mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Muda mwingine CCM tunawaoneanina 'kamilioni' ka kuchezea hapa😜
Hahahahaha..dagaa dagaa kitambo sana hili chimboDah wimbo wa kitambo stil naupenda sana, nakumbuka hiyo siku nipo na manzi fulani dagaa dagaa pale Legho sinza...dah
Muda mwingine CCM tunawaonea
Break that code for me please!Dah wimbo wa kitambo stil naupenda sana, nakumbuka hiyo siku nipo na manzi fulani dagaa dagaa pale Legho sinza...dah
Oooh, thanks. Very good entry point!Sina uhakika sana ila wenyewe wanasema alimwimbia shishi bebi, ngoma ilibamba sana 213 iyo
Ahsante sana... Ngoja nianze mchakato.Shishi trump
Anasema hamjuiii diamoond ila ana namba kaisave Dangotee
Wewe mkongwe sana mkuu, kama hadi Dagaa dagaa ulikuwa ushatimba mjini utakuwa born town kabisa, hahaDah wimbo wa kitambo stil naupenda sana, nakumbuka hiyo siku nipo na manzi fulani dagaa dagaa pale Legho sinza...dah
Ngoma ilikuwa ya wolper hio.Sina uhakika sana ila wenyewe wanasema alimwimbia shishi bebi, ngoma ilibamba sana 213 iyo
huenda mimi sina uhakika sanaNgoma ilikuwa ya wolper hio.
Wasanii nao wanatafutana kama wanasiasa vile 🙌
Habari!
Wajuzi, aisee nimeumiza kichwa mno ili niifahamu code hasa ya wimbo ule wa mtabe Young D.
Miongoni mwa maneno ya wimbo huo ni, '...she is beautiful, siyo mchoyo...'
Nani ameimbiwa? Ni Diva the boss lady? Ni Tanasha Dona?
Huyu queen ambaye anagawa kwa kila mtu ni nani?
Naomba nimfahamu kwa wajuzi, naona nina 'kamilioni' ka kuchezea hapa😜
NB
Ni serious issue!
OohTunda