Watu walijua ni maigizo wewe halafu angekua kwao watu wanamjua angepiga kelele vile wakwao lazima wangeingilia ameenda mtaa gani huko watu wanajua maigizo ya Azam TV Sinema Zetu
Watu walijua ni maigizo wewe halafu angekua kwao watu wanamjua angepiga kelele vile wakwao lazima wangeingilia ameenda mtaa gani huko watu wanajua maigizo ya Azam TV Sinema Zetu
Mkuu binafsi huzuni niliopata baada ya kuiona clip ile, sijawahi pata huzuni na mfadhaiko wa aina hiyo kwa miaka mingi sana, na nimeazimia kbs mwaka huu nitafanya juu chini nimiliki silaha ndogo ya moto, binadamu amekuwa ni kiumbe katili sana! just imagine, mtekwaji anapiga kelele akiweka wazi kabisa kuwa anaenda kuuawa, na kwamba watu wale hawajui...lkn hana msaada zaidi ya kupambania roho yake mwenyewe! na hiyo ni mchana kweupe je usiku ingekuwaje?
Hili ni tatizo la serikali,ingetakiwa umma uambiwe kuanzia sasa hivi polisi wakija kumkamata mtu kwanza wawe na vitambulisho,nakwambia ingekuwa hivyo utekaji ungepungua,tatizo hajulikani nani ni tanpol na nani wasio julikana
Kwa vyovyote vile wa kuuambia umma ndiye mhusika mwenyewe kwenye asimilia kubwa ya matukio ya aina hiyo. Anajua atakavyokwamishwa kwenye kutimiza malengo yake iwapo atatoa tamko hilo kwa umma. Kama ni yeye kaweka utaratibu sahihi wa ukamataji, pamoja na kuongezeka kwa matukio hayo ya utekaji yanayoenda sambamba na upoteaji wa jumla wa watekwaji, shambulio, vilema na mauaji, na kama yeye angekuwa hahusiki ni kwa nini asiutangazie umma na kusimamia uzingatiaji wa utaratibu huo wa ukamataji?
Hii kamatakamata ya watu so called wa Taasisi inaleta loopholes za hata majambazi na watu wengine kujifanya nao wana mandate ya kukamata watu hivyo kupelekea maisha yetu mtaani kuwa ya hatari... Ushauri ili kuondoa Sintofahamu hizi Kama mtu anatakiwa na vyombo vya sheria basi polisi wapeleke...
“Justice must not only be done, but it must also be seen to be done.” Kuna mambo yamekuwa yakitokea na watu kurushiana shutuma kwamba ni huyu au yule amefanya.., Mbaya zaidi Kuna upande hawana Imani na Wachunguzaji (Vyombo Husika) kwahio Uchunguzi wowote utakaofanyika bado watu hawataridhika...
Persecution: Hostility and ill-treatment, especially on the basis of ethnicity, religion, or sexual orientation or political beliefs. My motto always ni to each his / her Own - Sitaki kujua wala sihitaji kujua imani ya mtu na anafanya nini wapi au kwanini - Tukiwa pamoja kwenye public sheria...
www.jamiiforums.com
Na hayo niliyasema zamani sana..., ila inabakia palepale sisi kama Raia tuna utaifa in comparison na nchi nyingi sana especially USA tunawaacha mbali sana...., Wanasiasa walaghai, walamba asali na uongozi wenye Ombwe hauondoi ukweli huu.... Na hio naongelea leo..., tunapoelekea ni pabaya kwahio kwa huu upuuzi usijeniqoute 10 years down the line; sababu nimekuwa nikiendelea kuonya kinachoendelea kinaharibu kazi kubwa sana iliyofanywa na Mababu zetu...
Hii kamatakamata ya watu so called wa Taasisi inaleta loopholes za hata majambazi na watu wengine kujifanya nao wana mandate ya kukamata watu hivyo kupelekea maisha yetu mtaani kuwa ya hatari... Ushauri ili kuondoa Sintofahamu hizi Kama mtu anatakiwa na vyombo vya sheria basi polisi wapeleke...
“Justice must not only be done, but it must also be seen to be done.” Kuna mambo yamekuwa yakitokea na watu kurushiana shutuma kwamba ni huyu au yule amefanya.., Mbaya zaidi Kuna upande hawana Imani na Wachunguzaji (Vyombo Husika) kwahio Uchunguzi wowote utakaofanyika bado watu hawataridhika...
Persecution: Hostility and ill-treatment, especially on the basis of ethnicity, religion, or sexual orientation or political beliefs. My motto always ni to each his / her Own - Sitaki kujua wala sihitaji kujua imani ya mtu na anafanya nini wapi au kwanini - Tukiwa pamoja kwenye public sheria...
www.jamiiforums.com
Na hayo niliyasema zamani sana..., ila inabakia palepale sisi kama Raia tuna utaifa in comparison na nchi nyingi sana especially USA tunawaacha mbali sana...., Wanasiasa walaghai, walamba asali na uongozi wenye Ombwe hauondoi ukweli huu.... Na hio naongelea leo..., tunapoelekea ni pabaya kwahio kwa huu upuuzi usijeniqoute 10 years down the line; sababu nimekuwa nikiendelea kuonya kinachoendelea kinaharibu kazi kubwa sana iliyofanywa na Mababu zetu...
Samia ajitafakari yeye kama kweli ni kiongozi apime lugha anazoongea.
Watu walitekwa na kuuwawa akasema ni drama, watu wakatekwa tena na kuuwawa akasema kifo ni kifo.
Huu mgawanyiko alioleta leo sasa kauwawa kiongozi wa CCM nenda katika kurasa ya X ya CCM uone kauli watu wanazotoa.
Tuendako sasa ni kuwa raia wataanza kuchukua sheria mkononi tu kwa hawa watekaji na siku sio nyingi tutakuja kusikia raia wameua askari aliyekuja kuteka mtu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.