Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Kazi ya Umalaya inalipa sana.. umeona hilo jamaa limetenga 1m kwa ajili ya paka/nyau/pussyMilioni kisha anakupa unaondoka nayo au umamwachia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ya Umalaya inalipa sana.. umeona hilo jamaa limetenga 1m kwa ajili ya paka/nyau/pussyMilioni kisha anakupa unaondoka nayo au umamwachia?
daga dagaa kitambo sana na jama yangu mmoja.. enzi hizo tukishazipiga bank pesa inakuwa ni mwendo wa kuchoma pesa tu... hayo maneneoDah wimbo wa kitambo stil naupenda sana, nakumbuka hiyo siku nipo na manzi fulani dagaa dagaa pale Legho sinza...dah
Ngoma fulani kama ya mtonii R&B mix hiphop!Jux alitisha sana mule
Kazi ya Umalaya inalipa sana.. umeona hilo jamaa limetenga 1m kwa ajili ya paka/nyau/pussy
TundaHabari!
Wajuzi, aisee nimeumiza kichwa mno ili niifahamu code hasa ya wimbo ule wa mtabe Young D.
Miongoni mwa maneno ya wimbo huo ni, '...she is beautiful, siyo mchoyo...'
Nani ameimbiwa? Ni Diva the boss lady? Ni Tanasha Dona?
Huyu queen ambaye anagawa kwa kila mtu ni nani?
Naomba nimfahamu kwa wajuzi, naona nina 'kamilioni' ka kuchezea hapa😜
NB
Ni serious issue!
Ww n Mkongwe dagaa dagaa ya sinza waybackDah wimbo wa kitambo stil naupenda sana, nakumbuka hiyo siku nipo na manzi fulani dagaa dagaa pale Legho sinza...dah
Habari!
Wajuzi, aisee nimeumiza kichwa mno ili niifahamu code hasa ya wimbo ule wa mtabe Young D.
Miongoni mwa maneno ya wimbo huo ni, '...she is beautiful, siyo mchoyo...'
Nani ameimbiwa? Ni Diva the boss lady? Ni Tanasha Dona?
Huyu queen ambaye anagawa kwa kila mtu ni nani?
Naomba nimfahamu kwa wajuzi, naona nina 'kamilioni' ka kuchezea hapa😜
NB
Ni serious issue!
Legho haijawahi kuwa sinza, ukitokea shekilango sinza inaanzia baada ya kuvuka mto ng'ombeDah wimbo wa kitambo stil naupenda sana, nakumbuka hiyo siku nipo na manzi fulani dagaa dagaa pale Legho sinza...dah
Khaaa! Nyie kweli watoto wa juzi yaani dagaa dagaa mnaita kitambo? Je mngeukuta uwanja wa sanaa au jumba la maendeleo urafiki si mngejiona vikongweWewe mkongwe sana mkuu, kama hadi Dagaa dagaa ulikuwa ushatimba mjini utakuwa born town kabisa, haha
Daaah! KitimotoDah wimbo wa kitambo stil naupenda sana, nakumbuka hiyo siku nipo na manzi fulani dagaa dagaa pale Legho sinza...dah