baada ya kamati hiyo kuketi mwezi Oktoba, 2017 na kujiridhisha kupitia vigezo vilivyowekwa kuwa kiongozi huyo anakidhi vigezo vyote.

Image copyrightGETTY IMAGES
_102558797_e5ff76e9-70a8-4193-b287-890628a9211d.jpg

Alitambuliwa miongoni mwa mengine kwa mchango wake mkubwa wa kipekee alioutoa katika kusimamia amani katika nchi zilizokumbwa na migogoro ya ndani Somalia, Jamhuri ya Kidmeokrasi ya Congo na Burundi.

Vigezo vinavyozingatiwa pia ili kuteuliwa mshindi ni pamoja na mchango wa kiongozi katika ukombozi wa taifa kutoka tawala dhalimu miaka ya nyuma.

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 17.07.2018

Viongozi wengine waliowahi kuishinda tuzo hiyo ni pamoja na Mwalimu Julius Nyerere wa Tanzania na Kenneth Kaunda wa Uganda ambao walitunukiwa tuzo hiyo mwaka 2014.

Rais Magufuli sasa anatarajiwa kupokea medali na cheti katika tarehe rasmi itakayotangazwa na kamati baada ya maridhiano kati ya mgeni rasmi na watu wa itifaki.
 
Only idiot oppose magufuli reforms.

They are dumb people relying on western NGO and corrupted people who want the old order to be restored.

Democracy is a fancy thing like bling. It doesn't feed people or bring income to remove people from poverty.
 
Only idiot oppose magufuli reforms.

They are dumb people relying on western NGO and corrupted people who want the old order to be restored.

Democracy is a fancy thing like bling. It doesn't feed people or bring income to remove people from poverty.

Yaa only perpet masters can do. Magufuli is doing what the continent needs. Other African leaders have to join hands.
 
Rais Magufuli ateuliwa mshindi wa tuzo ya Ukombozi Afrika
  • 17 Julai 2018
Sambaza habari hii Email Sambaza habari hii Facebook Sambaza habari hii Twitter Sambaza habari hii Whatsapp
Image copyrightAFP
_102558796_c43e687d-3d2a-404a-8754-d1a43f151f71.jpg

Image captionWakosoaji wanasema amepunguza nafasi ya raia kujieleze kwa uhuru
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ameibuka mshindi wa tuzo ya Afrika katika masuala ya uchumi.

Makamo mwenyekiti wa kamati ya tuzo ya ukombozi Afrika, Mwebesa Rwebugia ameieleza BBC kwamba rais Magufuli ameibuka mshindi kutokana na mchango wake wa kiuchumi hasaa katika ukuaji wa miundo mbinu.

Hii ni mara ya pili kwa kiongozi wa Tanzania kupata tuzo hii, baada ya Mwalimu Julius Nyerere kutuzwa pia kutokana na mchango wake wa kuleta uhuru katika nchi za Afrika.

Mwebesa Rwebugia ameeleza kuwa, katika kuegemea kwenye muktadha wa uchumi, kamati iliangalia umaskini ambao unatajwa kuwa adui mkubwa anayefahamika, lakini pia maradhi na ujinga.

Kwa mujibu wa kamati hiyo ya Tuzo ya Ukombozi wa Afrika, ukombozi katika kipengelee cha elimu huangazia elimu na ujinga kama sehemu ya ukombozi.

Tanzania imetolewa mfano wa elimu ya bila malipo kutoka kutoka shule za msingi mpaka sekondari.

_102558795_217d87b1-6af8-463c-81cf-5fa1e5c87e85.jpg

Image captionJulius Nyerere alikuwa na ushawishi mkubwa katika mataifa ya Afrika kujipatia uhuru.
Katika suala la umaskini, kamati imeangalizia hatua ya kuwajali watu wa kipato cha chini, ukitolewa mfano wa kusajiliwa kwa 'machinga' katika kuwatambua rasmi kwa shughuli zao, na pia kuondolewa kodi za mazao kwa wananchi.

Lakini sio kila mtu amepokea vyema ushindi huu wa rais Magufuli kutokana na kwamba kiongozi huyo hajakamilisha hata miaka mitano tangu aingie madarakani.

Wakosoaji wanasema amepunguza nafasi ya raia kujieleze kwa uhuru.

Na serikali yake imekosolewa kwa hatua za kuvizima vyombo vya habari na kinachotajwa kama kuvikandamiza vyama vya upinzani.

Mambo matano unayoyahitaji kuwa bilionea

Obama aikumbuka safari yake ya kwanza nchini Kenya

'Rais magufuli hakutazamwa kwa muda aliyoingia madarakani lakini tangu miaka 20 iliyopita. Tangu alipokuwa wizara ya ujenzi na mawasiliano na nyingine tofauti, mpaka kufikia hadi ya kuwa rais wa taifa. Je ni mambo gani aliyoyafanya?' Amefafanua Rwebugia.

Mnamo 2016 Magufuli alishinda tuzo ya Forbes Africa kwa kuwa mtu anayeheshimika zaidi - na aliteuliwa kwa kutambulika jitihada zake za "kushinikiza uchumi wa Tanzania".

Viongozi wengine walioishinda Tuzo ya Ukombozi:
Tuzo ya Ukombozi Afrika inatambuliwa barani Afrika na Kimataifa lengo lake ni kutambua mchango wa viongozi wa bara la Afrika , wapigania uhuru, wapatanishi wa amani na washiriki wengine wa Ukombozi wa Afrika.

Rais wa Uganda Yoweri Museveni mwishoni mwa mwaka jana aliwahi kuteuliwa mshindi na kamati inayoratibu Tuzo hiyo ya Ukombozi Afrika.

Ushindi wake Museveni ulitangazwa baada ya kamati hiyo kuketi mwezi Oktoba, 2017 na kujiridhisha kupitia vigezo vilivyowekwa kuwa kiongozi huyo anakidhi vigezo vyote.

Image copyrightGETTY IMAGES
_102558797_e5ff76e9-70a8-4193-b287-890628a9211d.jpg

Alitambuliwa miongoni mwa mengine kwa mchango wake mkubwa wa kipekee alioutoa katika kusimamia amani katika nchi zilizokumbwa na migogoro ya ndani Somalia, Jamhuri ya Kidmeokrasi ya Congo na Burundi.

Vigezo vinavyozingatiwa pia ili kuteuliwa mshindi ni pamoja na mchango wa kiongozi katika ukombozi wa taifa kutoka tawala dhalimu miaka ya nyuma.

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 17.07.2018

Viongozi wengine waliowahi kuishinda tuzo hiyo ni pamoja na Mwalimu Julius Nyerere wa Tanzania na Kenneth Kaunda wa Uganda ambao walitunukiwa tuzo hiyo mwaka 2014.

Rais Magufuli sasa anatarajiwa kupokea medali na cheti katika tarehe rasmi itakayotangazwa na kamati baada ya maridhiano kati ya mgeni rasmi na watu wa itifaki.

Tuzo la ajabu kweli.
Even that chairman Mwebesa Rwebugia is not recognized by Google.
Huyu ni mtanzania anayetaka kujipendekeza kwa Magufuli. Ama ni Magufuli mwenyewe aliyejituza.

Kweli wajinga ndio waliwao.
 
Only idiot oppose magufuli reforms.

They are dumb people relying on western NGO and corrupted people who want the old order to be restored.

Democracy is a fancy thing like bling. It doesn't feed people or bring income to remove people from poverty.

Stupid soul.
Democracy provides checks and balances.
Democracy safeguards wealth and development.
No point getting wealthy like Libya, then losing it all in a one week revolution.
People will never fight or destroy their country to remove a democratically elected president.
 
Tuzo la ajabu kweli.
Even that chairman Mwebesa Rwebugia is not recognized by Google.
Huyu ni mtanzania anayetaka kujipendekeza kwa Magufuli. Ama ni Magufuli mwenyewe aliyejituza.

Kweli wajinga ndio waliwao.

So if Prof. Google does not recognise a person, then all the process go wrong.
It's not fake thing dude, even the serious international media talk about the issue.
 
So if Prof. Google does not recognise a person, then all the process go wrong.
It's not fake thing dude, even the serious international media talk about the issue.

Lol 😀😀😀
The 'Prof' does not appear on any Google search before this one.
The 'Award' does not appear on any Google search.

They are saying that Nyerere was the other Tanzanian to win it. Then can you provide a list of the past 10 winners?

Hili ni tuzo la kujitungia. Ata watanzania wenzenu Twitter wanashuku.

These media reporting only received a press release and published. Fake news.
 
Lol 😀😀😀
The 'Prof' does not appear on any Google search before this one.
The 'Award' does not appear on any Google search.

They are saying that Nyerere was the other Tanzanian to win it. Then can you provide a list of the past 10 winners?

Hili ni tuzo la kujitungia. Ata watanzania wenzenu Twitter wanashuku.

These media reporting only received a press release and published. Fake news.

I mean if you don't see a person in Google, then is fake.
Btw are you querying the person given the award or the award itself?
 
I mean if you don't see a person in Google, then is fake.
Btw are you querying the person given the award or the award itself?

Even a nobody like me will find myself on Google. Huyu mysterious Mwebesa Rwebugia mwenye ata hatambuliki na Facebook, Twitter ama Google ni nani?

I have a problem with both the award and the recipient.
Magufuli is a dictator who would never win any genuine award anywhere in the world.

Also, this award is non-existent and unheard of. You can't even tell us who are the past winners.
Hii ni propaganda ya CCM na Magufuli mwenyewe.
Aliamka asubuhi, akajitungia tuzo, na kujiteuwa yeye mwenyewe.
 
Even a nobody like me will find myself on Google. Huyu mysterious Mwebesa Rwebugia mwenye ata hatambuliki na Facebook, Twitter ama Google ni nani?

I have a problem with both the award and the recipient.
Magufuli is a dictator who would never win any genuine award anywhere in the world.

Also, this award is non-existent and unheard of. You can't even tell us who are the past winners.
Hii ni propaganda ya CCM na Magufuli mwenyewe.
Aliamka asubuhi, akajitungia tuzo, na kujiteuwa yeye mwenyewe.

Ahaaa haaa haaa
Tuliiiza huu mchezo hauhitaji hasira.
Wee hujawahi sikia tuzo ya Mo Ibrahim kukosa mshindi mwaka fulani?
 
Ahaaa haaa haaa
Tuliiiza huu mchezo hauhitaji hasira.
Wee hujawahi sikia tuzo ya Mo Ibrahim kukosa mshindi mwaka fulani?

😀😀😀 Umeanza kuwa mchekeshaji.

Yaani, hii tuzo ya 'Ukombozi Afrika' imekuwa tu na washindi wawili tu. Nyerere na Magufuli.
Kweli Tanzania imebarikiwa.

Mo Ibrahim ni tuzo kubwa. Google inaifahamu, na washindi wake wanajulikana.
Even when they fail to announce a winner, that becomes News. Hio siku ata CNN wataripoti.

Alafu, jina la kiingereza la hii tuzo ni nini?
Juu ninavyofahamu, majina ya entities hayafai 'kuswahilishwa'.

Tuzo ya Oscar, Nobel, Mo Ibrahim, Pullitzer... ata kwa Kiswahili ni hivo hivo.

Kama hili tuzo haina jina ya kiingereza, basi jibu lako imelipata.
 
Only idiot oppose magufuli reforms.

They are dumb people relying on western NGO and corrupted people who want the old order to be restored.

Democracy is a fancy thing like bling. It doesn't feed people or bring income to remove people from poverty.
I support you that you have said is quite true, Magufuli deserves prize congratulations Mr.President & God bless you !
 
Even a nobody like me will find myself on Google. Huyu mysterious Mwebesa Rwebugia mwenye ata hatambuliki na Facebook, Twitter ama Google ni nani?

I have a problem with both the award and the recipient.
Magufuli is a dictator who would never win any genuine award anywhere in the world.

Also, this award is non-existent and unheard of. You can't even tell us who are the past winners.
Hii ni propaganda ya CCM na Magufuli mwenyewe.
Aliamka asubuhi, akajitungia tuzo, na kujiteuwa yeye mwenyewe.


pingli-nywee au unaongelea propaganda kama hii...lol!
 
Haha, I think am blindfolded these days. Hii haiingii kwa akili.
Looks like some Info missing. 😀
Sijui kwanini jirani lakini siwaamini hata kidogo siku hizi. Jf ilipofungwa mlirudi kama mme'change' sana.🙂 Naona ni kama mlinyweshwa kikombe cha babu kwa shuruti. Yea, I think so. [emoji23]
 
Back
Top Bottom